Ulitaka Lissu amuue yule mtu wa Chato ambaye alikuwa walking carcass?Hakuna raha hapo maana hata yeye anajua atakufa pamoja na ulemavu wake ila sio kila mtu atapata ulemavu kama yeye.
Ingekuwa yeye ndio kasababiaha hicho kifo kweli ila sio mtu kafa tu mwenyewe huko na wewe hujawahi hata kumlipizia kofi kisha unsema raha kushuhudia kifo chake tena cha kawaida tu?
Hapo ni sawa na 1-0.
Rais mjinga kweli alikuwa, hawezi kupanga hata assassination, yaani unamuua mbunge kwa kujaribu kumpiga risasi? Tena mchana? Tena kwenye viwanja vya bunge? Tena mbele ya Camera?Ukweli huu wengi wanajaribu kuukwepa na kuukataa kwa hoja za ajabu ajabu sana...
Ila ukweli upo na umesimama tisti kuwa, Hayati Rais John P. Magufuli ndiye aliyeamuru Tundu Lissu kupigwa risasi ama auwawe kwa njia yoyote ile bila sababu yoyote ile..!!
In any case, hakuna sababu yoyote inayoweza ku - justify mtu mwingine kumuua binadamu mwenzake...
Magufuli hakuwa na sababu ya kutoa amri ya kuuwawa mtu huyu...
Inawezekana sababu ikawa;
"...Tundu Lissu alikuwa anamkera sana Rais Magufuli.."
Kama hii (na ofcoz ndivyo ilivyo) ndiyo sababu, basi naweza kusema bila shaka yoyote kuwa, basi huyu alikuwa Rais mjinga, dhaifu na mpumbavu sana...!
Mungu aliyetuumba tunamkosea kila siku. Tuna mkera kila siku. Tunamtukana kila aina aina ya matusi, lakini haamuru tupigwe risasi 37 kila mtu tufe!
Yeye Magufuli alikuwa nani ajichukulie sheria ya Mungu ya kuua mikononi mwake...?
It was a big mistake of his life time na ambalo limegharimu maisha yake, na definitely, alistahili AFE HUYO..!
Una ushahidi alikufa kifo cha kawaida?Hakuna raha hapo maana hata yeye anajua atakufa pamoja na ulemavu wake ila sio kila mtu atapata ulemavu kama yeye.
Ingekuwa yeye ndio kasababiaha hicho kifo kweli ila sio mtu kafa tu mwenyewe huko na wewe hujawahi hata kumlipizia kofi kisha unsema raha kushuhudia kifo chake tena cha kawaida tu?
Hapo ni sawa na 1-0.
Ndiyo maana aliposema Lisu apigwe risasi ili auwawe walitii pia. Lilikuwa kumtii Mungu pia?. Soma hii uelewe.Warumi 13:1-3.
1.Kila mtu mtu na atii mamlaka iliyo kuu,kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu,na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
2.Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu,nao washindanao watajipatia hukumu.
3.Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema,bali kwa sababu ya matendo mabaya.Basi,wataka usimuogope mwenye mamlaka?Fanya mema nawe utapata sifa kwake...
I am one among the annoyed ones! Why would she speak the truth behind Magufuli's back?She is speaking the truth that annoys most of the pro Magufuli's legacy worshipers..
And again, I am very impressed with shangazi's dictation and articulation of her English Language..
Her accent is just like of the language owners - the British...
Huyo kahaba mwenzako mbona haelezi namna babu yake alivyomuua Kassim Hanga na kwenda kumtupa baharini? Anabakia kumsingizia Magufuli. Acha ushabiki wa kishoga utavuliwa chupi sana.Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
Wazazi tuwe maniki sana na katuni za hawa Mabeberu, watoto wetu wanaziangalia sana lakini nyingi zinahamasisha ushoga.Fatma Karume mtetezi wa mashoga. Watu wa mlengo wa Fatma Karume hawakumpenda Magufuli.
Kichaa wa kutoka Chato anamtumia mshamba kutoka Kolomije kumuua Tundu Lissu. Mshamba wa Kolomije ni Zero Brain ndiyo maana walifeliRais mjinga kweli alikuwa, hawezi kupanga hata assassination, yaani unamuua mbunge kwa kujaribu kumpiga risasi? Tena mchana? Tena kwenye viwanja vya bunge? Tena mbele ya Camera?
Wewe ni mpumbavu si bure!I am one among the annoyed ones! Why would she speak the truth behind Magufuli's back?
Why did Fatma hesitate to face Magufuli and tell him that his regime had dragged the country back to the dark ages?
She said she was brought in the democratic home why did she fear Magufuli?
Why does she speak the truth now?
Babu yake Fatma ameua watu wengi sana huko Zanzibar na yeye akauliwa kama nziKichaa wa kutoka Chato anamtumia mshamba kutoka Kolomije kumuua Tundu Lissu. Mshamba wa Kolomije ni Zero Brain ndiyo maana walifeli
tuamkuane kwanza😊Wewe ni mpumbavu si bure!
Tunasema hivi hayo ya kumuua Kassim Hanga tumewaachia nyinyi. Msimpangie Bi Fatma cha kuongeaHuyo kahaba mwenzako mbona haelezi namna babu yake alivyomuua Kassim Hanga na kwenda kumtupa baharini? Anabakia kumsingizia Magufuli. Acha ushabiki wa kishoga utavuliwa chupi sana.
Kama ni mpenda haki azungumzie unyama aliofanya babu yake kuua watu kama kuku.Tunasema hivi hayo ya kumuua Kassim Hanga tumewaachia nyinyi. Msimpangie Bi Fatma cha kuongea
Mbona haelezi namna wazanzibar walivyouliwa na babu yake kisa tu akihofia wasomi kama Kassim Hanga na wengine walivyokufa kifo kibaya.
Anatumwa na watu kumtukana Magufuli bila sababu wakati babu yake alifanya ukatiri wa wazi kabisa na kuua watu huko Zanzibari.
Hapo alipo hana mikono misafi kabisa maana familia yao imejaa dhambi na ukatiri.