Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Kumbuka huyo jaji na tapeli wana watu na pia wanaweza kuharibu ushahidi.manake ameshindwa kwenye evidence na mchakato wa nje, ameona akimbilie bungeni ili mhimili mmoja utuhumu mhimili mwingine. pia, anaharibu kesi sasa manake kama ameshatuhumu na yeye ni waziri, watakaochunguza watakuwa huru kiasi gani?
kama nakumbuka, ile clip ninayo, sio kwamba nyaraka zimebadilishwa, yule anayesemekana ni tapeli anayo hati halisi hadi leo ipo vilevile, ila baada ya kugoma kuitoa, wizara ndio wakatoa duplicate ili mlalamikaji abadilishe umiliki na auze. kwahiyo huyo anayetukanwa kwamba ni tapeli hajabadilisha kitu, yeye kabaki na mikataba ileile halisi na title ile ile halisi. na wakija kwenye issue ya mil.200 wanazodai mahakama ilisema apewe, kama anachodai huyo jamaa ni cha uongo kwanini walikubali kudeposit 1b kama hawakuwa naw ajibu kufanya hivyo?Issue ni kwamba nyaraka za ardhi mali ya mtu mwingine zimebadilishwa, zimebadilishwa bila ya ridhaa ya mwenyewe hiyo tayari ni fraudulent act.
Jaji kuwa na conflict of interest kwenye kesi na maamuzi yake aliyotoa inapigilia msumari malalamiko ya waziri kuna network ya majangili ya kupora ardhi serikalini, mahakamani na matapeli wa mtaa.
angefanya hivyo, takukuru wangekuja na taarifa nzuri sana ambayo ingesaidia kuunda tume na kumwondoa huyu jaji. hadi hapa jerry kaenda bungeni kamwaga confidential trap, jaji na washirika wake watapambana kupoteza ushahidi na hakuna kitakachowapata. pia, huyo tajiri kama amesavaivu hivi miaka yote, unafikiri hana watu?Kumbuka huyo jaji na tapeli wana watu na pia wanaweza kuharibu ushahidi.
Kama waziri, anashindwa kukusanya ushahidi kimya kimya kisha akapeleka Takukuru na yeye akawa kama msimamizi mkuu?
Sheria za Tanzania kwenye suala la ardhi ni mbovu. Zinaangalia makaratasi zaidi.Issue ni kwamba nyaraka za ardhi mali ya mtu mwingine zimebadilishwa, zimebadilishwa bila ya ridhaa ya mwenyewe hiyo tayari ni fraudulent act.
Jaji kuwa na conflict of interest kwenye kesi na maamuzi yake aliyotoa inapigilia msumari malalamiko ya waziri kuna network ya majangili ya kupora ardhi serikalini, mahakamani na matapeli wa mtaa.
Kama ndio ivyo hata huyo Jerry Silaa asingeaika maana kuna ushahidi gani huyo mlalamikaji ana haki na ardhi husika.kama nakumbuka, ile clip ninayo, sio kwamba nyaraka zimebadilishwa, yule anayesemekana ni tapeli anayo hati halisi hadi leo ipo vilevile, ila baada ya kugoma kuitoa, wizara ndio wakatoa duplicate ili mlalamikaji abadilishe umiliki na auze. kwahiyo huyo anayetukanwa kwamba ni tapeli hajabadilisha kitu, yeye kabaki na mikataba ileile halisi na title ile ile halisi. na wakija kwenye issue ya mil.200 wanazodai mahakama ilisema apewe, kama anachodai huyo jamaa ni cha uongo kwanini walikubali kudeposit 1b kama hawakuwa naw ajibu kufanya hivyo?
Ndio wanavyo jiongopeaga ivyo matapeli; record za ardhi ni traceable kuanzia mmiliki wa kwanza.Sheria za Tanzania kwenye suala la ardhi ni mbovu. Zinaangalia makaratasi zaidi.
Wewe ukiwa na kiwanja chako, nikienda kukitengenezea hati, tayari wewe unanyang'anywa ukumbuke viwanja tunarithishana kwa mababu.
unachotakiwa kuelewa ni kwamba, pale hakuna mgogoro wa umiliki wa ardhi, huyo tajiri aliingia mkataba wa kiuwekezaji na marehemu, akawekeza pesa ndefu, na akapewa hati halisi ambayo ndiyo anayo hadi leo hajabadilisha. kwahiyo ushahidi uliopo ni mikataba ambayo walalamikaji wote wapo na picha zao zipo na saini zao, wamepata mwekezaji au mnunuzi mpya awanataka kumpiga chini huyo tajiri ili waendelee na maisha yao, hapo ndipo mgogoro ulipo, jamaa kasema basi nirudishieni pesa niliyowekeza niwarudishie hati yenu, hawataki. yeye kafungia hati ile ile halisi kwenye kabati.Kama ndio ivyo hata huyo Jerry Silaa asingeaika maana kuna ushahidi gani huyo mlalamikaji ana haki na ardhi husika.
System ya ardhi ina record kuanzia mtu wa kwanza anaepewa offer ya eneo ata akiuza huko mbele bado wanatunza info za historia ya wamiliki. Sasa wewe ukienda na kufanya utundu wako jina la umiliki likabadilishwa bado wamiliki wa awali wanabaki kwenye records za ardhi.
Kwa hivyo mmiliki wanyuma akijitokeza na kudai kiwanja ni chake wewe mpya inabidi ueleze umekipata vipi bila ya ridhaa yake au kuuziwa na yeye.
Isitoshe maamuzi ya mahakama sio rahisi kupingwa hata na vyombo vya kuchunguza rushwa kama PCCB na TAKUKURU ni hiyo tume yao ndio inamamlaka ya kuamua kwanza.
Jerry yeye anafuata taratibu hakurupuki tu kisa waziri na kutumia madaraka yake vibaya.
Wwe usicheze na hao Matapeli wa Aridhi, wana mtandao mpana hadi huko Takukuru unako sema wwe!!Kumbuka huyo jaji na tapeli wana watu na pia wanaweza kuharibu ushahidi.
Kama waziri, anashindwa kukusanya ushahidi kimya kimya kisha akapeleka Takukuru na yeye akawa kama msimamizi mkuu?
Na hili Ndio Tatizo Unakuja Waziri amekuja na bidii ya kutumikia TaifaAwali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa Mzee "X". Na sasa Jaji "Y" anawaita Mawakili wa Serikali kutaka kuwa CORRUT.
Je huyu Jaji "Y" ni nani? Na Je huyu Tapeli "Z" ndiye Alex Msama au Mushi?
Haya wataalamu wa mambo ya ARDHI tufungulieni codes.
---
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesema kuwa ameandika barua kwenda kwa Waziri wa Katiba na Sheria kufuatia jaji mmoja wa mahakama kukiuka kanuni za taaluma.
Waziri Silaa akihitimisha hoja ya bajeti yake bungeni amesema kuwa mwaka 2015 jaji huyo alikuwa wakili, na akamsaidia tapeli mmoja kuchukua ardhi ya watu.
Amesema warithi wa aliyetapeliwa walipoenda makamani hivi karibuni, wamekuta wakili yule sasa ni jaji, bado akaamua kwa kumnufaisha tapeli.
Amesisitiza kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria, na kwamba jambo hilo amelichukua yeye ili kuhakikisha sheria inachukua mkondo wake na haki inapatikana.
Credit: TBC
OK this is developed information to me sina hii background. As yet hoja zangu ni kutokana na ka clip ka waziri.unachotakiwa kuelewa ni kwamba, pale hakuna mgogoro wa umiliki wa ardhi, huyo tajiri aliingia mkataba wa kiuwekezaji na marehemu, akawekeza pesa ndefu, na akapewa hati halisi ambayo ndiyo anayo hadi leo hajabadilisha. kwahiyo ushahidi uliopo ni mikataba ambayo walalamikaji wote wapo na picha zao zipo na saini zao, wamepata mwekezaji au mnunuzi mpya awanataka kumpiga chini huyo tajiri ili waendelee na maisha yao, hapo ndipo mgogoro ulipo, jamaa kasema basi nirudishieni pesa niliyowekeza niwarudishie hati yenu, hawataki. yeye kafungia hati ile ile halisi kwenye kabati.
Ndiyo maana yule Tapeli Mmasi alitolewa nishai na Silaa baada kujimilikisha Nyumba ya Marehemu kwa njia za utapeli, kumbe Marehemu anamiliki ile hati toka mwaka 1985, tena nasikia tayari amekutwa na kesi.ya kujibu kwenye kesi yake ya kugushi nyaraka za uhamisho!!Ndio wanavyo jiongopeaga ivyo matapeli; record za ardhi ni traceable kuanzia mmiliki wa kwanza.
Unaweza badili ukajipa umiliki kwa utapeli lakini aina maana records za mmiliki wa awali ardhi zinapotea, sasa akitokea inabidi uelezee hiko kiwanja umekipataje.
Ngoja nisikilize hizo clip na mimi badala ya kuendelea kujiropokea tu without all the details.Ndiyo maana yule Tapeli Mmasi alitolewa nishai na Silaa baada kujimilikisha Nyumba ya Marehemu kwa njia za utapeli, kumbe Marehemu anamiliki ile hati toka mwaka 1985, tena nasikia tayari amekutwa na kesi.ya kujibu kwenye kesi yake ya kugushi nyaraka za uhamisho!!
Tumesema repeatedly, Makonda ni kilaza no doubt ila anafanya kazi ambayo mahakama imewashinda na CJ hashtuki kapoa kama uji wa mgonjwa.
Ukiwa na akili ndogo alafu watu waongee mambo yaliyozidi uwezo wa akili yako lazima uone kuwa ni mambo ya kutisha sasa ni busara kukaa kimya kuficha ujingaKaone ulivyo kajinga na katahira.
Angalia upande mwingine.Bora kujaribu mabadiliko kuliko kumwacha mtu ambae anaonekana hajali kabisa.
Yaani kiongozi wa mahakama anawaona viongozi wakitaifa wanalalamikia branch yake ya power kwenye mikutano yao.
Bungeni nako malalamiko hayo hayo. Katika separation of power bunge na serikali ina lalamikia mahakama; halafu judge mkuu ndio kwanza walaa anawaona wapiga kelele tu hana habari.
Change is worth a try kuliko kuacha mtu ambae anaonekana doesn’t care. Ni muda wa kupelekwa kwenye body member ya mashirika, kazi ya mahakama imemshinda.
Tunajadili mambo serious na wewe unaleta ya ZerobrainChakushangaza, badala ya kuhangaika kurekebisha mambo, ili mahakama ipate heshima na kuaminiwa, wanakazana kupambana na Makonda. Another fatal error of judgement in their approach
Wenye brain wanaivuruga nchi kiasi kwamba sisi wenye zero brain tumeshituka. Na cha kushangaza, kule mkoani, sababu ya hizi tambo na majigambo,zero brain mwingine anaongoiza race so far.Tunajadili mambo serious na wewe unaleta ya Zerobrain
hao majaji wengine hata hawaogopi, wapo wengine walikuwa kwenye taasisi walikuwa wanalipwa karibia 10m, marupurupu rundo, wamepewa ujaji wanalipwa kama nusu ya hiyo hela na marupurupu kidogo, wengi wanatamani hata kuacha. ila ndo hawana pa kwenda. wengine wanaamua wapige rushwa tu.Shida ipo kwenye mifumo ya upatikanaji haki,Fedha imekuwa kachumbali muhimu..Huna pesa ya kutosha huwezi pata wakili mzuri..Mawakili wazuri ni ghali na adimu..
Kama ilivyo kwa elimu na afya..Una bima? Ipi?ya Wapi?..Una watoto? Wanasoma nini na wapi?
Haki imekuwa bidhaa inauzwa na kununuliwa..Naamini majaji jamii ya kina Samatta,Mwalusanya?Nyarali kama wapo ni wachache..Wenye wivu wa kutoa na kumimina haki..