Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Mi bado bichi 😀😀😀kama 5m kasoroMe mwnyw naumia hatar
Toka 1.5M had inebaki laki 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi bado bichi 😀😀😀kama 5m kasoroMe mwnyw naumia hatar
Toka 1.5M had inebaki laki 5
Dadaaaaaa 🤣🤣Village Community Bank
Polee litaisha tuuMi bado bichi 😀😀😀kama 5m kasoro
Asante my wanguPolee litaisha tuu
😀😀😀😅Dadaaaaaa 🤣🤣
Wee niikose kikoba mjini nibweteke shoga yangu?wacha tu watuchambe Ila wanavyotaka Sasa kujua tarehe za kuvunja hivyo vicoba vyetu🤣🤣🤣🤣
Utadhani wanatusaidiagaWee niikose kikoba mjini nibweteke shoga yangu?wacha tu watuchambe Ila wanavyotaka Sasa kujua tarehe za kuvunja hivyo vicoba vyetu🤣🤣🤣🤣
Watuache!Utadhani wanatusaidiaga
tunakopa bila kujua tunafanyia nini ili kuzalisha faidaNapambana na rejesho
Hahaha
Halaf ule mkopo hata skufanyia kitu
HaswaaWatuache!
Ewaaaa😀😀Tulia tulia
Vicoba kwa maendeleo ya wachezaji
AmenKumbukumbu la torati 28
9BWANA atakuweka uwe taifa takatifu kwake, kama alivyokuapia; utakaposhika maagizo ya BWANA, Mungu wako, na kutembea katika njia zake. 10Na mataifa yote ya duniani watakuona umeitwa kwa jina la BWANA, nao watakuwa na hofu kwako. 11BWANA atakufanya uwe na wingi wa uheri, katika uzao wa tumbo lako, na uzao wa wanyama wako wa mifugo, na uzao wa nchi yako, katika nchi BWANA aliyowaapia baba zako kwamba atakupa. 12Atakufunulia BWANA hazina yake nzuri, nayo ni mbingu, kwa kutoa mvua ya nchi yako kwa wakati wake, na kwa kubarikia kazi yote ya mkono wako; nawe utakopesha mataifa mengi, wala hutakopa wewe. 13BWANA atakufanya kuwa kichwa, wala si mkia; nawe utakuwa juu tu, wala huwi chini; utakapoyasikiza maagizo ya BWANA,
Yeahtunakopa bila kujua tunafanyia nini ili kuzalisha faida
hapo ndo changamoto
tushatuma mapema kabisaa..!
Kuna sisi ambao tunapata baraka na sapoti kubwa sana kutoka kwa waume zetu....na sisi ni kundi hili au sisi ni spesho