Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

Nyie Mmmbwa wa Tz hamnaga zuri kwenu, Kila jambo mnalitengenezea ubaya, Me nikazani utashauri hao wananchi wa eneo hilo ndo watafutiwe pa kwenda we unakosoa bwawa ambalo lina umuhimu kwa Taifa!!!
Nafikiri umetukana bila kusoma ushauri. Heading tu inaitaka Serikali iwahamishe watu wa hapo. Imagine wangekuwa ndugu zako, je ungeandika ushuzi kama huo?
 
Ingia tena YouTube uandike mafiriko ya Rufiji ujionee jinsi ambavyo yamekuwa yakiitesa miji hiyo hata kabla ya JKNHP kujengwa ndo utajiona ulichoandika kwa kishabiki ni cha kijinga
Wewe unataka niende YouTube nikatafute shida za watu wa Rufiji. Kwani hapa DC wa Rufiji anasemaje?
20240408_160700.jpg


"Mkuu wa wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani Meja Edward Gowele leo, Jumapili Aprili 07.2024 ametoa rai kwa wakazi walioko karibu na Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) na maeneo hatarishi kuhama kwenye maeneo hayo sambamba na kuepuka kusogeelea maeneo ya maji

Meja Gowele ametoa tahadhari hiyo kufuatia Bwawa hilo kuzidiwa hivyo kulazimika kufungua milango minne (4), na kwamba maji yanayotoka ni mita za ujazo 7,500 kwa sekunde ambayo ni sawa na lita 7,500,000 kwa sekunde, ambapo kiuhalisia maji hayo ni mengi zaidi ya mwaka 2020"
 
Usiandike hovyo kama headless chicken Lucas Mwashambwa , hebu angalia hii clip ya mafuriko kwenye makazi ya watu
View attachment 2957933
Hii inatokana na maji yaliyofunguliwa toka ndani ya bwana kama mleta mada anavyosema au hii inatokana na athari za mvua nyingi eneo hilo kwa ujumla wake?

Kama ni maji yaliyofunguliwa toka kwenye bwawa kama ulivyoeleza, basi hili kweli ni tatizo na lazima kufanyike jambo haraka ili kuokoa maisha ya watu na mali zao..
 
milango ya kumwaga maji ifunguliwe yote, rate of intake iendane na rate of flow out mpaka kipindi cha mvua kinapokaribia kuisha ndipo wazuie flow out,
N. B, Nagundua bwawa hili halitaki uzembe, either itengenezwe Automatic flow out, maji yanapofikia tu kina cha 180, hizo flow out ziwe zinafunguka zenyewe, sidhani kama binadamu anaweza kumudu hasa juu ya uangalizi na umakini huu.
*Retr, engineer!
Mkuu mabwawa karibu yote tanzania kunakipindi hujaa sana na maji hufunguliwa.

Kitu ambacho hufanyika kabla maji hayajafungiliwa wakazi walio pembezoni mwa mto hipewa taarifa kuwa siku flan bwawa litafunguliwa na hupewa tahadhari zote


Kilichotokea saiv ni mvua nyingi ambazo ni nje ya mategemeo ndo maana saiv hakuna mto au bwawa ambalo halijajaa.

Kitu cha kufanyika ni kuwahamisha baadhi ya wakaxi walio pembezoni mwa mto kwa muda then maisha mengne yanaendelea

Hizi mvua zinanikumbusha ile elininyo ya miaka ile ya tisini
 
Kwahiyo unashauri:
1. BWAWA lihame?

2. Watu wahame?

3. Kingo zijengwe Hadi kufikia Baharini?

4. Yajengwe mabwawa ya kufungia Samaki mengi yatayopokea maji?

5. Uanze mradi mkubwa wa KILIMO Cha miwa kuondoa tatizo nchini?

Nini ushauri wako?
 
Nafikiri umetukana bila kusoma ushauri. Heading tu inaitaka Serikali iwahamishe watu wa hapo. Imagine wangekuwa ndugu zako, je ungeandika ushuzi kama huo?
Nilibase na negative comments za watu sio wewe ila na wewe sasa Serikali inazungumza mara ngap kuhusu watu wanaoishi sehemu hatarishi? Acha kutetea ujinga kwa kisingizio cha undugu, Sehemu kama sio salama kwako unapaswa kuondoka na sio kusubiri kila kitu hadi upate madhara.... Kama mwananchi una akili ya kujiongeza sidhani kama kutokana na unavyoona hali ya uchukuaji wa hatua iliyopo kwa viongozi wa Africa ungesubutu kuwategemea wao kimsaada.

Huo uzi wako ungelenga kuhamasisha hao watu wahame hiyo sehemu ningekuelewa lakini sio kuanza kuzungumzia bwawa as if serikali imekosea sana kulijengea kwaajili ya nishati.... Hao wananchi wakisubiri hadi kila kitu waambiwe watajikuta wanaogelea siku moja ndipo watakumbuka kwamba hii ni Africa sio Ulaya
 
Wewe unataka niende YouTube nikatafute shida za watu wa Rufiji. Kwani hapa DC wa Rufiji anasemaje?
View attachment 2957935

"Mkuu wa wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani Meja Edward Gowele leo, Jumapili Aprili 07.2024 ametoa rai kwa wakazi walioko karibu na Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) na maeneo hatarishi kuhama kwenye maeneo hayo sambamba na kuepuka kusogeelea maeneo ya maji

Meja Gowele ametoa tahadhari hiyo kufuatia Bwawa hilo kuzidiwa hivyo kulazimika kufungua milango minne (4), na kwamba maji yanayotoka ni mita za ujazo 7,500 kwa sekunde ambayo ni sawa na lita 7,500,000 kwa sekunde, ambapo kiuhalisia maji hayo ni mengi zaidi ya mwaka 2020"
Wawatafutie maeneo na wawalipe fidia, siyo kuwahamulu tu kua wahame wakati serikali ndo imefanya uzembe, ilitakiwa wawahamishe mapema kabla ya ujenzi wa bwawa
 
alianza ubishi wa jpm. mtu alikua kichaa akapewa urais. jpm alifaa uwaziri mkuu na si urais
haya kaja bi marembo naye badala azingatie suala la athari za kimazingira kwa wakazi wa huko naye kaacha tu mambo yajiendee. sasa balaa limetokea ndio wanataka kusaidia wananchi. akili za watu weusi ni upepo mtupu.
kusimamisha ujenzi ilikua si suala la kufanya ilipaswa kuhakikisha usalama wa wananchi na mazingira uzingatiwe.

wazungu walipoonya jpm kwa kibri akajibu wanatuone gere. watuonee gere kwa lipi wakati wametuzidi akili.
Acha upumbavu dogo! Wewe na ukoo wako ndio vichaa!

Pana raia wangapi hapo? Faida za hilo bwawa ni kubwa mara elfu kuliko kuhamisha hao raia hapo. Jpm alituma nguvu zake kuweka hilo bwawa ili nchi iwe na umeme wa uhakika, it's na nyie mloobaki tumieni nguvu na akili zenu kutunza hilo bwawa na wananchi wanaolizunguka ili lilete faida za kiuchumi kwao?!

Kama ni hatari hivyo kwanini selikali isihamishe raia? Mbona Ngororo mmewahamisha?

By the way, si mlikuwa mnatwambia hilo bwawa halitakaa lijaemaji?
 
Back
Top Bottom