Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
........
Mbowe anajua fika Chadema haiwezi kuchukua nchi kwahiyo hawezi kukubali eti watu wakose fedha za ubunge wakati wameshakisotea sana Chama. MBOWE NI MASTER MINDER
Mhuni mwingine huyu. Sijui ni ester matiku huyuHaiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.
Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni
Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
Hana lolote tu. Ndio wale wa buku 7 huko. Siku hizi nasikia ni buku tenWeka video hapa, mambo ya mitandaoni yaache hukohuko mitandaoni.
Weka video tufunge mjadala
Ni kosa la kumficha aliewaingiza mkenge mpaka hapo walipoangukia. Kama wao wasafi waeleze hapo kati pamefichika nini, huoni kama kuna kigugumiziSASA WAOMBE MSAMAHA KWA KOSA GANI WALILOFANYA?UDHALILISHAJI HUO
Unaenda kuziokota dukani ehee kama daftari unajaza! Acha kutetea ujinga ccm huu ni mziki wenu na mtaucheza mpende msipende, tunawaona mnavyoruka na kukanyagana.Kwani hizo fomu zinachukua masaa mangapi kuzijaza?
Alijijenga?? Katolewa UD kama Matiko tu wakapewa ubunge wa viti maalum from nowhere na hadi wakawa powerhouses afu unasema kajijenga?? Hivi CCM unaweza tokea tu out of nowhere ukapewa ubunge?Halima Mdee haitaji sympathy kutoka kwa yeyote. Alijijenga hadi akafika hapo na ana uwezo wa kujisimamia baada ya maisha ndani ya Chadema. Swali la wewe kujiuliza, unajisimamia?
CCM bwana!! Bungeni mlikataa kura za Siri kuamua katiba.... Bajeti mnapiga kura za wazi ila kwa CHADEMA ndio mmeona umuhimu wa kura za Siri??Wangepiga kura za SIRI
Kwahiyo Mbowe alimbeba tu na kumpa Ubunge wa Viti Maalumu akiwa hana potential yoyote? Na Chadema wakampa Uwenyekiti wa BAWATA akiwa hana potential yoyote? Basi sawa!Alijijenga?? Katolewa UD kama Matiko tu wakapewa ubunge wa viti maalum from nowhere na hadi wakawa powerhouses afu unasema kajijenga?? Hivi CCM unaweza tokea tu out of nowhere ukapewa ubunge?
Tukaneni mnavyoweza ila lazma mkiri Mbowe ame groom viongozi wengi sana vijana kwenye era ya vyama vingi. Huko CCM kwenyewe kuanzia Mkumbo hadi Shonza ni product za Mbowe from the scratch!!
Wangeweza kusema zimechakachuliwaWangepiga kura za SIRI
Karata ya mwisho mkuu, haitolewi hovyo hovyoViherehere wa Mataga wangeshaiweka zamani na mapema.
We kinembe Cha Meko unakuwagabna umama sanaHaiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.
Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni
Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
Maelezo ya Mbowe aliuliza kama kuna mtu anayehitaji kuongezea au kusema chochote kuhusiana na lile swala. Nadhani hapo ndio ilikuwa muda wa yeyote kuongea, hawakulazimishwa kuomba msamaha.Inatakiwa upewe nafasi ufafanue sababu za rufaa, sio uombe msamaha, yaani ufungwe, ukate rufaa mahakama kuu, unafika kwa Jaji anakwambia omba msamaha au tunatoa uamuzi.
Kwanza upewe fursa ufafanue sababu ya rufaa moja baada ya nyingine.
Mbowe aliogopa wangemuumbua, hakuwapa fursa hiyo
Endelea kuufurahia utahiri wako ila tu usiwarithishe wanao. Hiyo laana iishie kwako isiende kwa kizaxi chako.Haiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.
Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni
Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
Wewe kweli akili yako ni kibaba, huwezi hata kutengeneza uwongo.Ipo, inatembea sana mitandaoni, ntaiweka hapa, Mbowe anawabembeleza COVID 19 wakaapishwe na anawahakikishia chama kitawapa barua ya utambulisho
Haya mambo hayawahusu ccm. Wakati dikteta Magufuli anafanya uhuni kwenye kile alichoita uchaguzi moja ya sababu aliyotumia kama kigezo alidai vyama vya upinzani vina chelewesha maendeleo.Haiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.
Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni
Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
Lissu naye amekuwa mlevi wa kupindukia huko ubeleji.Haya mambo hayawahusu ccm. Wakati dikteta Magufuli anafanya uhuni kwenye kile alichoita uchaguzi moja ya sababu aliyotumia kama kigezo alidai vyama vya upinzani vina chelewesha maendeleo.
Leo ccm wanaendelea kung'ang'ania madarakani na ndio uchumi unazidi kufa huku idadi ya watanzania maskini ikizidi kuongezeka.
Ccm badala ya kushughulikia maswala muhimu yanayoifanya nchi hii iendelee kuwa maskini wao siku zote akili yao yoote iko Chadema. Hakuna watu bogus kama watu wa ccm. Bure kabisa.
Alidondoka zitto na Dr.Slaa ila hakupata aibu ndio sembuse mabinti hao?? Get serious