Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
- Thread starter
- #81
Si kwamba ni mara ya kwanza Wizara ya Aridhi kuzingumzia kesi hii, hata Mh. Mabula alishawahi kuizungumza na kumtaja hadharani Bw. Valence Simon Matunda kama tapeli sugu. Inakuaje yupo mtahani mpaka leo🤔?
Huyu Valence Matunda ni hatari sana. Hata hapa Mbezi Makonde ana nyumba yake na jirani na ndugu yake aliye mkaribisha. Sasa huyo jirani yake ambaye ni shemeji yake alikuwa anakopa hela kidogo kidogo. Matokeo yake baada ya deni kuwa kubwa akamuambia amuongeze hela kidogo ili huyo shemeji yake amuachie nyumba wanayopakana. Jamaa akawa hana namna kachia nyumba na kapewa hela kidogo kahamia sijui Trgeta A.