Vicoba vitamaliza wake zetu

Vicoba vitamaliza wake zetu

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,273
Reaction score
13,567
Habari za Jumapili,

Vikoba vimekuwa ni chanzo cha ugomvi katika familia nyingi. Imefikia wanawake kuliwa na bodaboda nk. kwa lengo la kupata pesa kwa ajili ya kulipa marejesho, wengine kutokuwa na hamu ya mapenzi kwa kuwa na stress za kutosha kutokana na madeni ya vikoba, wengine hunyang'anywa fenicha kutoka na madeni ya vikoba na sasa wamefikia hatua hadi ya kujiua ili kukimbia madeni ya vikoba.

Rai yangu kwa wanawake waache tamaa za kukopa pesa za vikoba ili kufanyia matumizi ya kawaida kama kununua nguo, kusuka, wigi nk. mwisho wake huwa mbaya sana. Bora mdange mtaaumiza sehemu zenu za siri na kupata magonjwa lakini sio kukopa vikoba na kutumia kwa anasa mtaadhirika sana!!

IMG_20220821_223152.jpg
 
Habari za Jumapili?
Vikoba vimekuwa ni chanzo cha ugomvi katika familia nyingi.
Imefikia wanawake kuliwa na bodaboda nk kwa lengo la kupata pesa kwa ajili ya kulipa marejesho.
Wanawake wengine kutokuwa na hamu ya mapenzi kwa kuwa na dress za kutosha kutokana na madeni ya Vikoba.
Wanawake wengine hunyang'anywa fenicha kutoka na madeni ya Vikoba.

Sasa wamefikia hatua hadi ya kujiua ili kukimbia madeni ya Vikoba..
Rai yangu kwa wanawake waache tamaa za kukopa pesa za vikoba ili kufanyia matumizi ya kawaida kama kununua nguo,kusuka,wigi nk mwisho wake huo mbaya sana.
Bora mdange mtaaumiza sehemu zenu za siri na kupata magonjwa lakini sio kukopa vikoba na kutumia kwa anasa mtaadhirika sana!!View attachment 2330762

Wanawake zetu wana tamaa ya kupata pesa bila kufanya kazi… ndio maana utakuta wanadanganywa kuanzia
1.Vikoba
2.Biashara za mtandao sijui neolife, forever living
3.Upatu kama Blockchain sijui B9, Deci
4. Kwenye dini na imani nyingine kama kwa mwamposa , waganga kienyeji
Wana roho ndogo sana hawa wapendwa wetu
 
Wanawake zetu wana tamaa ya kupata pesa bila kufanya kazi… ndio maana utakuta wanadanganywa kuanzia
1.Vikoba
2.Biashara za mtandao sijui neolife, forever living
3.Upatu kama Blockchain sijui B9, Deci
4. Kwenye dini na imani nyingine kama kwa mwamposa , waganga kienyeji
Wana roho ndogo sana hawa wapendwa wetu
Usiwahukumu kabisa zote ni hustling kupambania familia kuliko kukaa bila ya kazi.
 
Habari za Jumapili?

Vikoba vimekuwa ni chanzo cha ugomvi katika familia nyingi.

Imefikia wanawake kuliwa na bodaboda nk kwa lengo la kupata pesa kwa ajili ya kulipa marejesho.

Wanawake wengine kutokuwa na hamu ya mapenzi kwa kuwa na dress za kutosha kutokana na madeni ya Vikoba.

Wanawake wengine hunyang'anywa fenicha kutoka na madeni ya Vikoba.

Sasa wamefikia hatua hadi ya kujiua ili kukimbia madeni ya Vikoba.

Rai yangu kwa wanawake waache tamaa za kukopa pesa za vikoba ili kufanyia matumizi ya kawaida kama kununua nguo, kusuka, wigi nk mwisho wake huo mbaya sana.

Bora mdange mtaaumiza sehemu zenu za siri na kupata magonjwa lakini sio kukopa vikoba na kutumia kwa anasa mtaadhirika sana!!View attachment 2330762
Ninachojua na nina uhakika nacho Kiuzoefu ni kwamba 90% ya Wadada / Wanawake walioko katika VIKOBA ni Wasaliti kwa Waume na Wapenzi wao halafu ndiyo Wanaongoza kwa Uwongo na ni wapenda Ushirikina huku wakiwa na PhD's za kupenda Majungu na Wivu wa Kipumbavu.
 
Ninachojua na nina uhakika nacho Kiuzoefu ni kwamba 90% ya Wadada / Wanawake walioko katika VIKOBA ni Wasaliti kwa Waume na Wapenzi wao halafu ndiyo Wanaongoza kwa Uwongo na ni wapenda Ushirikina huku wakiwa na PhD's za kupenda Majungu na Wivu wa Kipumbavu.
Kuna sisi ambao tunapata baraka na sapoti kubwa sana kutoka kwa waume zetu....na sisi ni kundi hili au sisi ni spesho
 
Vikoba ni vizuri hasa kama una malengo yako mazuri.
Shida inakuja mtu anavikoba zaidi ya viwili na vyote kakopa anadaiwa na hana shughuli ya maana yakumuingizia kipato na hata kama anayo haiwezi zalisha pesa za kutosheleza kupeleka huko vikobani.
Mbaya zaidi unakuta hela yenyewe haijaingizwa kwenye biashara hata ukimuuliza kafanyia nini hakupi maelezo yaliyonyooka usishangae katoa mchango wa sherehe na nyingine kanunua samani za ndani au mapambo au kaiwekeza katika biashara imeteketea.
Ila wengine vinatusaidia sana kiukweli.
Ni jinsi ya kujua na kuwa na Elimu na nidhamu ya pesa ukijiingiza kwenye hivi vitu ndio utaiona faida yake la sivyo utateseka sana.
Pole kwa familia yake nawaonea huruma watoto wake kwa picha hiyo watakuwa bado wadogo.
Angeongea tu na wanakikundi wenzie awaombe awe analipa kidogo kidogo.
Ila pia wanavikoba kuwa na kikoba chenye mwalimu kuna faida sana hasa katika changamoto kama hizi mana huwa anatoa ushauri wa hasa ufanye nini ili kuweza kupambana nacho.Pale mtu anapokwama kabisa angalau anakuwa mtatuzi na kumpa njia mdeni ajipige alipe.
 
Mkeo akiwa kwenye vicoba..

Piga talaka 6 ..
Anyway hao wanawake wanapitia mengi sana kwenye ndoa zao, unakuta mwengine singo maza na ana watoto pia wanasoma.
Ada, sare anatoa wapi? Kama sio huko vicoba.

Watoto wana survive sikuhizi kwa sababu ya vicoba.

Pia wengi wetu humu tumesomeshwa kwa mikopo japo hakuna anayekubali.

Baba yako alipoweka bondi shamba ili ukasome chuo nako si mkopo tu?

Tuilaumu serikali maisha hayaelezi kabisa.
 
TOZO ndio zitaua kabisa watu, sio wanawake tu hata Wanaume

VIKOBA ni nafuu sana kuliko hizi Benki za kibongo sijui NMB, CRDB na zingine za Tanzania.

Na kiuhalisia vikoba vimewainua sana wanawake kiuchumi, wanasomesha Watoto shule nzuri, wananunua viwanja na kujenga na wengine nawafahamu wana maduka makubwa na mtaji wamepata kwenye vikoba

Ni akili na malengo yake tu ndio muhimu
 
Mkeo akiwa kwenye vicoba..

Piga talaka 6 ..
Anyway hao wanawake wanapitia mengi sana kwenye ndoa zao, unakuta mwengine singo maza na ana watoto pia wanasoma.
Ada, sare anatoa wapi? Kama sio huko vicoba.

Watoto wana survive sikuhizi kwa sababu ya vicoba.

Pia wengi wetu humu tumesomeshwa kwa mikopo japo hakuna anayekubali.

Baba yako alipoweka bondi shamba ili ukasome chuo nako si mkopo tu?

Tuilaumu serikali maisha hayaelezi kabisa.
Usilazimishe Msoto ulioupitia au Wazazi wako Kukopo hovyo ili Usome ndiyo iwe ni kwa Kila Mtu hapa JamiiForums sawa? Wengine Wazazi wao walijua maana ya Kusevu ( Saving ) na pia walikuwa na Connection nyingi abroad and overseas hivyo Watoto wao hawakusoma kwa Mkopo bali walisoma kwa Uhuru, Amani na Furaha tele tu.
 
Back
Top Bottom