Kama unaamini hakuna uchawi, mambo ni sayansi mbona unalilia yanga icheze juani? Huamini sayansi ya mpira?
Uko sahihi kabisa ndugu yangu. Mahakama zetu za mitaani zinaendshwa na kuhumu kwa hisia badala ushahidi usioacha shaka. Kwenye kesi kubwa kama ya mauaji mahakama inatakiwa iangalie na kuchakata ushahidi kwa kina na siyo vinginevyo. Hizi sheria zilitungwa baada ya uzoefu wa muda mrefu.Kwenye court of public..ni feelings over facts
ZIPO KESI AMBAZO HUKUMU ZAKE HUITAJI HEKIMA ZA MFANANO WA MFALME SOLOMON, HATA KAMA KAMA UNATAKA KUFANYA LIQUIDIFICATION, LAKINI UNATAZAMA PANDE ZOTE, KWA SABABU SHIDA ILIYO KUBWA HUWA NI "" MALI "" NA NDIYO HUWA CHANZO CHA UKATILI MKUBWA, UWIANO UTENGENEZWE, POSIBLY UPANDE WA DADA NA NDUGUZE WAKABAKI WEUPE PYE, HAPA NDIPO HEKIMA ITUMIKE, TUNAOA WAKE, LAKINI SOMETIMES HUJITAKIA VIFO SISI WENYEWE.
#To be noted!
Tumia akili wewe boyasasa mali ni za mtu na mume wake,sasa dada mtu kafuata nini hapo,Inamaana hao wanawake hawajaolewa au?
Kuna jaji gani atakataa million 200 za bure ili aamue kesi on your favour! Tutafte hela tu maisha yatakuwa magumu sana miaka 15 ijayo.Jaji wa hii kesi anaonekana kama msaliti.
Kesi ngumu sana hii
Tatizo lipo kwa wapelelezi, wengi wao hawana weledi wa kazi wana unga unga tu refer kesi ya Mbowe unakuta askari mwenye cheo kikubwa mpelelezi anatoa ushahidi unabaki kushangaa hivi Hawa huko vyuoni Huwa wanasomea kitu Gani kama mkubwa wao kichwani mweupe hivi hao askari wa ngazi ya chini uwezo wao utakuwaje?Swali, maana umesema umeifuatilia hiyo kesi toka mwanzo:
Hakukuwa na ushahidi wowote wa DNA?
Maana kama mhanga alichinjwa, naamini aliupigania uhai wake kwa kadri alivyoweza, iwe kuwa kung’ata, kuparua kwa kucha, kuvuta nywele, na kadhalika.
Hakuna ushahidi wowote wa DNA ya mtu mwingine zaidi ya DNA yake yeye mhanga uliowasilishwa wakati kesi ikiendelea?
Kwa uzoefu wangu, kesi kama hizo huwa zinaacha trail ya forensic evidence ambayo hutumika kujenga kesi dhidi ya mtuhumiwa/ watuhumiwa.
Thibitisha kuwa aliyeua ndiye kaachiwaInaumiza sana
Wewe ukiwa na pesa. Zinakuwa pesa za ukoo?Dada wa bilionea msuya analia sababu ya hela za ukoo wao.
Hela zao wenyewe ndio zinatumika kuwatoa machozi mahakamani. Wifi anawanyoosha
Thibitisheni kwanzaJaji wa hii kesi anaonekana kama msaliti.
Kesi ngumu sana hii
Unajua upareni umeme unakatika?Wapare wameshindwa kwenda kuimaliza kesi milimani,,, au wamekutana wote konki
Wao wathibitishe kwanzaDada wa bilionea msuya analia sababu ya hela za ukoo wao.
Hela zao wenyewe ndio zinatumika kuwatoa machozi mahakamani. Wifi anawanyoosha
Wewe ukiwa na pesa. Zinakuwa pesa za ukoo?
Kwani kafanya nini?Huyo mke hatakua salama huko atakakoishi
Hajafanya kitu mkuu 😀Kwani kafanya nini?
Watanzania na mihemko ndo maana sukari inauzwa bei kubwaZote ni kesi. Haki inatakiwa kutendeka kote kote.
Basi hata na hii tuseme mahakama imetenda haki...nyie mlikuwepo wakati anaua? [emoji28]