Vicoba vitamaliza wake zetu

Vicoba vitamaliza wake zetu

Bahati mbaya Sana wanawake, wadada kwa ujumla ndio wahanga wakuu wa vicoba na michezo(ule mtindo wa kupeana hela kiasi kadhaa , alafu kila siku/wiki/mwezi mtu mmoja anatoka mpaka mzunguko unaisha )

Mwanaume unaejielewa huwezi kuruhusu mke/mpenzi wako akashiriki kwenye huu upuuzi! Mda mwingine wanawake wanajikuta wanaingia katika madeni ama hata kusaliti mahusiano kisa tu apate hela ya mchezo ! Na huko majumbani mnabana bajeti na kusingizia mahitaji yasiyo ya lazima kisa tu hela ya vicoba/michezo !

Hela yako mwenyewe huwezi kuitunza ? Mpaka umpe mtu akutunzie ? Tengeneza kibubu tunza, ama tunza kwenye simu/account bank! Ishu Ni kwamba ukishajiwekea malengo kila siku/wiki/mwezi natunza kiasi kadhaa kulingana na kipato chako unashindwaje ? Na ukiona huwezi kujisimamia kwenye Mambo madogo Kama hayo jitafakari Sana na uelewa wako !

Siku hizi sio wadada mpaka wake za watu wamekuwa Ni watu wa vibomu tu kila mda,,, unasikia hela ya mchezo, Mara sijui mwezi ujao tunavunja kikoba chetu, niazime hela ntakurudishia ! Hii imekuwa too much, niwaibie Siri huko mahofisini mpaka mitaani wake/wachumba zetu wanachapika Sana kwa tamaa zao hizi ndogo ndogo !

Boda boda, wauza maduka(mangi), wauza chips , wauza magenge, wauza mabucha, workmates wanawala Sana wake/na wachumba zetu ! Mazoea mazoea tu unakuta mtu ana uhakika mtu flani kila siku ananipa 5000 ya mchezo kwa Nini asikuvulie ch****pi ?

Maisha bila michezo/vicoba hayaendi ? siku hizi mtu unakuta kwenye simu ana group la michezo,,, kila ikifika muda flani anatuma hela zinakusanywa mhusika anapewa ! Unakuta mtu anazo group hata tatu eti michezo !

Ewe mwanaume kataa mpenzi/mke/mchumba kushiriki huu upuuzi ama ukubali uchapiwe kwa Sana na hela upigwe ,, !

Umeongea ukweli wote,asieelewa amwache mkewe aendelee na Hiyo biashara ya vicoba
 
Nakubaliana na ww 100% mwanamke mcheza vikoba ni janga la taifa lzm akufuruge in one way or another(yakikukuta utaamin)
 
Ninachojua na nina uhakika nacho Kiuzoefu ni kwamba 90% ya Wadada / Wanawake walioko katika VIKOBA ni Wasaliti kwa Waume na Wapenzi wao halafu ndiyo Wanaongoza kwa Uwongo na ni wapenda Ushirikina huku wakiwa na PhD's za kupenda Majungu na Wivu wa Kipumbavu.
Uko sahihi kabisa.... Nakuunga mkono broo
 
Habari za Jumapili,

Vikoba vimekuwa ni chanzo cha ugomvi katika familia nyingi. Imefikia wanawake kuliwa na bodaboda nk. kwa lengo la kupata pesa kwa ajili ya kulipa marejesho...
Kuna moja hapa kitaa inaitwa chupi mkononi ni hatari wake za watu wanaliwa sana
 
Kila nikikutana na Kumi (10) ni lazima tu Saba (7) kati yao nitawagundua kama vile wako disturbed Mentally na wanajuta kuwa / kuingia Vikobani.

Vikoba vimesaidia sana Kuharibu Saikolojia ya Wanawake wengi nchini Tanzania na hasa hasa katika Mkoa wa Dar es Salaam na kwa ninachokiona huenda huko Vikobani Madaktari wa Kutibu Magonjwa ya Akili nao wakawa Wanaalikwa pia ili Kutibu Akili zilizochanganyikiwa za wana Vikoba.
 
Wadau Utabiri wa LEMA juu ya VIKOBA hatimae Umetimia . BINTI mbichi kabisa kutokana na Kushindwa KULIPA fedha za VIKOBA Tshs.300,000/= Ameamua KUJIUA ili Kukwepa DENI hilo .Tuwe Wakweli BINTI huyo angekopeshwa na ule MFUKO wa HALMASHAURI siamini kabisa kama HALMASHAURI ingemdai kwa NGUVU kama Alivyodaiwa Mtaani kiasi cha KUAMUA KUJIUA.
SERIKALI iangalie namna ya Kuwanusuru hawa MABINTI na Kina MAMA juu ya KUWAKOPESHA kupitia HALMASHAURI ukweli Usemwe VIKOBA ni UMASIKINI
chadema_in_blood_1678511299844896.jpg
 
Back
Top Bottom