Ndiyo itaexpire lakini Mali alizochuma bongo watagawana pasu๐๐๐๐น๐น๐น
Lakini si ina expire date?
Kama kapigwa nayo muda ukifika atarudi kwao pasipo kugeuka nyuma.
Ndiyo itaexpire lakini Mali alizochuma bongo watagawana pasu๐๐๐
Haelewielewi yupo yupo yu akija kuamka watu washasepa na kila kituMbona kama ana wasi wasi sana
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คญ Mungu anakuona๐Hamisa hawezi kwenda huko west Africa kuishi na Ki, hii ndoa ni kwa ajili ya mwezi mtukufu tuu. Baada ya hapo ni majaaliwa.
Kajivika mabomu,ajiandae na stress!R.I.P NdikumanaWakuu
Fundi wa ball ashavuta jiko
Aziz Ki amekamilisha kiapo cha ndoa msikitini na rasmi ni mume wa Hamisa Mobetto.
View attachment 3237737
Soma, Pia
Mungu kaniona na wewe umeniona.๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คญ Mungu anakuona๐
Kuonana ndiyo mtihani...mbeya dar๐ฅดMungu kaniona na wewe umeniona.
Mbeya - ZanzibarKuonana ndiyo mtihani...mbeya dar๐ฅด
mwenyewe nimemshanga sanaMhm kwamba huyo dada ndio mrembo taifa zima ?hakuna kama yeye? Tembeeni muone asee.
Na kibaya zaidi wazazi wenzie Hamisa wote wana pesa ndefu na ushawishi kuliko Aziz kwaiyo maswala ya kuchapiwa linakuwa jambo jepes sanaKajivika mabomu,ajiandae na stress!R.I.P Ndikumana
Nawashangaa hao je wangeenda Brazil si wangekutana na visu mpk wangezimiaaaMhm kwamba huyo dada ndio mrembo taifa zima ?hakuna kama yeye? Tembeeni muone asee.
Inaonekana tuna upungufu wa visu nchini.Nawashangaa hao je wangeenda Brazil si wangekutana na visu mpk wangezimiaaa
Ova
Wengine pesa wanazo za kutosha sana. Isipokuwa wanajaribu kupunguza umiliki wa vitu 'used au mtumba. Sasa hebu jaribu kuwaza;-Mtu anavaa nguo za mtumba, viatu mtumba, friji mtumba, samani (Furniture) , gari mtumba, nyumba mtumba nk. nk. hadi mke? Hapo hapana kwa kweli!Wakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
Hapa kijana karamba galasa.Wakuu
Fundi wa ball ashavuta jiko
Aziz Ki amekamilisha kiapo cha ndoa msikitini na rasmi ni mume wa Hamisa Mobetto.
View attachment 3237737
Soma, Pia