Video: Hamas wakiwaachia mateka wa Isreal. Wazee na watoto wakibebwa na Hamas kupandishwa katika magari

Video: Hamas wakiwaachia mateka wa Isreal. Wazee na watoto wakibebwa na Hamas kupandishwa katika magari

Kwa hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
Ni vyema ukatuthibitishia shutuma zako ili tukuamini.
 
Huitaji hata elimu ya form IV kujua kwamba mateka wepi walikuwa kwenye mateso, ukiwaangalia wafungwa wa Palestine waliokuwa Israel wanaonekana Wana afya njema sana hiyo inaonyesha ni jinsi Gani walikuwa treated vizur ila upande wa pili ni tofauti mno.
🤣🤣 Hatutaki kuhoji kwa kuangalia kwani vikongwe na vijana haiwezekani wakawa na hali sawa.. TUNATAKA WAHOJIWE HADHARANI WASEME WENYEWE
 
🤣🤣 Hatutaki kuhoji kwa kuangalia kwani vikongwe na vijana haiwezekani wakawa na hali sawa.. TUNATAKA WAHOJIWE HADHARANI WASEME WENYEWE
Sasa Kama hospitali za Israel zimesema mateka wako kwenye hali njema kiafya,hawa wayahudi wa bongo wanahoji nini?
 
Mayahudi kwani si walikua wanawaua wapelestina au huoni hayo?
Nayaona.ila mateka wa palestina waliorudishwa kutoka mikononi mwa israel sijaona aliyekuwa amebebwa.
Inamaana walikuwa wanalishwa na kutunzwa japo walikuwa gerezani.
 
Ata mwizi akikamatwa huwa anaibeba Mali aliyoiba kwa uangalifu na kuirudisha alipoitoa.

Sasa wewe apo ulitegemea wawasukume au wawapige mitama?
 
Kwa hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
Jamaa muongo sana
 
Kwa hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
Hebu Acha Unafiki Una Uhakika Na Hilo
 
Kwa hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
Hebu Acha Unafiki Una Uhakika Na Hilo
 
Hamas ni wasanii tu wanajifanya wema mbele ya kamera ili kutaka kuiaminisha dunia kwamba wao ni innocent na kile Israel inachofanya Gaza ni uonevu tu, sasa swali LA kujiuliza nani alianza uchokozi? Umewateka watoto, wazee , kwa mitutu na ukatili alafu unakuja kwa ngozi ya kondoo kutaka kuitrick dunia kwa ujinga wao ambao ni wakulaaniwa na mtu yeyote anayejali uhai wa maisha ya binadamu.
 
Sasa wanajua wako live utaonyeshaje ukatili? Mtumie akili kufikilia mambo kwa upana
 
Hamas ni wasanii tu wanajifanya wema mbele ya kamera ili kutaka kuiaminisha dunia kwamba wao ni innocent na kile Israel inachofanya Gaza ni uonevu tu, sasa swali LA kujiuliza nani alianza uchokozi? Umewateka watoto, wazee , kwa mitutu na ukatili alafu unakuja kwa ngozi ya kondoo kutaka kuitrick dunia kwa ujinga wao ambao ni wakulaaniwa na mtu yeyote anayejali uhai wa maisha ya binadamu.
True wamerusha maroketi kuua Leo wajifanye wema kuna wayu wajinga Sana. Wanajua wapo live WANAJIFANYA wema
 
Back
Top Bottom