Video: Diamond Platnumz na Harmonize wakipata chakula kwa pamoja

Video: Diamond Platnumz na Harmonize wakipata chakula kwa pamoja

Na mimi nilikula chakula na mbwa wangu, kati ya makundi haya mawili Mungu analipenda lipi, kundi la kuigiza kuwa wema wakati wa Ramadan au linaloishi kiuhalisia?


Mungu ndo anajua kama wanaigiza au la, wewe unayeingilia kazi ya Mungu na kuhukumu si bora hata kidogo.
 
Uislamu, unapiga vita vikali kabisa kuhusu wanafiki, ni watu wabaya mnoo
Na mimi nilikula chakula na mbwa wangu, kati ya makundi haya mawili Mungu analipenda lipi, kundi la kuigiza kuwa wema wakati wa Ramadan au linaloishi kiuhalisia?
 
Huo wimbo kuwekwa kwenye hiyo video ni ushoga bt then who give the shit hata wakioga pamoja they just some dudes.
 
Habari inayotrend kwa sasa ni kijana aliyeibuliwa na Diamond kisha akamsaliti kwa dharau na matusi kila kona aitwae Harmonize. Jana kwenye futari ya Rais aliitumia nafasi ya dhahabu ya uwepo wa Diamond Platinumz kwenye tukio ilo kujaribu kutembelea nyota ya msanii huyo mkubwa ambae kila anapoacha kuzungumziwa na kazi kutofanya vizuri basi amekuwa akitumia jina la Diamond Platinumz kumbeba.
Bila aibu alimshobokea kwa kumfata akimpa shikamoo na kuomba apokee simu yake kwani anataka kumpigia simu wazungumze ni kama kuna ujumbe anataka kufikisha na aliendelea kumshika mkono uku akizitazama camera zichukue tukio ilo ambalo ni adimu sana kwake analoweza kutolea album na ikauza.

Diamond alionekana kushitushwa na mfululizo wa matukio ya kijana huyo mwenye historia mbaya ya usaliti na kufitinisha watu maana alionekana ni kitu alijipanga toka anakuja eneo lile.

Mungu aendelee kumpa riziki na uhai mrefu baba wa bongofleva Diamond Platinumz kwani ameendelea kuwa ngazi kwa yoyote anaetaka kufika juu.

Juzi tu tumeona Ali Kiba akizindua redio ya wadau fulani kisha akitumia jina la Diamond Platinumz kujaribu kufanya promotion asikilizwe.

View attachment 2933195
Hata kama hatujui kusoma, picha tunaziona kaka. Ninakushauri uache uchawa. Au, tumia akili kuliko nguvu kwenye kuwasapoti maboss wako.
Eti mondi ndio baba wa b fleva!! Hata aibu hauna! Hivyo vingine ninaweza kuvumilia ila hili, cwez. Kuna watu walipiga shoo kwa malipo ya 1500, kwenda studio kwa mguu usiwape heshima yao ndio uje kumtukuza boss wako wa .com generation? Usimvunjie kiba n malegend wengine heshima.
Alichokifanya mondi ni kikubwa n ahastahiki pongezi. Lakini, usiwavue malegend majoho ya ulegendari ili umvishe mwana wa kizazi kipya. Huku ni kuikosea Bongo fleva heshima
 
Back
Top Bottom