Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"


Havina uhusiano, Magufuli anaingiaje hapo
 
Eti ametafuta kwa jasho kumbe kupigwa πŸ₯’πŸ† nayo ni kutafuta kwa jasho
 
..............anataka kuwapiga watoto, Aibu sana.
 
Watoto wako Vick ni kina nani, na baba zao ni wepi?

Hilo JASHO vipi?
 
Kumbe Likwelile alifariki! Aisee sina habari, alikuwa bosi wangu back in the days sijaamua kujiajiri na kutema kazi za "serekale".
Alikuwa mtu mwema Likwelile. RIP
Pole Sana mkuu. COVID iliondoka na wengi. Ukweli Likwe alikuwa mtu poa Sana mwenye akili pia. Apumzike kwa Amani. Ila wosia ni muhimu mno mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…