Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,224
- 2,938
Dah' aisee š„²
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tanzania ni nchi hatarishi sana kuishi.Ajari mbaya imetokea leo asubuhi njiani kuelekea Dodoma mjini
Majeruhi ni wengi idadi ya vifo bado hijajulikana.
Ni kati ya coaster na kimbinyiko
MUNGU awape nafuu wote walio umia
Wapumzike kwa aman sana YESU saidia watoto wako jamanAjari mbaya imetokea leo asubuhi njiani kuelekea Dodoma mjini
Majeruhi ni wengi idadi ya vifo bado hijajulikana.
Ni kati ya coaster na kimbinyiko
MUNGU awape nafuu wote walio umia
Aisee watu hawataki kusikia mazuri ya maguUnatafuta ugomvi.
Hadi ajali ambazo ni uzembe wa madereva mnasingizia wakina Mwigulu Bongo sihamiKama kawaida uzembe na ujinga unadhidi kumaliza maisha ya Watanzania.
Viongozi wa CCM na watumishi wa umma mjikite zaidi kutatua kero za wananchi na kuboresha maisha ya watu na sio kuwaza siasa, maisha binafsi, uchaguzi na kutawala.
Dhambi za hizi roho zitawatafuna sana na vizazi vyenu.
RIP watu wa Mungu, mmekufa kwa uzembe na ujinga wa sisi ndugu zenu tusiojali maisha ya watu zaidi kujilimbikizia Mali na kujali maisha yetu ilihali mmetupa dhamana ya kuwatumikia na kutatua kero zenu.
Kuna msenge mmoja tulipishana nae mlandizi sie tunaenda dar aisee yule jamaa usiku anatembe bila taa.Ukiwa mtu wa kuendesha masafa marefu utaelewa ujinga unaoendelea huku barabarani..
Gari yangu inakimbia saaana ila kuna muda najisemea tu (Nataka kumuonyesha nani kama gari yangu ina mwendo?) Nawaacha wenye haraka waende na wengine nawaokoa kwa kujibana pembeni ili overtake zao zifanikiwe..
Hao wa Mabasi ni wapuuzi sana wanaendesga kama bodaboda.. juzi pia wakat natok DSM nakuj Arusha nimekutana na gari nyingi hapo Kipande cha Bagamoyo hazina TAA nyingine zinawaka taa moja tu tena yenye mwanga hafifu hasa zile gari za kubeba mananasi ya kiwangwa.
Umakini unahitajika sana sana. Pia kuendesha kwa tahadhari tujitahidi kutumia njia tofaut tofaut za kumu-alert dereva anayekuja akupe attention.
Vipi kama hayo yote si kweli ila walikua kwenye mwendo mkali na kutokua makini/wazembe hao madereva?Kama kawaida uzembe na ujinga unadhidi kumaliza maisha ya Watanzania.
Viongozi wa CCM na watumishi wa umma mjikite zaidi kutatua kero za wananchi na kuboresha maisha ya watu na sio kuwaza siasa, maisha binafsi, uchaguzi na kutawala.
Dhambi za hizi roho zitawatafuna sana na vizazi vyenu.
RIP watu wa Mungu, mmekufa kwa uzembe na ujinga wa sisi ndugu zenu tusiojali maisha ya watu zaidi kujilimbikizia Mali na kujali maisha yetu ilihali mmetupa dhamana ya kuwatumikia na kutatua kero zenu.
Ndio maana mie matrafik siwapendi. Usiku ndio muda mzr wa kukamata magari mabovu yenyewe yamelala. Asubuh yanaanza kutafuta hela za chai wakati usiku kuna damage kibao zimefanyika.Kuna msenge mmoja tulipishana nae mlandizi sie tunaenda dar aisee yule jamaa usiku anatembe bila taa.
Na ulivyo mwerevu hukukemea mwendokasiNilipanda shabiby la usiku! Nikalala lakini nilishtuliwa na kasi ya gari
Alikua anaendesha kwa fujo hadi abiria tunashikilia siti vizuri.
Nashkuru Mungu tulifika Salama.
Ajari mbaya imetokea leo asubuhi njiani kuelekea Dodoma mjini
Majeruhi ni wengi idadi ya vifo bado hijajulikana.
Ni kati ya coaster na kimbinyiko
MUNGU awape nafuu wote walio umia
Mkuu kumwaga moto ni muhimu la sivyo chuma kugeuka itakua ndoto na tunataka posho. Dar-Dom kushindisha chuma ni aibu kwahyo ni mwendo wa kuwahi.Ujinga mwingine ni aibu. Abiria wanaona uendeshaji mbaya badala ya kumkanya dereva wao wanashikilia siti.
Upo sahihi mkuu apo wa lory itakua kaona isiwe kesi ili kuepusha majanga zaidi akawaacha uko yeye akachochora, la sivyo madhara yangekua makubwa. Kati ya coster au kimbinyiko kuna aliekua anaovertake bila kuchukua taadhari.Naona pia kuna lori limechochora pembeni ya barabara...
Kuna uwezekano mkubwa ni ajali iliyosababishwa na zaidi ya Coaster + Kimbinyiko...
Kuna mama anaonekana anakata roho hapo, jamaa mwanzo kajitahidi kukaa naye na hadi kamfanyia CPR...
Hatari sana...
Unaishia kuwahi kaburini badala ya kusudio la safari.Mkuu kumwaga moto ni muhimu la sivyo chuma kugeuka itakua ndoto na tunataka posho. Dar-Dom kushindisha chuma ni aibu kwahyo ni mwendo wa kuwahi.