Alizaliwa boya pia ndiyo maana anatumika kuvuruga watu kama alivyomshambulia Jaji Warioba mwaka 2014.Uongozi sio Elimu.
Kiongozi ni Ama Azaliwe, au Atengenezwe kupitia Elimu.
Sasa Makonda ni wa kuzaliwa ndio maana wajinga wachache kama wewe mnaojiona mmesoma ndio hammpendi.
Lkn kwakua Makonda ni Kiongozi wa kuzaliwa, ndio maana Kila Ziara zake anaambata na watu wa Sheria, na kada zote, hiii tunaita DHANA YA USHIRIKISHAJI
Rais mwenyewe anajuwa Mahakama ni pango la RUSHWANaomben kuuliza, je tatizo Nini Hadi mifumo igongane?
Hakuna Sheria ziongozazo kiongozi akienda tofauti na uhalisia aelekezwe vipi ili arudi katika uhalisia?
Mambo ya ccm hayaAwali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa Mzee "X". Na sasa Jaji "Y" anawaita Mawakili wa
Anatumia hekima bila kudhalilisha watuMbona Jerry Silaa hawi maarufu kama Makonda??
Unatafuta kichaka cha kujificha?? Aliyekosea maadili ya kazi yake ni jaji mmoja tu au unataka kusema jaji hakoselewi? Akikosolewa tayari umeingilia mhimili wa mahakama sio? Au hukumu ya jaji hapingwi?Anachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda
Anakulipa sh? MakondaUongozi sio Elimu.
Kiongozi ni Ama Azaliwe, au Atengenezwe kupitia Elimu.
Sasa Makonda ni wa kuzaliwa ndio maana wajinga wachache kama wewe mnaojiona mmesoma ndio hammpendi.
Lkn kwakua Makonda ni Kiongozi wa kuzaliwa, ndio maana Kila Ziara zake anaambata na watu wa Sheria, na kada zote, hiii tunaita DHANA YA USHIRIKISHAJI
Majaji nani anawateua? Wanateuliwa kwa vigezo gani? Kusikia haya madudu kunatia unajisi mahakama
Go jery go.Uongozi sio Elimu.
Kiongozi ni Ama Azaliwe, au Atengenezwe kupitia Elimu.
Sasa Makonda ni wa kuzaliwa ndio maana wajinga wachache kama wewe mnaojiona mmesoma ndio hammpendi.
Lkn kwakua Makonda ni Kiongozi wa kuzaliwa, ndio maana Kila Ziara zake anaambata na watu wa Sheria, na kada zote, hiii tunaita DHANA YA USHIRIKISHAJI
Leta kipimo Cha umaarufu Makonda ni maarufu kwa matusi japo utendaji wake ni mzuri lakini Jerry silaa ni utendaji BoraMbona Jerry Silaa hawi maarufu kama Makonda??
Huyo jaji hakutakuwa kusikiliza hiyo kesi ni conflict of interest Slaa Yuko sahihiAnachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda
Kwani waziri kusema tu hivyo ndiyo kumfanya 'jaji amsaidie tapeli'. Aende mahakamani ili mbivu na mbichi zieleweke. Kumwandikia tu waziri wa sheria hakusaidii kitu kwa tuhuma kama hizi. Lakini pia kama waziri hatakuwa na ushahidi wenye nguvu jaji anayeshutumiwa akifungua kesi ya madai kumshushishia heshima mbele ya jamii, patakuwa patamu hapo!Awali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa Mzee "X". Na sasa Jaji "Y" anawaita Mawakili wa Serikali kutaka kuwa CORRUT.
Je huyu Jaji "Y" ni nani? Na Je huyu Tapeli "Z" ndiye Alex Msama au Mushi?
Haya wataalamu wa mambo ya ARDHI tufungulieni codes.
---
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesema kuwa ameandika barua kwenda kwa Waziri wa Katiba na Sheria kufuatia jaji mmoja wa mahakama kukiuka kanuni za taaluma.
Waziri Silaa akihitimisha hoja ya bajeti yake bungeni amesema kuwa mwaka 2015 jaji huyo alikuwa wakili, na akamsaidia tapeli mmoja kuchukua ardhi ya watu.
Amesema warithi wa aliyetapeliwa walipoenda makamani hivi karibuni, wamekuta wakili yule sasa ni jaji, bado akaamua kwa kumnufaisha tapeli.
Amesisitiza kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria, na kwamba jambo hilo amelichukua yeye ili kuhakikisha sheria inachukua mkondo wake na haki inapatikana.
Credit: TBC
Lakini naona kwenye 'conflict of interest' hapa haifiti vizuri kwa sababu mtu ambaye zamani nilipokuwa wakili alileta documents zake nimgongee mhuri hakuwezi kunifunga kwa baadaye nikiwa jaji kuamua kesi dhidi yake au kwa upande wake. Conflict of interest inatokea kama uhusiano wa huyo jaji na mtu aliyemgongea mhuri kwenye documents zake unaweza au utaathiri uamuzi wake (yaani kwamba hataweza kuwa fair kwa sababu hiyo).Huyo jaji hakutakuwa kusikiliza hiyo kesi no conflict of interest Slaa Yuko sahihi
Hili liinchi ndo maana haliendelei. Kila penye upuuzi ambapo tulitakiwa kushirikiana kuukataa hutokea wajinga kama weweAnachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda
Ni kweli lakini mahakamani kuna madudu mengi na hatari sehemu inayotegemewa kupata haki kuna madudu namna hii. Kama umeshawahi kupitia mahakami basi utamuelewa Slaa. Kule kama una roho ndogo utajinyonga. Ni wakati wa kuwanyoshea vidole wajue kuwa kila mtu ataguswa ukichukulia pia wanateuliwa na Rais pia anayeteua mawaziri.Anachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda
Mkuu umeelewa kitendawili kilichopo kwenye maelezo ya mzungumzaji???, hapa mahakama inatuhumiwa, iweje itende haki???Anachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda