Atheist kina kiranga watakuambia hakuna MunguTuishi kwa amani sana dakika wala saa haijulikani
Aliyemnyanyua nina hakika anajutia sanaaaaHakutakiwa kunyanyuliwa tena alivyodondoka mara ya kwanza aisee..
Asingepoteza maisha.
Ulikuwepo?πKabla hajapanda stejin alisema amechoka sana ila lazima akatumbuize ππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈ
Alipost picha ngoja nione kama nnayoUlikuwepo?π
What if ni editing?Alitabiriwa hiki kifo last yearView attachment 2555074
NopWhat if ni editing?
Photoshop hii mkuu.Alitabiriwa hiki kifo last yearView attachment 2555074
Haiwezi kuwa kweliβ¦
What if ni editing?
Huyo jamaa anajilaumu tu huko alipoWalinzi wanainua tu mtu kama gunia
Na alivyokuwa bonge πMi nilikuwa nashangaa kalivyo kafupi kanachezaaa akiruka ruka miguu alikuwa na kipaji jamani
Mtu kadondoka anarusha rusha miguu wanavuta tu mikono na kumuinua aisee kweli hii ni africaHuyo jamaa anajilaumu tu huko alipo
Walidhani ni new amapiano style πMtu kadondoka anarusha rusha miguu wanavuta tu mikono na kumuinua aisee kweli hii ni africa
Ilitakiwa Idd Amin alipotuvamia aachwe tu aichukue Kagera huenda iliandikwa iwe hivyo na siku ya Kagera kuchukuliwa huenda nayo ilifika.Yes,ilipaswa iwe hivyo ila Kwa imani yangu,muda ukifika hakuna namna, nyingine ni sababu tu, huenda ameshawahi kuanguka vibaya zaidi ya hivi na akapona.
Amedondoka mara ya kwanza jamaa kamuinua hata kuuliza ni nini hakuna ni kutunisha kifua tu πWalidhani ni new amapiano style π