Yaani hawa jamaa toka mwanzo walishajua kuwa kitakuwepo na second wave ya corona. Kama ni hela watazipiga asee, maana katika hilo la kutengeneza ugonjwa wamefanikiwa.Ugonjwa wameutengeneze wenyewe kwa maslahi yao hata hizo chanjo ndio ilikuwa target yao ndo maana baada ya mda mfupi wameanza hiyo biashara
Hapa Umemsingizia Mbowe kuwa ana akili. na cloves zake kama dereva wa boda boda. Yupo peke yake why avae gloves? Ana jambo la muhimu ila hajui kuongea. Alipaswa afundishwe speaking skills.siyo kuyumba yumba kila sehemu na kurusha rusha mikono.Sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 1688331
Walamba viatu vya Mbowe utawajua tuSitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 1688331
Sasa tukija na za kwetu mnaziponda, eti hazina viwango na mnapenda za wazungu. Sijui kasumba hii itaisha lini.Hao unaowaita wazungu ndio wamechangia gharama za utafiti uliopelekea hizi chanjo zipatikane. Wao ndio waliweka oda mapema hata chanjo haijapatikana. Na pamoja na juhudi zao, kiasi cha chanjo hakitoshelezi mahitaji yao. Kama hautaki kuwa wa mwisho ungechangia gharama au ungetafuta chanjo yako mwenyewe.
Amandla...
Huu ni ujinga, halafu unataka watu wakuone wewe unajua kitu juu ya haya uliyoandika hapa?Yaani chanjo inapatikana kabla ya Dawa? imeishawahi tokea hii?
Mkuu usiuwe nzi kwa nyundo.Form 6 failure!! Kama huyu unamuona ana maarifa kukuzidi wewe!! Basi wewe utakuwa zaidi ya utopolo!!
Nakuteguka kisha anasingizia wasiojulikanaKwamba awe anakunywa konyagi?
Very simple , rudisheni hela za corona mlizopewaHiyo approach yake ya kusema Ukweli ili sijui watu wajue ukubwa watatizo watusaidie haina mashiko, Mpaka sasa hakuna Taifa hata moja ambalo limeweza kujisaidia lenyewe sasa huo msaada tungeupata kutoka wapi?
Hata hizi sarakasi za chanzo ni questionable na nina side na President Magufuri, the world is quite ignorant of what brought this deadly deseases? what cures it, etc alafu eti wanadai kuna chanjo.
Yaani chanjo inapatikana kabla ya Dawa? imeishawahi tokea hii?
AminaMkuu huyu mwamba, binafsi nilisha mpa jina Kama baba wa taifa wa pili,Kama anamadini,huwa sio ya dunia hii,viwango vyake ni vya juu Sana, hakuna prof atatia mguu KWA mwamba mbowe,ujengaji wa hoja zake sio wa kitoto,
Alafu utasikia kuongoza ni elim kubwa dhubutu nani kamwambia,
Mh lissu sio prof wa sheria ila maprof wa fani yake wakimsikia wanatetemeka, mungu ibariki chadema Sana ,viongozi, na wanachama wote ,wapo sehem sahii
Mfuasi wa kibwetele katika ubora wako !Sisi nyungu tuu. Acha wachanjane mpaka waone raha. Tanzania hatutaki chanjo. Tunatumia dawa za asili. Mbona mabeberu wanatulazimishia hawa machanjo. Yana nini? Mbona hatulazimishii teknologia???????? Hawa makuku meupe yana shida.
angalia device yakoMbona hiyo link haifunguki? Nikibonyeza inanipeleka kwenye manukwaa
Hilo linatakiwa lianzie humu,Tena mapema iwezekanavyo.Ifike wakati tumtake Magu ajiuzulu.
Ukishindwa kuthamini/kulinda maisha ya watu wako, wewe hufai bali unatakiwa kupisha wengine.
Ndio maana mnaabiwa msifikiri wazungu wanaipenda kihivyo. Waafrika inabidi kujitambua kama atakaye tukimbilie pale tukiwa na matatizo yetu.Sasa mzee nchi za dunia ya 3 mnataka mpewe 1st priority kwenye dawa hivi iyo kitu inaingia akilini .
Hamna atakae kukataza kuzitumia. Kwanini uruhusu kelele za vyura zikuzuie kunywa maji? Ni kama vile hamna mtu anaekulazimisha kwenda hospitali ukiugua wakati njia mbadala kama za maombi au za maprofesa wetu zipo. Ni uamuzi wako tu. Kama ulivyo wa kupanda vi eiti badala ya punda.Sasa tukija na za kwetu mnaziponda, eti hazina viwango na mnapenda za wazungu. Sijui kasumba hii utatusha lini.
Wametengeneza ili wajiue halafu watafute kinga ili wasife! Kweli wanastahili kuitwa mabeberu.Ugonjwa wameutengeneze wenyewe kwa maslahi yao hata hizo chanjo ndio ilikuwa target yao ndo maana baada ya mda mfupi wameanza hiyo biashara
Hivi Steve Jobs alimaliza chuo gani? Na John Major?Form 6 failure!! Kama huyu unamuona ana maarifa kukuzidi wewe!! Basi wewe utakuwa zaidi ya utopolo!!
Hivi chama cha jamaa huyu smati kilipata wabunge na madiwani wangapi uchaguzi wa 2020? Ahahahahahahah!Jamaa yupo vizuri sema nchi zetu ni za hovyo sana