Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatafuta ugomvi.Kwa mwendazake iliwezekana kupunguza ajali, kwa Sasa zimepamba moto duhh!
Nilipanda shabiby la usiku! Nikalala lakini nilishtuliwa na kasi ya gari
Alikua anaendesha kwa fujo hadi abiria tunashikilia siti vizuri.
Nashkuru Mungu tulifika Salama.
Nilimuita kondakta nikamuambia kuhusu speed ya gari na Ac ilikua kali sanaaaMkaendelea na safari huku mkiomba Mungu hahahahahaha, hakuna hata mmoja aliyepaza sauti kumkemea dereva.
Mkafika salama, imeisha hiyo Mungu kusaidia, hahahaha.
Hakuna chochote zaidi ya uendeshaji mbaya. Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye barabara mbaya sana na uendeshaji mbovu kupitiliza. Madereva hawana mafunzo, barabara nazo ni nyembamba, magari mabovu, haya lazima yatokee.Kwa nini kwa mwaka huu ajali ni nyingi? Kuna nini?
Ajali hazijawahi kupungua nchi hii, acheni ushabiki uchwara na uzwazwa.Kwa mwendazake iliwezekana kupunguza ajali, kwa Sasa zimepamba moto duhh!
Inaonekana aligongana na lile gari la mafuta kule shambani linaonekanaSasa inaonekana wote wanatokea upande mmoja imekuaje?
walitaka ku ovatekiana au?
Kwa mwendazake iliwezekana kupunguza ajali, kwa Sasa zimepamba moto duhh!
Wala siyo ugomvi ni fact mkuu.Unatafuta ugomvi.
Ujinga mwingine ni aibu. Abiria wanaona uendeshaji mbaya badala ya kumkanya dereva wao wanashikilia siti.Mkaendelea na safari huku mkiomba Mungu hahahahahaha, hakuna hata mmoja aliyepaza sauti kumkemea dereva.
Mkafika salama, imeisha hiyo Mungu kusaidia, hahahaha.
Hakika mkuu!mikwara na utemi wa mwendazake RIP walau ilisaidia kuwafanya mapolisi na watumishi wengine kuwa active kwenye majukumu yao.
Acha ujuha wewe!! Ukiangalia video hiyo huoni kuna dereva mmoja ali overtake!!!? Coaster na Kimbinyiko ziko kwenye uelekeo mmoja. Sasa siasa inaingiaje hapo? Imbecile.Kama kawaida uzembe na ujinga unadhidi kumaliza maisha ya Watanzania.
Viongozi wa CCM na watumishi wa umma mjikite zaidi kutatua kero za wananchi na kuboresha maisha ya watu na sio kuwaza siasa, maisha binafsi, uchaguzi na kutawala.
Dhambi za hizi roho zitawatafuna sana na vizazi vyenu.
RIP watu wa Mungu, mmekufa kwa uzembe na ujinga wa sisi ndugu zenu tusiojali maisha ya watu zaidi kujilimbikizia Mali na kujali maisha yetu ilihali mmetupa dhamana ya kuwatumikia na kutatua kero zenu.
Wakati wa mwendazake ajali zimetokea kama kawaida, tena nyingi kubwa sana.mikwara na utemi wa mwendazake RIP walau ilisaidia kuwafanya mapolisi na watumishi wengine kuwa active kwenye majukumu yao.
Uongozi unaotegemea ''mtu gani yupo'' ndiyo ulivyo. Tujenge mifumo yetu badala ya kuongoza kwa mikwala na utemi.mikwara na utemi wa mwendazake RIP walau ilisaidia kuwafanya mapolisi na watumishi wengine kuwa active kwenye majukumu yao.
Yeah unakuta abiria wengine wanakuona wewe ni adui!Traffic officers tukiwaambia kesi inakugeukia abiria.
Hii nchi ni laana tupu
Sheria na mifumo ipo. Inahitaji msimamizi. Magu alisimamia sheria akawa adui. Tunahitaji mtu mkali kwa wavunja sheria sio mtu anaetaka sifa za kupendwa na kila mtu hasa wavunja sheria.Uongozi unaotegemea ''mtu gani yupo'' ndiyo ulivyo. Tujenge mifumo yetu badala ya kuongoza kwa mikwala na utemi.