Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Usiku huwa wanafanya shangwe na kadansee kwenye mabaa hadi za kubrashia ziishe.Ndio maana mie matrafik siwapendi. Usiku ndio muda mzr wa kukamata magari mabovu yenyewe yamelala. Asubuh yanaanza kutafuta hela za chai wakati usiku kuna damage kibao zimefanyika.