Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Wapo wengi, siasa ni umalaya, nashangaa wachungaji kutaka kujinajisi kwa kugombea.Uyasema hayo wakiwa na njaa.Mtu masikini hawezi kuwa mwanasiasa boraNi aibu kubwa sana kwake binafsi na kwa familia yake na ni doa la milele .
Ifike mahali watu kama hawa wakipita mitaani wazomewe, hawa ni hasara kwa Taifa