MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kwenye siasa hayo mambo yapo sana. CHADEMA ndo wataalamu wa hayo mambo ya kishenzi. Pale covid19 karibu wote kama sio mke kuna hawara. Mbowe bila aibu alimteua hawara wake Joyce Mukya kuwa mbunge. DrSlaa naye akampa shavu Cecilia. Naibu Katibu mkuu Kigaila ana mke wake kwenye kundi la covid19. Yaani ni ufuska mtupu.CCM ndiyo kumejaza mijanajike ya namna hiyo. Ndiyo maana nchi imekuwa kama ina laana hatuendi popote. Midume ya CCM nayo kazi kuomba tigo kwa wanawake. Umeona lile libunge linaloitwa Deo Sanga linalia na mwanamke aje alipe tigo eti linadai ''ndiyo ugonjwa wake''.
Mzee na PhD yake ya Uchumi (first class) kakalishwa na Standard 4 dropout hizi K aiseeNmeshangaa sana, maana anasema yeye alikua njema kuliko Dr means alikua ana mfuga mzee
Sema enzi zake huyu Vicky alikuwa sio poa kwa uzuri. Alikuwa pisi iliyonyooka. Kuhusu mali za urithi atajua mwenyewe....
Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao.
Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo! Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine.
Lakini wanangu kwanini mnapindisha ukweli? Nimedhulumu mali gani? Nimemfukuza nani? Nyumba ipi? Wanangu hata kama ni chuki iwe na kiasi basii.
Sitaki kumuaibisha mume wangu lakini mnanichochea na kunisukuma wanangu! Niambie Dunia ukweli wa maisha yangu na Baba yenu? Alikuwa na pesa kunizidi yes! Lakini alikuwa na asset gani ya maana kunizidi mimi?
Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto! Kwanini alipokuwa na Mama zenu hakufanya maendeleo? Leo mnanichafua na kunipaka matope kwa jasho langu? Mungu mnamjua nyie watoto?
Nimetoka familia masikini sana, na nimefika hapa kwa jasho la damu. Naomba sana mshangilie ushindi wenu kwa heshima! Sijafukuza mtu! Sijadhulumu na sintakuja kudhulumu maishani kwangu.
Nafanya kazi usiku na mchana kwa kuwa najua sina wa kunipa cha bure. Baba yenu hata swimming pool ameikuta kwangu. Na baadae nikachimba kwa pesa zangu ili nifurahie uzee wangu mimi na yeye. Bahati Mbaya Mungu kamuita mapema ange enjoy na alikuwa anaenjoy. Najua mnamuumiza sana. Tulieni sihitaji hata kijiko ambacho siyo cha jasho langu. Jasho la mama zenu mtalifaidi na mimi jasho langu hayupo wa kunidhulumu.
Maisha ni hadhithi tu. 🙏🙏🙏🙏
Pia, soma=> Vicky Kamata aangukia pua kesi ya mirathi ya Dkt. Servacius Likwelile
Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao.
Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo! Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine.
Lakini wanangu kwanini mnapindisha ukweli? Nimedhulumu mali gani? Nimemfukuza nani? Nyumba ipi? Wanangu hata kama ni chuki iwe na kiasi basii.
Sitaki kumuaibisha mume wangu lakini mnanichochea na kunisukuma wanangu! Niambie Dunia ukweli wa maisha yangu na Baba yenu? Alikuwa na pesa kunizidi yes! Lakini alikuwa na asset gani ya maana kunizidi mimi?
Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto! Kwanini alipokuwa na Mama zenu hakufanya maendeleo? Leo mnanichafua na kunipaka matope kwa jasho langu? Mungu mnamjua nyie watoto?
Nimetoka familia masikini sana, na nimefika hapa kwa jasho la damu. Naomba sana mshangilie ushindi wenu kwa heshima! Sijafukuza mtu! Sijadhulumu na sintakuja kudhulumu maishani kwangu.
Nafanya kazi usiku na mchana kwa kuwa najua sina wa kunipa cha bure. Baba yenu hata swimming pool ameikuta kwangu. Na baadae nikachimba kwa pesa zangu ili nifurahie uzee wangu mimi na yeye. Bahati Mbaya Mungu kamuita mapema ange enjoy na alikuwa anaenjoy. Najua mnamuumiza sana. Tulieni sihitaji hata kijiko ambacho siyo cha jasho langu. Jasho la mama zenu mtalifaidi na mimi jasho langu hayupo wa kunidhulumu.
Maisha ni hadhithi tu. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Pia, soma=> Vicky Kamata aangukia pua kesi ya mirathi ya Dkt. Servacius Likwelile
Mbona hata kwenye msiba walimfikuza hakusema?
Anasema hataki kumuaibisha aliyekuwa mume wake.
Alafu anaendelea kusema kwamba Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto!
Sasa hapo si anamuaibisha aliyekuwa mume wake!
Alishawahii gombania mpk marehemu uko Arusha na akashindwa kesii....Namjua sana tu. Huyo atunukiwe tuzo ya malaya wa karne. Hana mpinzani.
Midume ya CCM kazi kuomba tigo kwa wanawake. Umeona lile libunge linaloitwa Deo Sanga linalia na mwanamke aje alipe tigo eti linadai ''ndiyo ugonjwa wake''.Kwenye siasa hayo mambo yapo sana. CHADEMA ndo wataalamu wa hayo mambo ya kishenzi. Pale covid19 karibu wote kama sio mke kuna hawara. Mbowe bila aibu alimteua hawara wake Joyce Mukya kuwa mbunge. DrSlaa naye akampa shavu Cecilia. Naibu Katibu mkuu Kigaila ana mke wake kwenye kundi la covid19. Yaani ni ufuska mtupu.
Ndo shepu lakee..... Aliwah enda bungeni surual imemshika mpk ndugai akamrudsha maake udangaji ulizd....Cathe amezeeka nowadays, halafu sijui kajichonga shepu, ila usoni amekongoroka sana. Nae yalimsibu alichukua mume wa mtu akafariki akaenda kupigana makaburini
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Unalijua pale ndo mitaa ya home palee
We're 4ßàß
Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao.
Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo! Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine.
Lakini wanangu kwanini mnapindisha ukweli? Nimedhulumu mali gani? Nimemfukuza nani? Nyumba ipi? Wanangu hata kama ni chuki iwe na kiasi basii.
Sitaki kumuaibisha mume wangu lakini mnanichochea na kunisukuma wanangu! Niambie Dunia ukweli wa maisha yangu na Baba yenu? Alikuwa na pesa kunizidi yes! Lakini alikuwa na asset gani ya maana kunizidi mimi?
Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto! Kwanini alipokuwa na Mama zenu hakufanya maendeleo? Leo mnanichafua na kunipaka matope kwa jasho langu? Mungu mnamjua nyie watoto?
Nimetoka familia masikini sana, na nimefika hapa kwa jasho la damu. Naomba sana mshangilie ushindi wenu kwa heshima! Sijafukuza mtu! Sijadhulumu na sintakuja kudhulumu maishani kwangu.
Nafanya kazi usiku na mchana kwa kuwa najua sina wa kunipa cha bure. Baba yenu hata swimming pool ameikuta kwangu. Na baadae nikachimba kwa pesa zangu ili nifurahie uzee wangu mimi na yeye. Bahati Mbaya Mungu kamuita mapema ange enjoy na alikuwa anaenjoy. Najua mnamuumiza sana. Tulieni sihitaji hata kijiko ambacho siyo cha jasho langu. Jasho la mama zenu mtalifaidi na mimi jasho langu hayupo wa kunidhulumu.
Maisha ni hadhithi tu. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Pia, soma=> Vicky Kamata aangukia pua kesi ya mirathi ya Dkt. Servacius Likwelile
Zimeisha ndo maana ameenda kuajiriwa tena serikalini (TAWA)Posho za Ubunge kapeleka wapi anahangaika na Mali za lawama hizo..
Ala, kumbe!Hujafa huwezi sema wewe ni mtakatifu. Msoga Kuna mwanaye
Nashangaa.yaani Ningekuwa ndo Mimi,ningepiga kimyaaPosho za Ubunge kapeleka wapi anahangaika na Mali za lawama hizo..
Ndo shepu lakee..... Aliwah enda bungeni surual imemshika mpk ndugai akamrudsha maake udangaji ulizd....
Aliitaka jamaa azikwe kwake ili ajimilkishe malii lkn ndo akashndwa mwili ukarud kwa mke wa ndoa
Ndo kwenda makaburin kazuiliwa alivyopata upenyo kuweka shada la maua... Mke halali wa jamaa akalinyanyua akalitupa