Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Mtu aliekuwa kitengo nyeti BOT mtaalamu wa Uchumi anatambiwa na kilaza
BOT hadi miaka ya 2010 ilikuwa na upuuzi wa kuwekana pale kwa kujuana. Kuna siku mwaka 2009 nilikuta vigogo wa wizara ya fedha wanalalamika kwamba angalau wao wanachomeka watu wao wenye sifa ila BOT wanachomeka vilaza kwenye ajira. Nadhani wakati wa Magu alifagia fagia. Huyo Vicky hakuwa na sifa za kuwa BOT unless ilikuwa kazi ya kufanya usafi au secretary... awamu ya 4 ilikuwa na mambo ya kijinga sana.
 
Na nyie wanaume hivi mkikaa bila kugegeda mnashindwa nini?.mtu umeshazeeka bado busy mpk kuoa tena...ndo maana mnakufa mapema...kaa mwenyewe na wtt wako ule uzee wako bila stress...
Tatizo watu wengi wana maono kama yako!

Saazingine tunaishi kwa dhiki duniani kwa ajili ya misimamo kama hii!

Hivi mkuu let say umefiwa ukaoa mwanamke mwingine, ni lazima mwanamke huyo akuletee stress?

Tatizo labda hizo ndoa za kuoa majina ndiyo nyingi zinasumbua hivyo!

Lakini uelewe kwamba, hakuna chochote, iwe mali ama pesa ambacho kinaweza kumpatia faraja mwanaume kama mke!

Mke mwenye sifa stahiki zinazopaswa awe nazo mke ni hazina kubwa inayobeba uhai wa mwanaume.

Raha atapata, heshima utapata na maisha marefu utapata.
 
🤣🤣Hakuna mlatolik wa hivyo
Asituharibie dhehebu letu
Nami mkatolik kindakndaki
 
Kuna yule mtoto wa mjini alitangaza ndoa na Vicky michango ikachangwa kisha mwamba akasepa na kijiji kabla ya ndoa kufanyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakupaswa kuandika eti hata swimming pool kaikuta kwake,eti hakuwa na asset kumzidi,jamani aibu nimesikia Mimi....hiki ni kiasi Kikubwa Cha utomvu wa nidhamu
Hivi jamani.... Swimming pool kumbe ni kitu Cha maana Sana ambacho ukikiongelea kinashitua watu eee.... Jamani.... Mimi ni huu ushamba umenielemea.... Like Seriously.... 😅🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…