Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

Hakuna raha hapo maana hata yeye anajua atakufa pamoja na ulemavu wake ila sio kila mtu atapata ulemavu kama yeye.

Ingekuwa yeye ndio kasababiaha hicho kifo kweli ila sio mtu kafa tu mwenyewe huko na wewe hujawahi hata kumlipizia kofi kisha unsema raha kushuhudia kifo chake tena cha kawaida tu?

Hapo ni sawa na 1-0.
Ulitaka Lissu amuue yule mtu wa Chato ambaye alikuwa walking carcass?
 
Ukweli huu wengi wanajaribu kuukwepa na kuukataa kwa hoja za ajabu ajabu sana...

Ila ukweli upo na umesimama tisti kuwa, Hayati Rais John P. Magufuli ndiye aliyeamuru Tundu Lissu kupigwa risasi ama auwawe kwa njia yoyote ile bila sababu yoyote ile..!!

In any case, hakuna sababu yoyote inayoweza ku - justify mtu mwingine kumuua binadamu mwenzake...

Magufuli hakuwa na sababu ya kutoa amri ya kuuwawa mtu huyu...

Inawezekana sababu ikawa;

"...Tundu Lissu alikuwa anamkera sana Rais Magufuli.."

Kama hii (na ofcoz ndivyo ilivyo) ndiyo sababu, basi naweza kusema bila shaka yoyote kuwa, basi huyu alikuwa Rais mjinga, dhaifu na mpumbavu sana...!

Mungu aliyetuumba tunamkosea kila siku. Tuna mkera kila siku. Tunamtukana kila aina aina ya matusi, lakini haamuru tupigwe risasi 37 kila mtu tufe!

Yeye Magufuli alikuwa nani ajichukulie sheria ya Mungu ya kuua mikononi mwake...?

It was a big mistake of his life time na ambalo limegharimu maisha yake, na definitely, alistahili AFE HUYO..!
Rais mjinga kweli alikuwa, hawezi kupanga hata assassination, yaani unamuua mbunge kwa kujaribu kumpiga risasi? Tena mchana? Tena kwenye viwanja vya bunge? Tena mbele ya Camera?
 
Hakuna raha hapo maana hata yeye anajua atakufa pamoja na ulemavu wake ila sio kila mtu atapata ulemavu kama yeye.

Ingekuwa yeye ndio kasababiaha hicho kifo kweli ila sio mtu kafa tu mwenyewe huko na wewe hujawahi hata kumlipizia kofi kisha unsema raha kushuhudia kifo chake tena cha kawaida tu?

Hapo ni sawa na 1-0.
Una ushahidi alikufa kifo cha kawaida?
 
Mbona haelezi namna Wazanzibar walivyouliwa na babu yake kisa tu akihofia wasomi kama Kassim Hanga na wengine walivyokufa kifo kibaya.

Anatumwa na watu kumtukana Magufuli bila sababu wakati babu yake alifanya ukatili wa wazi kabisa na kuua watu huko Zanzibari.

Hapo alipo hana mikono misafi kabisa maana familia yao imejaa dhambi na ukatili.
 
Warumi 13:1-3.
1.Kila mtu mtu na atii mamlaka iliyo kuu,kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu,na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
2.Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu,nao washindanao watajipatia hukumu.
3.Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema,bali kwa sababu ya matendo mabaya.Basi,wataka usimuogope mwenye mamlaka?Fanya mema nawe utapata sifa kwake...
Ndiyo maana aliposema Lisu apigwe risasi ili auwawe walitii pia. Lilikuwa kumtii Mungu pia?. Soma hii uelewe.
Tito 3:1
[1]Uwakumbushe watu kunyenyekea kwa wenye uwezo na mamlaka, na kutii, na kuwa tayari kwa kila kazi njema.( kuwa tayari kwa kila kazi njema) Swali kupiga LISU risasi ilikuwa kazi njema?. Acheni kupotosha maandiko
 
She is speaking the truth that annoys most of the pro Magufuli's legacy worshipers..

And again, I am very impressed with shangazi's dictation and articulation of her English Language..

Her accent is just like of the language owners - the British...
I am one among the annoyed ones! Why would she speak the truth behind Magufuli's back?

Why did Fatma hesitate to face Magufuli and tell him that his regime had dragged the country back to the dark ages?

She said she was brought up in the democratic home why did she fear Magufuli?

Why does she speak the truth now?
 
Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
Huyo kahaba mwenzako mbona haelezi namna babu yake alivyomuua Kassim Hanga na kwenda kumtupa baharini? Anabakia kumsingizia Magufuli. Acha ushabiki wa kishoga utavuliwa chupi sana.
 
Anashindwa kuangalia boriti ya macho yake Kwanza.

Huyu ni mhuni tu. Kataa wahuni.
 
Rais mjinga kweli alikuwa, hawezi kupanga hata assassination, yaani unamuua mbunge kwa kujaribu kumpiga risasi? Tena mchana? Tena kwenye viwanja vya bunge? Tena mbele ya Camera?
Kichaa wa kutoka Chato anamtumia mshamba kutoka Kolomije kumuua Tundu Lissu. Mshamba wa Kolomije ni Zero Brain ndiyo maana walifeli
 
I am one among the annoyed ones! Why would she speak the truth behind Magufuli's back?

Why did Fatma hesitate to face Magufuli and tell him that his regime had dragged the country back to the dark ages?

She said she was brought in the democratic home why did she fear Magufuli?

Why does she speak the truth now?
Wewe ni mpumbavu si bure!
 
Kichaa wa kutoka Chato anamtumia mshamba kutoka Kolomije kumuua Tundu Lissu. Mshamba wa Kolomije ni Zero Brain ndiyo maana walifeli
Babu yake Fatma ameua watu wengi sana huko Zanzibar na yeye akauliwa kama nzi
 
Babu yake naye alipenda pisi nyeupe akazichukua kwa Nguvu, kile kisiwa hakikuwa na katiba kiliendeshwa kwa Amri za Rais
 
Kwani na wewe umekatazwa kuzunguka duniani kueleza ukatili wa babu yake dhidi ya Wazanzibari?

Kwani Fatma Karume ndiye aliyesababisha babu yake afanyie ukatili Wazanzibari?

Kwani ikiwa babu yake kafanyia ukatili Wazanzibari, hilo linaondoa ukweli atakaousema kuhusu Magufuli?
 
Mbona haelezi namna wazanzibar walivyouliwa na babu yake kisa tu akihofia wasomi kama Kassim Hanga na wengine walivyokufa kifo kibaya.

Anatumwa na watu kumtukana Magufuli bila sababu wakati babu yake alifanya ukatiri wa wazi kabisa na kuua watu huko Zanzibari.

Hapo alipo hana mikono misafi kabisa maana familia yao imejaa dhambi na ukatiri.

Yeye kaweka ukatili wa Magufuli hadharani, ni juu yako ww kuzunguka duniani kuweka ukatili wa babu yake, au kukanusha kuhusu ukatili aliokuwa anaufanya Magufuli.
 
shangazi kaongea ukweli mtupu hata kama kuna watakaosema ana matiti marefu sana
 
Back
Top Bottom