Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Subirini toxicology results. Unaweza kuta ni fentanyl....Terrible fall.
View attachment 2554946
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subirini toxicology results. Unaweza kuta ni fentanyl....Terrible fall.
View attachment 2554946
Huko ni kuzuri thus hawarudiMkuu makaveli ukiwaza sana mambo ya kifo unajipotezea furaha mwenyewe. Kufa tutakufa hata kama kifo cha maumivu, once you die you're gone forever, ingekuwa maumivu ya kifo unaendelea kuyasikia huko tutakapokuwa wote tungekuwa tunamuomba Mungu tufe kifo cha amani. Uzuri hata mwili uharibikaje, huko tuendako hatuendi nayo😊
Hilo ndilo linalonipa amani zaidi
Kifo ni fumbo, kifuatacho baada ya mauti ni kitendawili kizito mnoo, hatujui kifo nini huenda ukawa ni usingizi wa fofofo,huenda ikawa ni kama umepooza, huenda unasikia kila jambo,unahisi maumivu ilq mwili hujiwezi...Mkuu makaveli ukiwaza sana mambo ya kifo unajipotezea furaha mwenyewe. Kufa tutakufa hata kama kifo cha maumivu, once you die you're gone forever, ingekuwa maumivu ya kifo unaendelea kuyasikia huko tutakapokuwa wote tungekuwa tunamuomba Mungu tufe kifo cha amani. Uzuri hata mwili uharibikaje, huko tuendako hatuendi nayo😊
Hilo ndilo linalonipa amani zaidi
AmiinKifo ni fumbo, kifuatacho baada ya mauti ni kitendawili kizito mnoo, hatujui kifo nini huenda ukawa ni usingizi wa fofofo,huenda ikawa ni kama umepooza, huenda unasikia kila jambo,unahisi maumivu ilq mwili hujiwezi...
MUhimu kujua kila mtu atakufa,japo hatukijuj kifo chenyewe haswaa, tutendeane mema tu.
Mwaka jana ile kaka 19 december hivi. Acha tu kaka,kila nikitizama picha ya gari huwa siamini kama ni mimi nimetoka mule.Bado upoupo sana mkuu kama ulitoka kwenye ile ajali sijui ilikua ni mwaka jana au huu...Ilikua ni yakutisha ile broh!
Acha kufananisha kifo na vitu vya kipuuzi puuzi.Ilitakiwa Idd Amin alipotuvamia aachwe tu aichukue Kagera huenda iliandikwa iwe hivyo na siku ya Kagera kuchukuliwa huenda nayo ilifika.
Wakati mwingine hawa wanamuziki huwa wanatumia madawa na kila aina ya vitu vitakavyo-boost mood na energy wakati wanatumbuiza. Japokuwa sisemi ndiyo sababu lakini pia inawezekana.Uenda alipiga kichwa chini thus alitapatapa kwa kukosa pumzi
jitihada zifanyike au umakini uzingatiwe, ikishindikana ndipo tuseme siku ilifika. Lakini haiwezekani watu wasichukue tahadhari kwa kigezo cha kama siku imefika imefika tu.Acha kufananisha kifo na vitu vya kipuuzi puuzi.
Sijui mazungumzo yako yanalenga nini, je nilisema jitihada zisifanyike..? Napinga jitihada?jitihada zifanyike au umakini uzingatiwe, ikishindikana ndipo tuseme siku ilifika. Lakini haiwezekani watu wasichukue tahadhari kwa kigezo cha kama siku imefika imefika tu.
Yes walikosea sana, walipaswa wamuache.Hakutakiwa kunyanyuliwa tena alivyodondoka mara ya kwanza aisee..
Asingepoteza maisha.
Wakati mwingine hawa wanamuziki huwa wanatumia madawa na kila aina ya vitu vitakavyo-boost mood na energy wakati wanatumbuiza. Japokuwa sisemi ndiyo sababu lakini pia inawezekana.
Yeah cha msingi tutendeane mema kwakweli.Kifo ni fumbo, kifuatacho baada ya mauti ni kitendawili kizito mnoo, hatujui kifo nini huenda ukawa ni usingizi wa fofofo,huenda ikawa ni kama umepooza, huenda unasikia kila jambo,unahisi maumivu ilq mwili hujiwezi...
MUhimu kujua kila mtu atakufa,japo hatukijuj kifo chenyewe haswaa, tutendeane mema tu.
Aisee.. pole sana.Mwaka jana ile kaka 19 december hivi. Acha tu kaka,kila nikitizama picha ya gari huwa siamini kama ni mimi nimetoka mule.
Kifo hakina adabu nimeweza chomoka mule kisha nikaja kufa nimelala tu usingizi,siku ikifika kaka hakuna ujanja.
Shukrani kaka.Aisee.. pole sana.
Hii ilinipita
Mkataba…😢Kabla hajapanda stejin alisema amechoka sana ila lazima akatumbuize 🙆🏼♂️🙆🏼♂️🙆🏼♂️
Mshana Jr nimeona kama alipigwa na bumbuwazi flani hivi, kama skadi flani hivi kabla ya kudondoka mara ya pili…Malaika wa kifo alikuwa ukumbini na chaguo lake likawa yeye