Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Kuna askari polisi fulani huko Morogoro ndio ilikuwa michezo yake, anajifanya kocha wa mpira anakusanya vijana kisha anamrubuni mmoja mmoja kwa muda wake anakula matako.
 
Huyu askari kadharirisha jeshi la polisi kiukweli . Serikali inafumbia macho masuala haya why? huyu yuko na familia na watoto . Kuna watu wanasema tunamchafua kwani alikuwa kaelewa kusema labda kabakwa au katekwa amejitakia mwenyewe na unaonekana amejirekodi . Video ya pili anaonekana anapigiwa video call na mwanamke afu yuko anamuonesha sehemu ya makalio huyu mwenyewe.

📌 Wanawake mko na moyo wa huruma lakini huruma yenu ndo inaaribu kizazi hiki mtoto wa kiume kukuwa kama mtoto wa kike.

Eti mtu anamtetea mtu muovu busara gani. Mdada kaniuliza je angekuwa mzazi wako ungepost au? Uenda wangepost wengine... ila acha kuficha uovu wa watu me sikumrekodi alijirekodi mwenyewe.

Taifa liko na Viongozi wa ajabu wenye tamaa na uongozi ila kuongoza hawawezi ......
... mchana mwem.
View attachment 2534416
atakuwa wa bububu huyu
 
Hii inaleta picha kua watu wana ya ajabu sana vyumbani. Vyumba na vitanda vina siri nzito
 
Ukiwa msafi hua unaruhusiwa kuadhibu Kwa Mujibu Wa Sheria.
Viongozi wengi au Hata wanaotoa hukumu wengi ni wavunja Sheria ndio MAANA hawana uhalali Wa kufutilia mbali maovu na waovu.

Yesu alisema,'Asiye na dhambi awe Wa kwanza kumpiga jiwe Yule Mwanamke mzinzi."
Tujenge jamii ya watu wanaofuata Sheria na desturi zetu Ili iwe rahisi kukemea.

Ukichunguza Kwa kina na Kama Mungu akasimumia ukweli ni kwamba Hata watunga Sheria wetu wengi SIO watu wema . Wabunge wengi wanawake hawana ndoa ,wanabadilisha wanaume kama nguo. Wabunge wanaume wengi nao ni hivyo Hivo ,MICHEPUKO na wake za watu ,Ulevi na majivuno,kiburi,ushirikina n.k. Watu waliokosa kiasi. Jamii ya namna hii haiwezi kamwe kusimamia maadili. Mungu aturehemu tu Kwa Huruma zake lakini hiki ni kizazi Cha zinaa.Ni kizazi cha Siku za mwisho. Yale yaliyotendeka wakati Wa Sodoma na gomora yanarudi Kwa Kasi kabla ya kiyama.


Maovu yote yanafanywa Kwa Kasi KUBWA sana Sio tu Ushoga ,Hata uzinzi, rushwa ,dhulma ,mauaji , kutengeneza mpaka vyakula bandia ,mafuta bandia ,madawa bandia, magonjwa ya kutengeneza n.k.

Serikali za Kidunia zimetoa Fursa NZURI Kwa waovu kushamiri na wema kuumia Kwa kusononenka na kutishwa . Waovu wanamwagilia miaoyo Yao Kwa chochote wanachoona kinawafaa Kuridhisha tamaa zao.
Dunia imeoza ujinga
 
The only Huyo jamaa amejiua lini?

Sasa wenye kuwachukia mashoga watakuwa wamefurahi sana jamaa kamua kujiua mwenyewe. Je tatizo litaosha? Waliokuwa wanamfanya wao wamechukuliwa hatua gani?
 
Tukisema haya mambo zenji ndio yamekita mizizi wake na wajukuu wa waarabu wanapandisha majini,haya mmejionea wenyewe namna gani hadi askari wao wanatinduliwa bila hofu,zenji kuna nuka nya.

Ukiona sehemu wanachuki na watu wengine hawataki muingiliano jua wanaficha maovu yao yaaijulikane,uchafu uchafu mtupu.

Tuwaombee shetani awatoe kwenye vifungo vyao.
Hakika.
 
Hivi mnaanzanje kuangalia hizo connection za kifirauni?? Mi siwezi aisee sina moyo huo..Mungu atusaidie...macho ndo mlango wa vitu vyote vibaya..kwanini tusipinge hizi video kusambaa? Maana toka zianzwe kurushwa naona ndo zinazidi na watu mnaangalia tuu..hamuoni kwamba zinawapelekea na nyie kwny ushetani?
Umeandika point kubwa sana.

Kwanza Mwanaume na Mwanamke unapoomba video kama hiyo unataka ujifunze nini?

Serikali nayo inapaswa kutoa adhabu kali kwa wasambazaji wote wa video hizi
 
Kwaiyo siku hizi tuanze kukagua makalio ya wanaume zetu, kweli jmn???
Maana huyu ni baba kabisa wa familia, kumbe puto linapulizwaaaa mxiuuuuuu..
Maskini mkewe, pole yake...
 
Hivi kwa nini haya mambo kwa sasa yanaenea kwa kasi? Isije ikawa hatujui tatizo linaanzia wapi? Mimi nahisi vitu vifuatavyo.
1. Malezi
2. Aina ya vyakula tunavyokula hada haya mayai ya kisasa na kuku wake.
Huwezi kuta mla mihogo, viaz na bumunda akafanya huu ujinga.
3. Shule tunazopeleka watoto hasa za bweni.
4. Aina ya maisha na utandawazi.
 
Hivi kwa nini haya mambo kwa sasa yanaenea kwa kasi? Isije ikawa hatujui tatizo linaanzia wapi? Mimi nahisi vitu vifuatavyo.
1. Malezi
2. Aina ya vyakula tunavyokula hada haya mayai ya kisasa na kuku wake.
Huwezi kuta mla mihogo, viaz na bumunda akafanya huu ujinga.
3. Shule tunazopeleka watoto hasa za bweni.
4. Aina ya maisha na utandawazi.
Pia hizi smartphone, social medias na vinavyooneshwa huko

Kama serikali ingekuwa serious kufungia hizo porn sites na VPN kama wanavyofungia miziki mibaya na kuwakamata wote wanaosambaza video na picha hizo ingesaidia sana
 
Back
Top Bottom