Video: Dada wa Bilionea Msuya aangua kilio Mahakamani baada ya Mke wa Msuya kuachiwa huru

Video: Dada wa Bilionea Msuya aangua kilio Mahakamani baada ya Mke wa Msuya kuachiwa huru

Kibatala anazidi kuendelea kujichukukilia point tatu kila panapoitwa Leo


Then Justice ya kulipiza ubaya kwa ubaya sio nzuri wasamehe na kumuachia Mungu wakati ndo hutawaponya.



Wachaga baadhi yao wanaamini Mali ndo maisha na mwisho kuuana na kuombeana mabaya lack of awareness


Maisha bila Mungu ni harakati zisizokuwa na Mwisho .
 
Kesi siyo ngumu jaji katumia busara wanafamilia wakamalizane huko uraiani. Nina imani wazee wa kipare watakaa kulimaliza otherwise itatafutwa namna nyingine ya kulimaliza hili suala nje ya mahakama. Haijaiisha mpaka iishe.
Walishindwa vipi kummaliza miaka yote 8? Wazee wa busara hawana maajabu
 
Ndugu wa Marehem bilionea Msuya akilia mahakamani baada ya washtakiwa wa mauaji ya Aneth Msuya kuachia huru na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam leo Februari 23.

Pia soma:

Kweli RUSHWA ipo mahakamani jaman. Mimi nimesikitika kuona huyu mama kaachiwa huru. Najua sheria haina macho lakini kwa hili hapana. Huyo mama ni mafia kweli. Enyi majaji kifo kitawanyoosha.
 
Muda mwingine tunaweza kulaumu na kukosoa sana ila Hiyo inaweza ikawa ni Karma kwa upande wa Familia ya Bilionea Msuya.....maana hatujui aliishi maisha ya namna gani aliumiza wangapi ? na hatujui pia alitenda wema kwa wangapi ?

Mfano, siku za mbeleni familia ya Mtu kama Mr Tall ( Rais wa nchi fulani ya kusadikika) ukiona watoto wake wanapitia Dhuluma au kunyanyasika yamkini kama hujui historia ya familia yao na matendo waliyoyatenda kwa wengne,

unaweza kudhani wanaonewa ila ukipitia Historia ya unyama uliofanywa na Labda Mzazi/wazazi wao unaweza kuhisi ni haki yao nao kupitia Matatizo kama walivyo wasababishia wengine.

Hitimisho : Kama familia imeonewa basi Karma inaweza ikaja kumludia huyo Mke wa Msuya mbeleni.
The law of karma is real✅
 
Yaelekea biology ulipata F na hujui chochote kuhusu sayansi ya mwili wa binadamu.

Ndio maana hata Hujui kucheza mpira kwenye jua kunasababisha Heat Exhaustion kwa wachezaji wanaocheza muda huo

Mfano Ukiambiwa ukimbie kwenye jua vs ukimbie jua limezama.. wapi utachoka haraka?

Science yenyewe inasema heat exhaustion symptoms include feeling of fatigue and a high body temperature. Further symptoms are feeling weak,dizzy etc

Vilaza na matapeli ndio mnapenda sana imani za ushirikina na kuongelea uchawi uchawi
Hiyo biology yako hukufundishwa adaptation? Kwamba wao miili yao ni zege haiwezi kuadapt mazingira mapya?
 
Na shida ya ‘Double Jeopardy’ ndio itaonekana hapa. Ukimshtaki mtu kwa mauaji na ukashindwa kumtia hatiani kisha akaachiwa, huruhusiwi tena kumshitaki kwankosa hilo..., hata ikaoatikana ushahidi wa video akifanya mauaji hayo, hiwezi kumshtaki tena!
Mara nyingi Sana watuhumiwa wa mauaji wengi wanaachiwa huru hapa kitan kwwtu wako wawili wameachiwa na wanadunda vzr tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Muda mwingine tunaweza kulaumu na kukosoa sana ila Hiyo inaweza ikawa ni Karma kwa upande wa Familia ya Bilionea Msuya.....maana hatujui aliishi maisha ya namna gani aliumiza wangapi ? na hatujui pia alitenda wema kwa wangapi ?

Mfano, siku za mbeleni familia ya Mtu kama Mr Tall ( Rais wa nchi fulani ya kusadikika) ukiona watoto wake wanapitia Dhuluma au kunyanyasika yamkini kama hujui historia ya familia yao na matendo waliyoyatenda kwa wengne,

unaweza kudhani wanaonewa ila ukipitia Historia ya unyama uliofanywa na Labda Mzazi/wazazi wao unaweza kuhisi ni haki yao nao kupitia Matatizo kama walivyo wasababishia wengine.

Hitimisho : Kama familia imeonewa basi Karma inaweza ikaja kumludia huyo Mke wa Msuya mbeleni.

Binafsi nawaelewa sana wale jamaa wanaoamua kumalizana wenyewe tu.

Anakwambia kabisa hana muda wa kusumbuana mahakamani, na yeye wala hataki kuonea mtu.

Hukumu itakuja mbinguni. Kama apate amani ni kutoa roho yako then utakutana adhabu hiyo.
 
Nilikuwa nafuatilia hii kesi Polisi ni wajinga sana kuandaa charge sheet, ushahidi wao ulikuwa na uwalakini mwingi, wakili Kibatala aliwapelekesha wakajikuta wapo uchi
 
Back
Top Bottom