Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475



-- Bwawa limeelemewa na maji, namna ya kuliokoa lisivunje kuta zake ni maji kuachiwa, matarajio ni kwamba maji yataachiwa na lita 700,000 kwa sekunde zitamwagwa

-- Wananchi wameanza kuambiwa kuhama sababu maafa yanayokuja ni makubwa

-- UNESCO waonya kuhusu mafuriko kusabibishwa na bwawa, Mwalimu Nyerere aliambiwa kuhusu hii hali, Mwalimu akaona hapana tuachane na hili bwawa

-- Hili Bwawa linachangamoto moja, linamwaga maji wakati maji yanaelekea kwenye maeneo yenye shughuli za utalii, makazi ya watu na maeneo ya kilimo

-- Changamoto hizo zilionekana mwaka 1970 wakati huo kulikuwa na population ndogo rufiji

-- Kwa sasa serikali ina changamoto ya kulinda usalama wa bwawa kutovunjwa na maji, lakini pia kuzuia maji na kuyaachia kwa kasi pia, kwenye hii operation kama bwawa litavunjika litasomba rufiji yote na chochote mbele yake, Njia salama ni kuachia haya maji kama wanavyofanya sasa, lakini shida ni kwamba hawataki kuwaambia wananchi ukweli, wanatakiwa kuhamisha wananchi na kuwalipa usumbufu, kwa maji yanayokwenda kuingia kwenye bwawa ili bila kuyaachia kwa kasi bwawa zitavunjia

-- Makadirio ya kuachia maji ili bwawa liwe salama ni 700,000 lita kila sekunde , kwa maana nyingine ni kuachia maji ya kujaza uwanja wa mpira wa mkapa ndani sekunde 2 au chini ya hapo

Haya maji yanakwenda kusomba watu, serikali iwe wazi, maana kuna tahadhari ya mvua kunyesha,

-- Haya maji yakiachiwa yataijaza wilaya ya rufiji kwa kimo cha 1.8 mita , wilaya yote ya rufiji

-- Mbili haya maji yaliyoachiwa na yanayoenda kuachiwa sio ya kuzalisha umeme, ni kwamba maji yameingia kwa wingi kwenye bwawa na bwawa alina uwezo wa kuimiri hivyo wanayafungulia ili kingo vya bwawa zisije vunjwa, na wanaelekea kuachia maji mengi zaidi ili kuokoa bwawa sio kuzalisha umeme hapana ni kuokoa bwawa maana waliaenda kujenga bwawa kwenye eneo lenye mto mzito bila kuzingatia athari za mazingira, kujenga bwawa kwenye mto kama rufiji iliitaji tekinologia kubwa sana na pia fedha nyingi sana zilitakiwa kutumika kutokana na hali ya kijiography ya mto, kwa maana nyingine huu mradi ulikuwa ni hatari , mvua zikipiga basi lazima maji yaachiwe vya kutosha.

Kwa sasa wamefungua milango 4 tu na bwawa lina milango 9 na katika hiyo 4 ambayo ni chini ya nusu tayari rufiji imezama, sasa sijui wakifungua full scale itakuwaje yaani 9 ili kuokoa bwawa, na swali kubwa ni je ili bwawa liko salama? tutadumu na ili bwawa kwa muda gani kama haya maji yakijaa yanakuwa mengi kiasi kikubwa hivi ?

Mungu ilinde rufiji, Mungu walinde Watanzania
 
-- Makadirio ya kuachia maji ili bwawa liwe salama ni 700,000 lita kila sekunde , kwa maana nyingine ni kuachia maji ya kujaza uwanja wa mpira wa mkapa ndani sekunde 2 au chini ya hapo

Haya maji yanakwenda kusomba watu, serikali iwe wazi, maana kuna tahadhari ya mvua kunyesha,

-- Haya maji yakiachiwa yataijaza wilaya ya rufiji kwa kimo cha 1.8 mita , wilaya yote ya rufiji
Hao wanyama wana eneo kubwa tu la kuhamia Selous ni kubwa sana inakutana na Mikumi na inasambaa mikoa ya Lindi, Ruvuma, Morogoro na Pwani
 
milango ya kumwaga maji ifunguliwe yote, rate of intake iendane na rate of flow out mpaka kipindi cha mvua kinapokaribia kuisha ndipo wazuie flow out,
N. B, Nagundua bwawa hili halitaki uzembe, either itengenezwe Automatic flow out, maji yanapofikia tu kina cha 180, hizo flow out ziwe zinafunguka zenyewe, sidhani kama binadamu anaweza kumudu hasa juu ya uangalizi na umakini huu.
*Retr, engineer!
 
View attachment 2957904


-- Bwawa limeelemewa na maji, namna ya kuliokoa lisivunje kuta zake ni maji kuachiwa, matarajio ni kwamba maji yataachiwa na lita 700,000 kwa sekunde zitamwagwa

-- Wananchi wameanza kuambiwa kuhama sababu maafa yanayokuja ni makubwa

-- UNESCO waonya kuhusu mafuriko kusabibishwa na bwawa, Mwalimu Nyerere aliambiwa kuhusu hii hali, Mwalimu akaona hapana tuachane na hili bwawa

-- Hili Bwawa linachangamoto moja, linamwaga maji wakati maji yanaelekea kwenye maeneo yenye shughuli za utalii, makazi ya watu na maeneo ya kilimo

-- Changamoto hizo zilionekana mwaka 1970 wakati huo kulikuwa na population ndogo rufiji

-- Kwa sasa serikali ina changamoto ya kulinda usalama wa bwawa kutovunjwa na maji, lakini pia kuzuia maji na kuyaachia kwa kasi pia, kwenye hii operation kama bwawa litavunjika litasomba rufiji yote na chochote mbele yake, Njia salama ni kuachia haya maji kama wanavyofanya sasa, lakini shida ni kwamba hawataki kuwaambia wananchi ukweli, wanatakiwa kuhamisha wananchi na kuwalipa usumbufu, kwa maji yanayokwenda kuingia kwenye bwawa ili bila kuyaachia kwa kasi bwawa zitavunjia

-- Makadirio ya kuachia maji ili bwawa liwe salama ni 700,000 lita kila sekunde , kwa maana nyingine ni kuachia maji ya kujaza uwanja wa mpira wa mkapa ndani sekunde 2 au chini ya hapo

Haya maji yanakwenda kusomba watu, serikali iwe wazi, maana kuna tahadhari ya mvua kunyesha,

-- Haya maji yakiachiwa yataijaza wilaya ya rufiji kwa kimo cha 1.8 mita , wilaya yote ya rufiji

-- Mbili haya maji yaliyoachiwa na yanayoenda kuachiwa sio ya kuzalisha umeme, ni kwamba maji yameingia kwa wingi kwenye bwawa na bwawa alina uwezo wa kuimiri hivyo wanayafungulia ili kingo vya bwawa zisije vunjwa, na wanaelekea kuachia maji mengi zaidi ili kuokoa bwawa sio kuzalisha umeme hapana ni kuokoa bwawa maana waliaenda kujenga bwawa kwenye eneo lenye mto mzito bila kuzingatia athari za mazingira, kujenga bwawa kwenye mto kama rufiji iliitaji tekinologia kubwa sana na pia fedha nyingi sana zilitakiwa kutumika kutokana na hali ya kijiography ya mto, kwa maana nyingine huu mradi ulikuwa ni hatari , mvua zikipiga basi lazima maji yaachiwe vya kutosha.

Kwa sasa wamefungua milango 4 tu na bwawa lina milango 9 na katika hiyo 4 ambayo ni chini ya nusu tayari rufiji imezama, sasa sijui wakifungua full scale itakuwaje yaani 9 ili kuokoa bwawa, na swali kubwa ni je ili bwawa liko salama? tutadumu na ili bwawa kwa muda gani kama haya maji yakijaa yanakuwa mengi kiasi kikubwa hivi ?

Mungu ilinde rufiji, Mungu walinde Watanzania
Shule ya Mkongo na Utete zifungwe mara moja na wanafunzi wahamishiwe shule maalum kama Kibaha na Ilboru.
 
alianza ubishi wa jpm. mtu alikua kichaa akapewa urais. jpm alifaa uwaziri mkuu na si urais
haya kaja bi marembo naye badala azingatie suala la athari za kimazingira kwa wakazi wa huko naye kaacha tu mambo yajiendee. sasa balaa limetokea ndio wanataka kusaidia wananchi. akili za watu weusi ni upepo mtupu.
kusimamisha ujenzi ilikua si suala la kufanya ilipaswa kuhakikisha usalama wa wananchi na mazingira uzingatiwe.

wazungu walipoonya jpm kwa kibri akajibu wanatuone gere. watuonee gere kwa lipi wakati wametuzidi akili.
 
Kuna mafuriko Kilombero. Je kwa ajilli ya Bwawa hilo pia?
Land slide ya Hanang je UNESCO wanashauri nini?.

Tuache ujuaji maandazi.
Point niliyochukua ni kujenga kwa gharama ambako kulihitajika ili liwe imara

Ninachojua na kuamini pasipo shaka ni kiwa Bwawa halizalishi maji hivyo maji hayo kwa mwaka huu yangepita mto rifiji.

. Bwawa linakusanya maji likiaachia litaachia mengi kwa mpigo tofauti na vile yangepita kwa muda mrefu. Hapa ndio suluhu itafutwe
 
Hiyo sio falls ni ziwa Hilo mnalisimbua kulibana bana na kitawakuta kitu.
Serikali ilitakiwa iwahamishe hao watu kabla hata huo mradi haujaanza kwa sasa hv itakua sio janga bali ni uzembe afu hizi ishu za mabwawa kuzidiwa maji hutokea duniani kote imekuaje bwawa limejengwa bila kuhamisha makazi ya watu ambao wapo hatarini??

Tumeweza kuwahamisha wale wananchi kutoka Loliondo na kuwajengea makazi mapya kule Msomera. Ni wakati muafaka sasa kuwahamisha wakazi walio jirani na mradi na kuwajengea makazi mapya.
 
Mleta mada acha kuwachanganya watu kwa hiyo video. Hiyo video ninayo muda mrefu sana mimi na wala siyo ya leo wala jana.ila naona umeamua tu kuja kupigia propaganda hapa jukwaani kwa sababu zako binafsi.
Wewe chawa mpumbavu huku siyo saizi yako. Wewe endelea na ziara ya Makonda tu. Waache wenye akili watoe mawazo yao.
 
View attachment 2957904


-- Bwawa limeelemewa na maji, namna ya kuliokoa lisivunje kuta zake ni maji kuachiwa, matarajio ni kwamba maji yataachiwa na lita 700,000 kwa sekunde zitamwagwa

-- Wananchi wameanza kuambiwa kuhama sababu maafa yanayokuja ni makubwa

-- UNESCO waonya kuhusu mafuriko kusabibishwa na bwawa, Mwalimu Nyerere aliambiwa kuhusu hii hali, Mwalimu akaona hapana tuachane na hili bwawa

-- Hili Bwawa linachangamoto moja, linamwaga maji wakati maji yanaelekea kwenye maeneo yenye shughuli za utalii, makazi ya watu na maeneo ya kilimo

-- Changamoto hizo zilionekana mwaka 1970 wakati huo kulikuwa na population ndogo rufiji

-- Kwa sasa serikali ina changamoto ya kulinda usalama wa bwawa kutovunjwa na maji, lakini pia kuzuia maji na kuyaachia kwa kasi pia, kwenye hii operation kama bwawa litavunjika litasomba rufiji yote na chochote mbele yake, Njia salama ni kuachia haya maji kama wanavyofanya sasa, lakini shida ni kwamba hawataki kuwaambia wananchi ukweli, wanatakiwa kuhamisha wananchi na kuwalipa usumbufu, kwa maji yanayokwenda kuingia kwenye bwawa ili bila kuyaachia kwa kasi bwawa zitavunjia

-- Makadirio ya kuachia maji ili bwawa liwe salama ni 700,000 lita kila sekunde , kwa maana nyingine ni kuachia maji ya kujaza uwanja wa mpira wa mkapa ndani sekunde 2 au chini ya hapo

Haya maji yanakwenda kusomba watu, serikali iwe wazi, maana kuna tahadhari ya mvua kunyesha,

-- Haya maji yakiachiwa yataijaza wilaya ya rufiji kwa kimo cha 1.8 mita , wilaya yote ya rufiji

-- Mbili haya maji yaliyoachiwa na yanayoenda kuachiwa sio ya kuzalisha umeme, ni kwamba maji yameingia kwa wingi kwenye bwawa na bwawa alina uwezo wa kuimiri hivyo wanayafungulia ili kingo vya bwawa zisije vunjwa, na wanaelekea kuachia maji mengi zaidi ili kuokoa bwawa sio kuzalisha umeme hapana ni kuokoa bwawa maana waliaenda kujenga bwawa kwenye eneo lenye mto mzito bila kuzingatia athari za mazingira, kujenga bwawa kwenye mto kama rufiji iliitaji tekinologia kubwa sana na pia fedha nyingi sana zilitakiwa kutumika kutokana na hali ya kijiography ya mto, kwa maana nyingine huu mradi ulikuwa ni hatari , mvua zikipiga basi lazima maji yaachiwe vya kutosha.

Kwa sasa wamefungua milango 4 tu na bwawa lina milango 9 na katika hiyo 4 ambayo ni chini ya nusu tayari rufiji imezama, sasa sijui wakifungua full scale itakuwaje yaani 9 ili kuokoa bwawa, na swali kubwa ni je ili bwawa liko salama? tutadumu na ili bwawa kwa muda gani kama haya maji yakijaa yanakuwa mengi kiasi kikubwa hivi ?

Mungu ilinde rufiji, Mungu walinde Watanzania
Kwanza,
1. wewe ni mvivu wa kufikiri, ni mtumwa wa matatizo, UNESCO ikikufungia bandani unakaa humohumo hadi ufe.
2. Hii clip ipo mtandaoni siku nyingi.
 
Serikali ilitakiwa iwahamishe hao watu kabla hata huo mradi haujaanza kwa sasa hv itakua sio janga bali ni uzembe afu hizi ishu za mabwawa kuzidiwa maji hutokea duniani kote imekuaje bwawa limejengwa bila kuhamisha makazi ya watu ambao wapo hatarini??

Tumeweza kuwahamisha wale wananchi kutoka Loliondo na kuwajengea makazi mapya kule Msomera. Ni wakati muafaka sasa kuwahamisha wakazi walio jirani na mradi na kuwajengea makazi mapya.
Hapo hata me ningekuwa na fanya kazi hapo lazma nitembee na life jackets Mana mda wowote hayo maji yanafanya jambo
 
Back
Top Bottom