Sijamsikia Kamanda Siro akiongea kwa madaha kuhusu hili hili tukio
 
Shujaa huyo. Wasomali wengi wanahitajika Tanzania ili heshima kwa wananchi irudi.

Huyu ndio shujaa wa kweli. Yule mwingine alikufa kwa corona nashangaa watu wakamwita eti shujaa wa Afrika!!
Watu wengi TZ ni wajinga, shujaa gani wa hivyo, hana maarifa ila kajaa utata tu kuanzia elimu mpaka uraia wake
 
Iko haja ya swala la Hamza kuwashambulia Polisi kuchunguzwa kwa umakini sana , huyu mtu anaonekana alikuwa muungwana sana , nini kilimkuta hadi akabadilika kiasi kile ?

Your browser is not able to display this video.
 
Labda yaliyosemwa ni kweli kuwa dhuruma ilihusika.., naye kuamua kulipa kisasi. Maana hakuna kitu kinachoumiza kama kudhurumiwa haki yako, huwezi juwa maumivu ya dhuruma kama hujawahi kudhurumiwa.
 
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
Jeshi letu lazima litupie macho makali kwa hawa wahuni wachache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…