Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakuwa wa bububu huyuHuyu askari kadharirisha jeshi la polisi kiukweli . Serikali inafumbia macho masuala haya why? huyu yuko na familia na watoto . Kuna watu wanasema tunamchafua kwani alikuwa kaelewa kusema labda kabakwa au katekwa amejitakia mwenyewe na unaonekana amejirekodi . Video ya pili anaonekana anapigiwa video call na mwanamke afu yuko anamuonesha sehemu ya makalio huyu mwenyewe.
📌 Wanawake mko na moyo wa huruma lakini huruma yenu ndo inaaribu kizazi hiki mtoto wa kiume kukuwa kama mtoto wa kike.
Eti mtu anamtetea mtu muovu busara gani. Mdada kaniuliza je angekuwa mzazi wako ungepost au? Uenda wangepost wengine... ila acha kuficha uovu wa watu me sikumrekodi alijirekodi mwenyewe.
Taifa liko na Viongozi wa ajabu wenye tamaa na uongozi ila kuongoza hawawezi ......
... mchana mwem.
View attachment 2534416
Dodoma hiyo ukimuona huyu mwela huezi aminiDuuh,hilo tukio bila shaka lilitokea zenji.
Dom hiyo true story mzeeYa kweli haya au?
Dunia imeoza ujingaUkiwa msafi hua unaruhusiwa kuadhibu Kwa Mujibu Wa Sheria.
Viongozi wengi au Hata wanaotoa hukumu wengi ni wavunja Sheria ndio MAANA hawana uhalali Wa kufutilia mbali maovu na waovu.
Yesu alisema,'Asiye na dhambi awe Wa kwanza kumpiga jiwe Yule Mwanamke mzinzi."
Tujenge jamii ya watu wanaofuata Sheria na desturi zetu Ili iwe rahisi kukemea.
Ukichunguza Kwa kina na Kama Mungu akasimumia ukweli ni kwamba Hata watunga Sheria wetu wengi SIO watu wema . Wabunge wengi wanawake hawana ndoa ,wanabadilisha wanaume kama nguo. Wabunge wanaume wengi nao ni hivyo Hivo ,MICHEPUKO na wake za watu ,Ulevi na majivuno,kiburi,ushirikina n.k. Watu waliokosa kiasi. Jamii ya namna hii haiwezi kamwe kusimamia maadili. Mungu aturehemu tu Kwa Huruma zake lakini hiki ni kizazi Cha zinaa.Ni kizazi cha Siku za mwisho. Yale yaliyotendeka wakati Wa Sodoma na gomora yanarudi Kwa Kasi kabla ya kiyama.
Maovu yote yanafanywa Kwa Kasi KUBWA sana Sio tu Ushoga ,Hata uzinzi, rushwa ,dhulma ,mauaji , kutengeneza mpaka vyakula bandia ,mafuta bandia ,madawa bandia, magonjwa ya kutengeneza n.k.
Serikali za Kidunia zimetoa Fursa NZURI Kwa waovu kushamiri na wema kuumia Kwa kusononenka na kutishwa . Waovu wanamwagilia miaoyo Yao Kwa chochote wanachoona kinawafaa Kuridhisha tamaa zao.
GoodNamm nawaza kama wewe Bora kuwa katili ambaye hajawahi tokea ili kutokomeza hili pepo ata wawekwe mahali pamoja wamwagiwe sulphuric acid
Hamchafuliwi, huko kwenu Zanzibar hayo ni ya kawaida mbona"Unatuchafua wazanzibar"
Hakika.Tukisema haya mambo zenji ndio yamekita mizizi wake na wajukuu wa waarabu wanapandisha majini,haya mmejionea wenyewe namna gani hadi askari wao wanatinduliwa bila hofu,zenji kuna nuka nya.
Ukiona sehemu wanachuki na watu wengine hawataki muingiliano jua wanaficha maovu yao yaaijulikane,uchafu uchafu mtupu.
Tuwaombee shetani awatoe kwenye vifungo vyao.
Umeandika point kubwa sana.Hivi mnaanzanje kuangalia hizo connection za kifirauni?? Mi siwezi aisee sina moyo huo..Mungu atusaidie...macho ndo mlango wa vitu vyote vibaya..kwanini tusipinge hizi video kusambaa? Maana toka zianzwe kurushwa naona ndo zinazidi na watu mnaangalia tuu..hamuoni kwamba zinawapelekea na nyie kwny ushetani?
Roho ya kishetani kaziniHivi kuna kitu gani cha ziada ambacho kinafanya uachane na kudate Me na Ke hadi iwe Me kwa Me?
Hivi na utamu wote ule wa Kei unahaingaika na Me mwenzio? Ujinga
Nikut...mbUkijua ili iweje
Mkuu najua unawashwa sina cha kukusaidia watafute mabasha wenzioNikut...mb
Poa wanamk...nd mkubwa kama ww uliyewk avatar ya dem pu...nga kubwa ww na bwa.....baMkuu najua unawashwa sina cha kukusaidia watafute mabasha wenzio
Kwa kweli, ukiwa na hofu ya Mungu huwezi kufanya huo ufirauniRoho ya kishetani kazini
Pia hizi smartphone, social medias na vinavyooneshwa hukoHivi kwa nini haya mambo kwa sasa yanaenea kwa kasi? Isije ikawa hatujui tatizo linaanzia wapi? Mimi nahisi vitu vifuatavyo.
1. Malezi
2. Aina ya vyakula tunavyokula hada haya mayai ya kisasa na kuku wake.
Huwezi kuta mla mihogo, viaz na bumunda akafanya huu ujinga.
3. Shule tunazopeleka watoto hasa za bweni.
4. Aina ya maisha na utandawazi.
Kwa dunia ya sasa kilichobaki ndio hicho. La sivyo tutaangamiaKwa kweli, ukiwa na hofu ya Mungu huwezi kufanya huo ufirauni