Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes,ilipaswa iwe hivyo ila Kwa imani yangu,muda ukifika hakuna namna, nyingine ni sababu tu, huenda ameshawahi kuanguka vibaya zaidi ya hivi na akapona.Hakutakiwa kunyanyuliwa tena alivyodondoka mara ya kwanza aisee..
Asingepoteza maisha.
Hapo angepewa hudumamya kwanza angeweza labda kusurvive.Terrible fall.
View attachment 2554946
Uenda alipiga kichwa chini thus alitapatapa kwa kukosa pumziHapo angepewa hudumamya kwanza angeweza labda kusurvive.
Inaonesha ulimi ulipindia kwa ndani
Nahisi pia.Uenda alipiga kichwa chini thus alitapatapa kwa kukosa pumzi
Tuishi kwa wema tu kifo kipo tuDah..kifo, nami sijui kitanikutia wapi, nikikikumbuka kifo pozi nyingi zinakata.
Dunia mapito, hatuishi milele unakuta mpumbavu anamuua mwenzake wakati nae hataishi mileleTuishi kwa wema tu kifo kipo tu