Vicoba vitamaliza wake zetu

Vicoba vitamaliza wake zetu

Japo sijawahi kuwa kwenye vicoba ila nadhani vikoba sio tatizo, tatizo ni akili za baadhi ya watu tu. Kama ilivyo tu kwenye mikopo mingine inavyoendesha watu walioichukua bila malengo na vicoba ni hivyo hivyo.
 
hamna lolote..

wakat mwingine wanaume pia wanachangia...
unakuta mwanaume kamtuma mwanamke akakope hlf cku ya marejesho anajibiwa shit, na hela hapewi
wanaume pia ni tatizo
 
Huyo aliyejiua hajafanya poa kabisa angeenda tu mgodini akauza huku 2 -2 kwa kila kichwa kwa siku asingekosa vichwa 15,25*2000=?
 
Walaumiwe wanaume wengi wamekuwa wanaume suruali hawahudumii familia zao matokeo yake wanawake wanapata stress za kiuchumi. Pumbav kabisa

Mume wangu popote ulipo nakupenda sana unanihudumia ipasavyo vicoba navisikia tu
Mna tamaa sana na ujuaji mwingi pumbav, na mkiendelea na tamaa zenu mtakufa sana.
 
zama zimebadirika, siku hizi nao ni watafutaji. wakikosa na wajinyonge kabisa
 
Vikoba ni vizuri hasa kama una malengo yako mazuri.
Shida inakuja mtu anavikoba zaidi ya viwili na vyote kakopa anadaiwa na hana shughuli ya maana yakumuingizia kipato na hata kama anayo haiwezi zalisha pesa za kutosheleza kupeleka huko vikobani.
Mbaya zaidi unakuta hela yenyewe haijaingizwa kwenye biashara hata ukimuuliza kafanyia nini hakupi maelezo yaliyonyooka usishangae katoa mchango wa sherehe na nyingine kanunua samani za ndani au mapambo au kaiwekeza katika biashara imeteketea.
Ila wengine vinatusaidia sana kiukweli.
Ni jinsi ya kujua na kuwa na Elimu na nidhamu ya pesa ukijiingiza kwenye hivi vitu ndio utaiona faida yake la sivyo utateseka sana.
Pole kwa familia yake nawaonea huruma watoto wake kwa picha hiyo watakuwa bado wadogo.
Angeongea tu na wanakikundi wenzie awaombe awe analipa kidogo kidogo.
Ila pia wanavikoba kuwa na kikoba chenye mwalimu kuna faida sana hasa katika changamoto kama hizi mana huwa anatoa ushauri wa hasa ufanye nini ili kuweza kupambana nacho.Pale mtu anapokwama kabisa angalau anakuwa mtatuzi na kumpa njia mdeni ajipige alipe.
Vicoba ni stress kwa wanawake, wengi hubanabana hela za chakula wanazoachiwa na waume zao kwa ajili ya familia!!! Wito- Mwanaume ukiona mkeo kajiingiza huko, kwa usalama wake na wa familia yako, mzuie kwa sauti kubwaaaa!!

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
hamna lolote..

wakat mwingine wanaume pia wanachangia...
unakuta mwanaume kamtuma mwanamke akakope hlf cku ya marejesho anajibiwa shit, na hela hapewi
wanaume pia ni tatizo
Kwa nadra sana.

Shida kubwa ni kwamba wengi hujiunga kwa mkumbo bila malengo.

Unakopa ukafanye birthday party na mashoga zako😂.

Pili watu hawaheshimu mikopo
1. Kopa ili kuendeleza au kuboresha biashara.
2. Kopa kama una dharura kama safari za gafla, misiba, matibabu, ada zile sababu ambazo zimejitokeza gafla na ni lazima zitatuliwe.

Kukopa nje ya hizo sababu ni matumizi hafifu ya akili.
 
Sipendi vikoba, huwezi nishawishi nicheze kikoba, nishaliwa hadi kikoba cha kanisani.

Anayetaka kucheza acheze mie hapana
 
Vicoba ni stress kwa wanawake, wengi hubanabana hela za chakula wanazoachiwa na waume zao kwa ajili ya familia!!! Wito- Mwanaume ukiona mkeo kajiingiza huko, kwa usalama wake na wa familia yako, mzuie kwa sauti kubwaaaa!!

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mzuie kama tu unaona huoni faida ya vikoba hivo kwa mustakabali wa familia yenu.
Ila kama unaona matokeo mazuri na anapambana familia inapiga hatua kiuchumi mwamche aende.
 
Bahati mbaya Sana wanawake, wadada kwa ujumla ndio wahanga wakuu wa vicoba na michezo(ule mtindo wa kupeana hela kiasi kadhaa , alafu kila siku/wiki/mwezi mtu mmoja anatoka mpaka mzunguko unaisha )

Mwanaume unaejielewa huwezi kuruhusu mke/mpenzi wako akashiriki kwenye huu upuuzi! Mda mwingine wanawake wanajikuta wanaingia katika madeni ama hata kusaliti mahusiano kisa tu apate hela ya mchezo ! Na huko majumbani mnabana bajeti na kusingizia mahitaji yasiyo ya lazima kisa tu hela ya vicoba/michezo !

Hela yako mwenyewe huwezi kuitunza ? Mpaka umpe mtu akutunzie ? Tengeneza kibubu tunza, ama tunza kwenye simu/account bank! Ishu Ni kwamba ukishajiwekea malengo kila siku/wiki/mwezi natunza kiasi kadhaa kulingana na kipato chako unashindwaje ? Na ukiona huwezi kujisimamia kwenye Mambo madogo Kama hayo jitafakari Sana na uelewa wako !

Siku hizi sio wadada mpaka wake za watu wamekuwa Ni watu wa vibomu tu kila mda,,, unasikia hela ya mchezo, Mara sijui mwezi ujao tunavunja kikoba chetu, niazime hela ntakurudishia ! Hii imekuwa too much, niwaibie Siri huko mahofisini mpaka mitaani wake/wachumba zetu wanachapika Sana kwa tamaa zao hizi ndogo ndogo !

Boda boda, wauza maduka(mangi), wauza chips , wauza magenge, wauza mabucha, workmates wanawala Sana wake/na wachumba zetu ! Mazoea mazoea tu unakuta mtu ana uhakika mtu flani kila siku ananipa 5000 ya mchezo kwa Nini asikuvulie ch****pi ?

Maisha bila michezo/vicoba hayaendi ? siku hizi mtu unakuta kwenye simu ana group la michezo,,, kila ikifika muda flani anatuma hela zinakusanywa mhusika anapewa ! Unakuta mtu anazo group hata tatu eti michezo !

Ewe mwanaume kataa mpenzi/mke/mchumba kushiriki huu upuuzi ama ukubali uchapiwe kwa Sana na hela upigwe ,, !
 
Back
Top Bottom