duh,hii ndio jamii forum bwanahata atakapokuwa anapenyeza atambue kabisa mlango huo huo umepenywa na mutu mukubwa sana nchi hii,means kama ingekuwa kuna kadaftari kakusaini juu,angekuta sahihi nyekundu pale
Hehehe tafadhali usininukuu vibaya!huyo mzee tiyari nini fafanua tafadhali tuhabarike
Hahahaha itakuwa ameomba hiyo tukuyu atumie kwa muda.. 😀😀😀Naona huyu katibu mkuu anatauta uadui na familia ya wakwere
Anaangalia upepo na waridi lilipo hulifuata. Amenusanusa akaona kwa Dr. kutakuwa na pepo, kaenda kujitulizadah ina maana kaachana na mjomba wangu wa Kibaha?
weweee shauri yako😱Kwa hiyo Likwelile ni shemeji wa Magufuli?
hata mimi namhofiamaana anatuvyeovyeo twa kimataifaNAHISI HUYU DK ANAITAMANI SEGEREAA AISEE ANAJUA KILICHOMFUNGA BABUNYEYA??
Hatimae shemeji yake katumbua gipuKwa hiyo Likwelile ni shemeji wa Magufuli?
Katumbua jipu au kaweka mtu wake ?Hatimae shemeji yake katumbua gipu
Yote sawa tu mkuu...huwezi kuteua adui yako akufanyie kazi lazima utamuweka mtu wako ili kijiridhishaKatumbua jipu au kaweka mtu wake ?
Hata hivyo ng'ombe akikonda hawezi kufanana na sungura (huwa tunajifariji hivi), kwa position yake si haba bado anazo mfukoni sema wazee wengi wa serikali hata kama apewe milioni 500 huwa zinaisha mdogomdogoHatimae shemeji yake katumbua gipu