Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mupe mukeo mapesa weweTatizo lenu ni kujiingiza kwenye vikoba bila shughuli rasmi😀 huku ukitegemea marejesho uombe kwangu! Huo ujinga siupendi kuusikia
Cha personal nitakutapeli tuMimi nataka kuanzisha kiHAND-BAG njoo, nitakukopesha.
Niko radhi... Katika mkataba wetu tunaandika kuna 99% ya kunitapeli na ni ruksa. 😂Cha personal nitakutapeli tu
Mna tamaa sana na ujuaji mwingi pumbav, na mkiendelea na tamaa zenu mtakufa sana.Walaumiwe wanaume wengi wamekuwa wanaume suruali hawahudumii familia zao matokeo yake wanawake wanapata stress za kiuchumi. Pumbav kabisa
Mume wangu popote ulipo nakupenda sana unanihudumia ipasavyo vicoba navisikia tu
Anapewa ila kwa hesabuMupe mukeo mapesa wewe
Ili iweje sasa? Mume wangu anavyonitunza nikimuangalia tu nalowana. Hakuna raha duniani kama ya kuhudumiwa na mume
Tafuta pesa muhudumie mkeo wewe acha kuwewesekaMna tamaa sana na ujuaji mwingi pumbav, na mkiendelea na tamaa zenu mtakufa sana.
Vicoba ni stress kwa wanawake, wengi hubanabana hela za chakula wanazoachiwa na waume zao kwa ajili ya familia!!! Wito- Mwanaume ukiona mkeo kajiingiza huko, kwa usalama wake na wa familia yako, mzuie kwa sauti kubwaaaa!!Vikoba ni vizuri hasa kama una malengo yako mazuri.
Shida inakuja mtu anavikoba zaidi ya viwili na vyote kakopa anadaiwa na hana shughuli ya maana yakumuingizia kipato na hata kama anayo haiwezi zalisha pesa za kutosheleza kupeleka huko vikobani.
Mbaya zaidi unakuta hela yenyewe haijaingizwa kwenye biashara hata ukimuuliza kafanyia nini hakupi maelezo yaliyonyooka usishangae katoa mchango wa sherehe na nyingine kanunua samani za ndani au mapambo au kaiwekeza katika biashara imeteketea.
Ila wengine vinatusaidia sana kiukweli.
Ni jinsi ya kujua na kuwa na Elimu na nidhamu ya pesa ukijiingiza kwenye hivi vitu ndio utaiona faida yake la sivyo utateseka sana.
Pole kwa familia yake nawaonea huruma watoto wake kwa picha hiyo watakuwa bado wadogo.
Angeongea tu na wanakikundi wenzie awaombe awe analipa kidogo kidogo.
Ila pia wanavikoba kuwa na kikoba chenye mwalimu kuna faida sana hasa katika changamoto kama hizi mana huwa anatoa ushauri wa hasa ufanye nini ili kuweza kupambana nacho.Pale mtu anapokwama kabisa angalau anakuwa mtatuzi na kumpa njia mdeni ajipige alipe.
Kwa nadra sana.hamna lolote..
wakat mwingine wanaume pia wanachangia...
unakuta mwanaume kamtuma mwanamke akakope hlf cku ya marejesho anajibiwa shit, na hela hapewi
wanaume pia ni tatizo
Mzuie kama tu unaona huoni faida ya vikoba hivo kwa mustakabali wa familia yenu.Vicoba ni stress kwa wanawake, wengi hubanabana hela za chakula wanazoachiwa na waume zao kwa ajili ya familia!!! Wito- Mwanaume ukiona mkeo kajiingiza huko, kwa usalama wake na wa familia yako, mzuie kwa sauti kubwaaaa!!
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app