Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Nn kimekushangaza? Nina fundi wangu ndo naonaga anaandika hvyo
Punguza kujieleza, weka picha. [emoji39][emoji39][emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nn kimekushangaza? Nina fundi wangu ndo naonaga anaandika hvyo
Sawa sawa...ni kweli ila ni mrefu pia am 172 cm
mi huwa natembea hata km 10 per day nikitoka kazini. ila now toka mwezi wa ramadhani sijafanya naandaa devices zang nirud roadMm siwez tembea daily..mara moha moja sana..ah sina presha wala bp ya nn kujitesa
Best 10kms?mi huwa natembea hata km 10 per day nikitoka kazini. ila now toka mwezi wa ramadhani sijafanya naandaa devices zang nirud road
Kwa jinsi nilivyokuona huwez vaa size 20 best .nadhan hujajua sizw ww kiuno itakua 42!20 ni ya watoto wa form 6ni kweli ila ni mrefu pia am 172 cm
😀😀..kwan kuna mashindano😀Punguza kujieleza, weka picha. [emoji39][emoji39][emoji39]
Basi mm kms sizielewa...10kms mm ntafika maitiKawaida mbona,mm natakiwa kila siku nitembee 7kms
Mabonge sio wachoyo na si wabinafsi na ndomaana hujawahi kusikia watu wanene wana roho mbaya wengi wanaoambiwa wana roho mbaya ni wembamba na wanaambiwa ndo maana hawanenepi hivyo ukinenepa unaroho nzuri.Nimejaribu kuchunguza sana, vibonge kweli ubonge umekuja wenyewe au umejitakia au umerithi?
1. Kweli kuna unene wa kurithi lakini unue ni ugonjwa, lazma ufanye upasuaji au umtafute daktari kwa ushauri zaidi..
Oooh bonge wangu nakupenda Sana babyNilinde kwakweli tusidhurike na mawe ya humu[emoji4]
Kwani kuzunguka kiwanja ni kama kms ngap? Maana mm napoishi kufika road ni 8kms na ni mbali .sasa nashangaa 10kmsSio mbali unaweza hata kuzunguka kiwanja cha mpira kwa kutembea tu,sik mpaka unyooshe barabarani
mimi pia bonge ila najitahidi kupungua vinginevyo utachoka haraka na usipungue kwa kasi sana anza taratibu sana kisha utafika.Nilinde kwakweli tusidhurike na mawe ya humu😊
Ubinafsi na uchoyo naosemea ni kula kwa kujificha, hutaki kuonekana ukila ili usisemwe kuwa unapenda kula. Ndio maana mnalia kwenye gari,njia(sehem ambayo haina mtu wa nyumbani anaeweza kukuona)mabonge sio wachoyo na si wabinafsi na ndomaana hujawahi kusikia watu wanene wana roho mbaya wengi wanaoambiwa wana roho mbaya ni wembamba na wanaambiwa ndo maana hawanenepi hivyo ukinenepa unaroho nzuri.
angalia ofisini boss mnene na mwembamba yupi msumbufu na anaweza kuwa msaada kwako kiurahisi?
halafu nani aliwaambia hawapendi miili yao? hebu acheni hizo hivi mnafikiri ninyi mlivyo wembamba tunawapenda ? lakini mbona tunawavumilia na kuhakikisha tunawaweka karibu lakini bado hamnenepi ka!
wivu utawaua! tunaepuka jinsi mnavyotukodolea macho utafikiri hatujalipia aka! kwani si tumewakataza kuagiza?Ubinafsi na uchoyo naosemea ni kula kwa kujificha, hutaki kuonekana ukila ili usisemwe kuwa unapenda kula. Ndio maana mnalia kwenye gari,njia(sehem ambayo haina mtu wa nyumbani anaeweza kukuona)
Kupungua inahitaji wito sana aise..ujitoe haswami
mimi pia bonge ila najitahidi kupungua vinginevyo utachoka haraka na usipungue kwa kasi sana anza taratibu sana kisha utafika.
ukifanya haya utaona matokeo mazuri
- soda achana nazo kabisa pamoja na juice ya baharesa tupa kule
- kunywa maji mengi asubuhi kiasi cha lita mbili
- anza kupunguza chakula hasa jioni ikumbukwe kuwa njaa iko kichwani lakini tumbo ni stoo tu hivyo kula kidogo
- punguza wanga hasa wali na ugali unaweza kutumia ndizi na viazi lakini hakikisha unambogamboga nyingi zenye nyuzinyuzi
- fanya mazoezi kiasi si kwa kupungua kwa kuwa mazoezi yanapunguza kwa asilimia 20% kikubwa ni msosi.
ntakupigia picha, na sijawah vaa kiuno 40 kwakweliKwa jinsi nilivyokuona huwez vaa size 20 best .nadhan hujajua sizw ww kiuno itakua 42!20 ni ya watoto wa form 6