MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
BOT hadi miaka ya 2010 ilikuwa na upuuzi wa kuwekana pale kwa kujuana. Kuna siku mwaka 2009 nilikuta vigogo wa wizara ya fedha wanalalamika kwamba angalau wao wanachomeka watu wao wenye sifa ila BOT wanachomeka vilaza kwenye ajira. Nadhani wakati wa Magu alifagia fagia. Huyo Vicky hakuwa na sifa za kuwa BOT unless ilikuwa kazi ya kufanya usafi au secretary... awamu ya 4 ilikuwa na mambo ya kijinga sana.Mtu aliekuwa kitengo nyeti BOT mtaalamu wa Uchumi anatambiwa na kilaza
Mwanangu hii picha umenikumbusha mbali sana darasa la 4. Nilisoma kijijini. Siku ya kulima shamba la shule ikifika bora usahau madaftari na vitabu kuliko usahau jembe. Kipigo kinakuwa kitakatifu.
Mpaka sasa hiviHivi huyu si alikua mboga ya yule babu wa msoga!?”
Tatizo watu wengi wana maono kama yako!Na nyie wanaume hivi mkikaa bila kugegeda mnashindwa nini?.mtu umeshazeeka bado busy mpk kuoa tena...ndo maana mnakufa mapema...kaa mwenyewe na wtt wako ule uzee wako bila stress...
eeh?! Mpaka sasa hivi?! Inaelekea basi msoga gang alikua anakula hata kipindi yupo na marehemu.Mpaka sasa hivi
Sema alijua kula kwa akili Ana pesa mingi sana huyu dada...na vitega uchumi
Ndiyo tangu anaimba hadi kawa mbunge hadi kawa mjane chezea msukuma weweeeeh?! Mpaka sasa hivi?! Inaelekea basi msoga gang alikua anakula tangu kipindi yupo na marehemu
Anaonekana bado yupo vizuri kiuchumi sema tamaa zimezidi mpaka anagombania mali za marehemuNdiyo tangu anaimba hadi kawa mbunge hadi kawa mjane chezea msukuma wewee
Yaani mwenye ukweli ni yeye na marehemu...sisi washangiliaji tu wacha tuone mechi inaishaje...ila binti anajua kupambana sanaAnaonekana bado yupo vizuri kiuchumi sema tamaa zimezidi mpaka anagombania mali za marehemu
🤣🤣Hakuna mlatolik wa hivyoHii ngoma bado mbichiii. Vicky Kamata kumbe yuko serious sana na hii mirathi ya Dr. Likwelile.
Baada ya hukumu ya mahakama kutoka na kutomtambua yeye kama mke halali, kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika haya:
"Post ya Muda mfupi.
Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao. Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo!
Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine. Lakini wanangu kwanini mnapindisha ukweli? Nimedhulumu mali gani? Nimemfukuza nani? Nyumba ipi? Niliishi nyumba yoyote kati ya zile nilimkuta nazo na mama zenu?
Wanangu hata kama ni chuki iwe na kiasi basii. Sitaki kumuaibisha mume wangu lakini mnanichochea na kunisukuma wanangu! Niambie Dunia ukweli wa maisha yangu na Baba yenu? Alikuwa na pesa kunizidi yes! Lakini alikuwa na asset gani ya maana kunizidi mimi?
Alipokuwa na Mama zenu alifanya nini? Raymond bila aibu wala hofu ya Mungu ukaorodhesha majengo yangu yote ukakimblia mahakamani ni nani anaetaka kudhulumiwa hapo? Ni mimi au nyie?. Tuwe na kiasi wanangu, tunagombania vitu ambavyo tutakufa tuviache. Baba yenu alikuwa na nyumba za kawaida na msululu wa watoto.
Kwanini alipokuwa na Mama zenu hakufanya maendeleo? Je mmeniona popote katika mali ambazo sina jasho langu? Leo mnanichafua na kunipaka matope kwa uongo? Kwa jasho langu? Mungu mnamjua nyie watoto?
Nimetoka familia masikini sana, na nimefika hapa kwa jasho la damu. Naomba sana mshangilie ushindi wenu kwa heshima! Sijafukuza mtu! Sijadhulumu na sintakuja kudhulumu maishani kwangu.
Nafanya kazi usiku na mchana kwa kuwa najua sina wa kunipa cha bure. Baba yenu hata swimming pool ameikuta kwangu. Na baadae tukachimba tukiwa wote. Bahati Mbaya Mungu kamuita mapema.
Najua tunamuumiza sana. Tulieni sihitaji hata kijiko ambacho siyo cha jasho langu. Maisha ni hadhithi tu.
🙏🙏🙏🙏 Nimemaliza hamtanisikia tena juu ya jambo hili.
NDOA NI KAMALIMkiambiwa mkatae NDOA ni DHULMA Ndoa ni Wizi Ndoa ni UTAPELI tunaonekana WABAYA hayaaa mjionee wenyewe.
KATAENI MANDOA
Pole Sana mkuu. COVID iliondoka na wengi. Ukweli Likwe alikuwa mtu poa Sana mwenye akili pia. Apumzike kwa Amani. Ila wosia ni muhimu mno mno.
MshinikizajiVikck kamata ni malaya mwisho wake ni aibu
Msaidieni nzi wa kijani mwenzenuSema enzi zake huyu Vicky alikuwa sio poa kwa uzuri. Alikuwa pisi iliyonyooka. Kuhusu mali za urithi atajua mwenyewe....
Kuna yule mtoto wa mjini alitangaza ndoa na Vicky michango ikachangwa kisha mwamba akasepa na kijiji kabla ya ndoa kufanyika.1. Posho za Ubunge kama hela za madini Mkuu si unaona Zitto anabangaiza pamoja na kuwa Mbunge miaka yote?
2 Demu pamoja na Mzee wa awamu ya 44 kula bado hakufanya maendeleo.
3. Demu bado pisi atatokea boya mwingine nae ale vitu ajenge nyumba kisha atangulizwe kama Dr
Alitia aibu sana kule ArushaCathe amezeeka nowadays, halafu sijui kajichonga shepu, ila usoni amekongoroka sana. Nae yalimsibu alichukua mume wa mtu akafariki akaenda kupigana makaburini
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Mange ni shetani halisi kwenye mwili wa binadamu. Huwa hajali lolote kuhusu kumharibia mtu maisha yake.Ila yule chikonde wa Marekani anajua sana ku drive watu crazy 🤣🤣
Mwananchi wamefafanua vizuri.Mahakama yakataa Vicky Kamata ‘kumiliki’ mali za Sh4 bilioni, yasema hakuwa mke halali wa Likwelile
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imelikataa pingamizi la mbunge wa zamani wa viti maalum (CCM), Vicky Kamata la kupinga mtoto wa ‘mumewe’, asiteuliwe kuwa msimamizi mirathi na mali za...www.mwananchi.co.tz
Hivi jamani.... Swimming pool kumbe ni kitu Cha maana Sana ambacho ukikiongelea kinashitua watu eee.... Jamani.... Mimi ni huu ushamba umenielemea.... Like Seriously.... 😅🤣Hakupaswa kuandika eti hata swimming pool kaikuta kwake,eti hakuwa na asset kumzidi,jamani aibu nimesikia Mimi....hiki ni kiasi Kikubwa Cha utomvu wa nidhamu
🤣🤣🤣Naona kuwa na swimming pool hapa Tanzania ni symbol of wealth......Hivi jamani.... Swimming pool kumbe ni kitu Cha maana Sana ambacho ukikiongelea kinashitua watu eee.... Jamani.... Mimi ni huu ushamba umenielemea.... Like Seriously.... 😅🤣