Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Mikopo mlichukuwa wenyewe,Sasa mnalialia Nini!? Na bado, Ndoa za jinsia moja hizo zinakuja Sasa!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Mikopo inahusiana nini na huyu askari? Kwamba katumwa na taasisi zinazotupa mikopo ajirekodi au? Kwa yeye kufanya hivyo mikopo inasamehewa?
 
Hata unitukane tusi gani sijali, ila na wewe unaonekana ni unafanya huo upuuzi ndo maana unatetea.

Bila kujali nini narudia tena kama ningekuwa kiongozi i mean raisi, mashoga, wasagaji wote ningepiga kiberiti kimya kimya. Mungu mwenyewe alivyochoka akafyekelea mbali hii ndio dawa.
Usiwe too emotional....ROMA MKATOLIK aliwai kuimba

Unaweza Sali Uzae Chema Ukazaa Shoga Na Msagaji/ Mpagani Akabakwa Ikatungwa Mimba Akamzaa Padre

Mm sitetei ushoga na mashoga....Kwaio hata mwanao wa kumzaa unge mpiga Kwa AK-47??


INPUT NA OUTPUT zote tu deal nazo...
 
Mashoga kibao wako kwenye media
Na sanaaa wanajiachia tu huko
Wanatumia nguvu nyingi kujitangaza
Na kushawishi watu wawe kama wao

Ova
Utakuwa una wasema clouds 😋
 
Na hapo juu kasema kuna dada kaomba kuchangiwa diapers kwa ajili ya mwanae amelawitiwa hadi kuharibika, miaka 10 ijayo akimuona huyo mtoto shoga atasema auwawe anaharibu maadili ya Mtanzania.

Si ndio hapo sasa chanzo wanaachwa
 
IMG-20230302-WA0102.jpg
 
Hapo ndo wanaume mnaposhangaza.
Kumla mwanaume iwe Mungu hapendi lkn kwa mwanamke iwe sawa.
Wadada tumekataa mkulane wenyewe tu sasa, na ndicho kinachotokea hali ni mbaya na bado mtakulana sana hadi wabaki wanaume wawili tu Tanzania nzima
Labda mdada wewe ndo hujakulwa, lakini wenzio hata kama hutaki kumkula anakwambia pambele panauma weka kwanza huku kunuma papumzike.ILA WANAKULANA WALANE SI WANAJIFANYA FISI.
 
Ni aibu kubwa kwa jeshi letu la police kuwa na askari aina ya huyu bwana.

Isitoshe tu kumfukuza kazi huyu angepewa adhabu nyingine kali zaidi ili asitokee tena mwengine wa kujaribu kufanya uchafu huu.
Hii ni laana, ukimfunga atawekwa maabusu ya wakiume au WA kike!? Hii ni laana anatakiwa Maabusu ya kivyake!! Jinsia ya Tatu
 
Natamani yule Dikteta wa nchi jirani angekuwa Rais wa Tanzania,hoooo hoi wameufyata kwasababu ya pesa za Mashoga.
 
Niwape warning kwa wale wanaouchafua uislamu kwa kulinganisha na mambo ya ushoga , muislamu ni mtu kama wewe kila unachoweza wewe kufanya na yeye anaweza kukifanya ila uislamu umenyooka na ahuna dosari uislamu unapinga ushoga na mambo yote mabaya na mpaka adhabu mwenyezi mungu alishawai kuzitoa kwa binadamu kwa kufanya matendo kama ayo sasa, mnapousema uislamu kwa matendo ya muislamu mnakuwa mnaukosea sisi waislamu atujawai kuhukumu ukristo kwa matendo ya mkristo .. niishie apo kwa leo....
Mmoja kati ya Waislam wachache wasiohemka,nimekuelewa sana .
 
Back
Top Bottom