VIDEO:AJARI MBAYA YA KUTISHA:IMETOKEA MBANDE WILAYA YA KONGWA LEO 1/9/2024

VIDEO:AJARI MBAYA YA KUTISHA:IMETOKEA MBANDE WILAYA YA KONGWA LEO 1/9/2024

Acha ujuha wewe!! Ukiangalia video hiyo huoni kuna dereva mmoja ali overtake!!!? Coaster na Kimbinyiko ziko kwenye uelekeo mmoja. Sasa siasa inaingiaje hapo? Imbecile.

Dereva mjinga na mzembe kiasi hicho anapopewa leseni ya kuendesha gari na mtumishi mjinga na mzembe ambaye amepata kazi kupitia mfumo mbovu uliowekwa na wanasiasa wanaojali maslahi yao unafikiri kwanini tusiilaumu SIASA.

Mbaya zaidi ni matukio yaleyale yakujirudia kila siku na watu wanapoteza maisha, kule Arusha dereva mzembe kaua watoto Leo Leo tena mengine huku, tumlaumu Nani anayetoa leseni kwa madereva wajinga na wazembe.
Tumlaumu nani kwa kuwa na jamii ya wazembe na wajinga.
 
Barabara zinatakiwa ziwe njia nne, ajali zitaendelea kutokea sana kwa mfumo huu wa barabara mbili.
Hawa wapumbavu hata ukiwawekea njia kumi wataua watu tu. Ajali nyingi ni uzembe na upumbavu tu. Hata njia hii hii ukifuata sheria na kuendesha kwa kutumia akili huwezi kupata ajali za kipumbavu kama hizi
 
Sheria na mifumo ipo. Inahitaji msimamizi. Magu alisimamia sheria akawa adui. Tunahitaji mtu mkali kwa wavunja sheria sio mtu anaetaka sifa za kupendwa na kila mtu hasa wavunja sheria.
Mkuu mifumo ipo lakini haifanyi kazi. Na haifanyi kazi kwa sababu imesukwa vibaya. Kwa nini tusiisuke vizuri? Mfumo yetu inategemea sana watu wachache ambao hata wasipofanya kazi hakuna wa kuwawajibisha. Turudishe mamlaka kwa wananchi wawe ndiyo wateuzi, wasimamizi na watenguaji.
 
Jana usiku boda boda kalaliwa na fuso.mapinga pale mlima wa kerege hapo hapo kakata moto
 
Ila
Ajari mbaya imetokea leo asubuhi njiani kuelekea Dodoma mjini
Majeruhi ni wengi idadi ya vifo bado hijajulikana.
Ni kati ya coaster na kimbinyiko
MUNGU awape nafuu wote walio umia
sio fresh kusema uongo mkuu hii ajar ya toka juzi bwana

Rip pole kwa majeruhi
 
Mwenye Coaster tunamuonea bure. Ukiangalia vizuri, utabaini mwenye Coaster kafuatwa kwenye sehemu yake na kugongana uso kwa uso.
Mwenye kimbinyiko alikuwa nyuma baada ya kuona ajali mbele amejiokoa kwa kufanya overtake ya kupunguza madhara maana ingekuwa mbaya zaidi Coaster agongwe na Lori la mafuta mbele na nyuma agongwe na Kimbinyiko.
Hongera ziende kwa Dereva wa Basi kubwa la Kimbinyiko.
Pole sana sana kwa ndugu wa Dereva Coaster asiye na hatia kuuliwa na Dereva wa Lori.
Lawama apewe yule mpmbavu mwenye Tanker la mafuta anayeonekana kule porini kugonga na kuua abiria wa basi dogo, Mungu ampe avumilivu wa nafsi aweze kutubu dhambi zake.
Poleni ndugu wa marehemu.
 
Ajari mbaya imetokea leo asubuhi njiani kuelekea Dodoma mjini
Majeruhi ni wengi idadi ya vifo bado hijajulikana.
Ni kati ya coaster na kimbinyiko
MUNGU awape nafuu wote walio umia
Unachukua picha badala msaidie majeruhi?
 
Back
Top Bottom