Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Na alivyokuwa bonge 😂
Yaan nilikuwa najiuliza mzungu gani mfupi hivii jamani
Ushaona akiwa anaruka ruka miguu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na alivyokuwa bonge 😂
OkPhotoshop hii mkuu.
Haiwezi kuwa kweli…
Ingekuwa ni real post ndio imetafutwa hapo hiyo alama ya kushea isingekuwa na watu8
Ok nadhani inaweza kuwa kweliHaiwezi kuwa kweli…
Ingekuwa ni real post ndio imetafutwa hapo hiyo alama ya kushea isingekuwa na watu8
😂😂😂 mpare mwenzetu yuleYaan nilikuwa najiuliza mzungu gani mfupi hivii jamani
Ushaona akiwa anaruka ruka miguu
Mtoto wangu alikuwa anacheka sana akimuangalia anavyocheza alikuwa anampenda sana na kujaribishia anavyocheza😂😂😂 mpare mwenzetu yule
Alifika SA kwa bahati mbaya.
Ule ubonge nao ndio ulikuwa unazidi kumdidimiza
Bado upoupo sana mkuu kama ulitoka kwenye ile ajali sijui ilikua ni mwaka jana au huu...Ilikua ni yakutisha ile broh!Dah..kifo, nami sijui kitanikutia wapi, nikikikumbuka kifo pozi nyingi zinakata.
Malaika wa kifo alikuwa ukumbini na chaguo lake likawa yeyeMtoa roho kamuangusha mara ya kwanza akaona pale hawezi ichukua roho yake akainuka akamsogeza mbele Ili amuangushie chini kwenye sakafu toka juu ya jukwaa.
Kutapatapa alikuwa akiipigania roho yake sema ndio hivyo hakuwa na nguvu nyingine ya ziada ya kushindana na kifo.
Kutapatapa huja pindi roho inatwaliwa.
Mwili bila roho ni kasha tu.
Dunia mapito tutende wema
Huyo Malaika naeMalaika wa kifo alikuwa ukumbini na chaguo lake likawa yeye
Pana pasta wa kinigeria alitabiri vifo vya AKA na costa,wanajuaje au wote member wa kumeza punje kule chini.Malaika wa kifo alikuwa ukumbini na chaguo lake likawa yeye
Mkuu makaveli ukiwaza sana mambo ya kifo unajipotezea furaha mwenyewe. Kufa tutakufa hata kama kifo cha maumivu, once you die you're gone forever, ingekuwa maumivu ya kifo unaendelea kuyasikia huko tutakapokuwa wote tungekuwa tunamuomba Mungu tufe kifo cha amani. Uzuri hata mwili uharibikaje, huko tuendako hatuendi nayo😊Dah..kifo, nami sijui kitanikutia wapi, nikikikumbuka kifo pozi nyingi zinakata.
Sio bonge mzee ni kibonge😂😂😂 mpare mwenzetu yule
Alifika SA kwa bahati mbaya.
Ule ubonge nao ndio ulikuwa unazidi kumdidimiza
🏃Kafa kifo cha kawaida sana hata sioni cha kunisikitisha hapo