Vibonge tambueni kuna tofauti ya kula chakula kingi na kula kula ovyo

Vibonge tambueni kuna tofauti ya kula chakula kingi na kula kula ovyo

Mi vibonge wengi nilokutana nao kwakweli wanakula haswaaa,nasema mmoja mmoja
1.Ni mdada wa miaka 22 mara ya kwanza kimwona mwonekano wake ni kama wale wanaocheza mieleka ilinichukua mda kumzoea ulaji wake sasa mda wote anakula mara karanga mara juice mara biscuit ili mradi hatuliii yaani ni anakula ovyoovyo
2.Nilikutana nae kipindi nasoma anaitwa big na ni mnene kweli ugali anakula mwingi mno
3 nilipanda basi binti wa miaka mitatu (,,mtoto ni chibonge)na mama yake ambaye ana miaka kama 45 hivi safari ilikuwa ya masaa sita ,ikumbukwe safari ilianza sa nane za mchana kwa maana walishakula na cha mchana kabisa ila ndani ya mda huo mtoto alikula biscut kubwa ya elfu mbili,juice ya jero,mayai mawili,mishikaki mitatu na soda ya buku na mwisho wa safari nkakuta amekaa na mama yake wanakula chips kavu na mishikaki aseee nilichoka afu sasa wakati mama yake akimnunulia hivo vitu yeye alikunywa soda tu na wala hata hakuimaliza
4.nimekutana naye juzi sehemu nzuri hivi nadhani huyo baba ni mwalimu walikuwa kwenye vikào vyao kaja na madam order sasa ya huyo mzeee chips yai(wanatengeneza kubwa mi hata nikiwa na njaa gani siezi maliza)kaagiza mishikaki sita,maziwa ya mtindi makadirio ni kama lita kwa maana yalikuwa packed,soda ya chupa na maji makubwa aseee mzeee alifuta vyote niliona maji ndo aliyoondoka nayo
 
Simu nayotumia mm ina app inayokushauri km za kutembea kila siku kulingana na umri na uzito wako. Afu saa 22:00 inakupa ripoti
Hiyo app inaitwaje ndugu? Nahitaji kuipata pia
Asante.
 
Nimejaribu kuchunguza sana, vibonge kweli ubonge umekuja wenyewe au umejitakia au umerithi?

1. Kweli kuna unene wa kurithi lakini unue ni ugonjwa, lazma ufanye upasuaji au umtafute daktari kwa ushauri zaidi.

2. Ubonge wa kuja sababu ya maisha mazuri, kutokuwa na wasiwasi na maisha au kutojali chochote, yani unaishi wewe ilimradi mzima tu hutaki kuumiza kichwa kuhusu wengine au vingine. Unaridhika na chochote tu. Mlo wako wa kawaida ila kamili na wanga kwa sana bila kusahau 🍻, juisi matunda n.k.

3. Hawa watu, kwanza wana asili ya uchoyo na ubinafsi. Unakuta hana uwezo mkubwa wa kifedha lakini ni wa kula kula hovyo, kwenye daladala, njiani au popote alipo mwenyewe ana mishkaki ndizi mara anakunywa soda. Hapo anahesabu hajala, akishuka kwenye gari akiona duka atachukua biskuti,a kiona kitumbua kala, mara 🥜, hapo akifika nyumbani atasema hajala toka asubuhi. Atapika chakula atakula kidogo na kudai "chakula hakipandi" ataagiza chips na soda n.k

Hiyo no.3 watu hao wapo wengi sana, wakiambia punguza kula wanajua labda wanakula chakula kingi kumbe ni kula kula bila mpango. Afu ni wengine ni masikini wa kutupa kubajet pesa hawajui, pamoja na kula kula hovyo bila mpango bado atasema hajala kisa sio chakula rasmi.

Kila mtu naamini anaweza kuwa wa kawaida bila unene wa kupitiliza, kwa sababu hata zamani hakukuwa na unene huo, vyakula, milo tunayokula na aina ya kemikali tunazotumia ndio tatizo.
Tupumzisheni jamani........
 
Mi vibonge wengi nilokutana nao kwakweli wanakula haswaaa,nasema mmoja mmoja
1.Ni mdada wa miaka 22 mara ya kwanza kimwona mwonekano wake ni kama wale wanaocheza mieleka ilinichukua mda kumzoea ulaji wake sasa mda wote anakula mara karanga mara juice mara biscuit ili mradi hatuliii yaani ni anakula ovyoovyo
2.Nilikutana nae kipindi nasoma anaitwa big na ni mnene kweli ugali anakula mwingi mno
3 nilipanda basi binti wa miaka mitatu (,,mtoto ni chibonge)na mama yake ambaye ana miaka kama 45 hivi safari ilikuwa ya masaa sita ,ikumbukwe safari ilianza sa nane za mchana kwa maana walishakula na cha mchana kabisa ila ndani ya mda huo mtoto alikula biscut kubwa ya elfu mbili,juice ya jero,mayai mawili,mishikaki mitatu na soda ya buku na mwisho wa safari nkakuta amekaa na mama yake wanakula chips kavu na mishikaki aseee nilichoka afu sasa wakati mama yake akimnunulia hivo vitu yeye alikunywa soda tu na wala hata hakuimaliza
4.nimekutana naye juzi sehemu nzuri hivi nadhani huyo baba ni mwalimu walikuwa kwenye vikào vyao kaja na madam order sasa ya huyo mzeee chips yai(wanatengeneza kubwa mi hata nikiwa na njaa gani siezi maliza)kaagiza mishikaki sita,maziwa ya mtindi makadirio ni kama lita kwa maana yalikuwa packed,soda ya chupa na maji makubwa aseee mzeee alifuta vyote niliona maji ndo aliyoondoka nayo
Afu hapo atakwambia mm sio mlaji😀😀. Badae atakuja kumlaumu sana mzazi wake.

Ukisikia kibonge anasema mm hata sio mlaji huyo analia huko kusikojulikana kama kwenye gari,njian na mafichoni
 
basi we una mwili wa kula, mimi kula yangu utacheka. Na ndo kwanza nachanika mtt wa kike. Kukonda ni mpaka niugue tena nilazwe kabisa
Tatizo lipo kwenye unachokula,wanga,sukari,juice vinatesa sana
 
Mabonge wengi ni hopeless, ndiyo maana yanaonekana kuwa na roho nzuri sababu ya insecurities… stay in shape, stay FIT.
 
Afu hapo atakwambia mm sio mlaji[emoji3][emoji3]. Badae atakuja kumlaumu sana mzazi wake.

Ukisikia kibonge anasema mm hata sio mlaji huyo analia huko kusikojulikana kama kwenye gari,njian na mafichoni
Kweli mwili haujengwi kwa matofali
 
Back
Top Bottom