Video: Hamas akimshambulia mwanajeshi. Je, ni sahihi mwanajeshi kutumia bunduki dhidi ya kisu?

Hatari sana, huko maisha ni ya hofu sana. Utafikiri ni muvi kumbe ni kweli.

Ila Hamas hakuwa na nguvu za mwili mana yeye ndiye alimrukia mwanajeshi, lakini mwanajeshi akawa shupavu na kumdondosha chini.
 
Hatari sana, huko maisha ni ya hofu sana. Utafikiri ni muvi kumbe ni kweli.

Ila Hamas hakuwa na nguvu za mwili mana yeye ndiye alimrukia mwanajeshi, lakini mwanajeshi akawa shupavu na kumdondosha chini.
Maisha ya huko hakika ni Hofu tupu Mungu Aijalie AMANI TANZANIA [emoji1241]
 
Nini kimekufanya uwe na uhakika ni mtu wa kawaida tu? Mwili au ?
Raia ana uhakika gani kama jamaa hana siraha?
Vipi kama angekuwa na bomu?
Huyo aliemkandamizia hapo chini ni mmasai?
Jinsi tu alivyomrukia huyo askari inatosha kujua huyo gaidi ni mtu mwepesi, angekuwa ameiva shambulio moja tu huyo askari angekuwa tayar maiti lakini yy anamganda Ganda askari utafikiri anataka amle demu mate.
-Silaha aliyekuwa nayo ni hicho kisu kinahoonekana hapo au ww umeona AK 47?
-Kama angekuwa na bomu asingesubiri kumkaba kabari askari angelipuka tu
-Ni kweli amemkandamiza ila mwisho ameshindwa kumuhimili na kuishia kutimua mbio
 
na hii ndio ilikua mara ya mwisho marehemu kuonekana akirukia wahuni
 
Vipi kama aliambiwa amwachie ili askari ampige risasi?

Wewe umeona kupitia video. Je ni rahisi kiasi hicho kwa mtu alieshtukizwa na tukio kujiamini kuwa jamaa ana kisu tu?

Vipi kama angebeba kisu lakini kajifunga mabomu?
Vipi kama wangekuwa wengi na yeye katangulizwa tu?
 
Hivi Waislam wakoje lakini?
 
Kuna mantiki sana kwenye swali lako sema wengi wanakukejeli tu bila kuelewa!

Kuna jamaa alishamdhibiti vizuri huyo mwenye kisu na kabla hajafanikiwa kumpora kisu akaghairi alipoona afande kaelekeza "changamoto."

Kwanini askari asisaidiane na huyo raia mwema kumkamata huyo jamaa ili wakamuhoji zaidi? Ona sasa huwenda kapoteza taarifa muhimu kabisa ambazo alipaswa kuzichukua kutoka kwake

Lakini mimi naomba kujua je kila anayevamia askari kwenye hiyo nchi na kumshambulia ni gaidi wa hamas, au chanzo chako ulipoipata hiyo video ndo wamesema hicho ulichoandika?
 
Daaah! Hadi raha alivyouliwa gaidi
 
mnataka nyinyi muue ila msiuliwe bali mdhibitiwe , shenz kabisa wauaji wakubwa nyiny , hakuna wa kuwatunza hapa duniani
 
Nianzie Chini kwenda juu asilimia 90 ni hamas _hamas ni Palestina na Palestina ni hamas (pia ni kutokana na source ya niliko ipata video)

Pili umefafanua vyema watu hawajui kama angekamatwa huyo gaidi huenda angesema siri nyingi kuliko kumuua maana ukitazama Video number (2) Gaidi alishakamatwa na huyo mwananchi jasiri

Ila ndio hivyo tena mwanajeshi kaamua kufyatua risasi

YOTE YA YOTE YESU KRISTO ATUJALIE AMANI TUPENDANE.
 
Kwa nilichokiona hapo. Mwanajeshi hakuwa na jinsi ya kufanya kama alichokifanya
 
Maislamu ni Mafala fulani yanayo amini kumpigania mungu badala ya mungu kuyapugania,ona sasa yanavyokufa
Israel na Palestina sio suala la dini we matako.
Hilo ni suala la kugombania ardhi.
Sheriin Abu Akleh ni muanglican na alipigwa risasi na IDF kimakusudi kisa anaripoti uvunjaji nyumba wa IDF westbank.
Punguza umatako kijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…