Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hahaa...yes...sina kazi ngumu...so najitahidi kidg kutembea😪Kula ni vizuri, ingawa unatakiwa tu ujiepushe kula kula hasa kama kazi zako siyo za kutumia nguvu.
Mimi ulaji wangu wa kusuasua sana ( labda kwasababu sijui kupika🤣)...