Video: Hayati Magufuli alitupa siri kwanini alipokuwepo hapakuwa na mgao, ni kwanini tunasahau haraka namna hii?

Video: Hayati Magufuli alitupa siri kwanini alipokuwepo hapakuwa na mgao, ni kwanini tunasahau haraka namna hii?

Chama ni cha imani ya kidini au siasa?
Uwe makini sana unapoongelea dini na siasa. Maana unaweza ukakuta unapoteza muelekeo.

CCM haina dini.
Una akili timamu ?
Umesema unataka kuwa kama China nikakuuliza upo tayari kuongozwa na chama kisicho amini kuhusu Mungu na habari zake ? Una nitajia habari za CCM.

CCM ndio inaongoza China ? Kwa akili unafikiri utakuwa kama China ?
 
Una akili timamu ?
Umesema unataka kuwa kama China nikakuuliza upo tayari kuongozwa na chama kisicho amini kuhusu Mungu na habari zake ? Una nitajia habari za CCM.

CCM ndio inaongoza China ? Kwa akili unafikiri utakuwa kama China ?

Mambo haya hayahitaji hasira. Ni utashi tuu.
Sasa chama cha siasa na Mungu na mambo yake wapi na wapi? Kwani chama cha siasa ni taasisi ya dini?
 
Mambo haya hayahitaji hasira. Ni ytashi tuu.
Sasa chama cha siasa na Mungu na mambo yake wapi na wapi? Kwani chama cha siasa ni taasisi ya dini?
Bado hujajibu swali unaruka ruka tu.
Je, upo tayari kuongozwa na chama kisicho amini kuhusu Mungu na habari zake ? nakusubiri
 
Una akili timamu ?
Umesema unataka kuwa kama China nikakuuliza upo tayari kuongozwa na chama kisicho amini kuhusu Mungu na habari zake ? Una nitajia habari za CCM.

CCM ndio inaongoza China ? Kwa akili unafikiri utakuwa kama China ?
Kwani Ccm inaamini ktk Mungu?
Tuondolee upuuzi wako.
Wanapokuàmbia serikali haina dini huwa unaelewa nini?
Rest in power Magufuli
 
Jibu liko wazi, vyama kazi yao siyo kueneza dini au mambo ya upako. Kwao siyo ajenda.
Hivyo kwangu, swali lako lina neutral effect. Sioni mantiki yake.
Hakuna cha neutral ni either uchague kunyoa au kusuka ? Ni ndio au Hapana. Kama vitu vyepesi hivi vinakushinda unabaki kujing'atang'ata unafikiri utaweza kuwa kama hao wachina kwa mambo magumu zaidi ya hilo ?!.
 
sasa hivi ni satanic evil lkn tutashinda its good against evil, ndio maana hata kwenye nyumba za ibada hawaonekani haijawahi kutokea kuanzia kuanzishwa kwa Taifa letu, siku zote Viongozi wetu tulikuwa nao kwenye nyumba za Ibada nakumbuka Mzee Mwinyi tuliswali naye sana Mwembechai.

Good against evil …
 
Hoja ni kwamba tuongozwe kikomonist km china tuachane na demokrasia ya magharibi.
Mwizi wa mali za umma anyongwe.
Wewe na utaahira wako unakuja na mambo ya mungu.
Ukomunisti huo ndio unao kataza wao kujihusisha na mambo ya Mungu.

Upo tayari kuongozwa na chama kisicho amini kuhusu Mungu na habari zake ?
 
Hakuna cha neutral ni either uchague kunyoa au kusuka ? Ni ndio au Hapana. Kama vitu vyepesi hivi vinakushinda unabaki kujing'atang'ata unafikiri utaweza kuwa kama hao wachina kwa mambo magumu zaidi ya hilo ?!.

Yaani kwako suala la dini tu ndiyo linalokusumbu. Wakati ukisoma comparative religion, China wana imani yao ya asili. Ambayo hawajaletewa na meli kama nyie. Ambao wakisema dini maana yake ni ukristo na uislam.
 
Yaani kwako swala la dini tu ndiyo linalokusumbua. Wakati ukisoma comparative religion, China wana imani yao ya asili. Ambayo hawajaletewa na meli kama nyie. Ambao wakisema dini maana yake ni ukristo na uislam.
Swali nimekuliza jepesi mpaka sasa umebaki kujing'ata ng'ata.

Mimi sijauliza kuhumu abrahamic religions dhidi ya taoism.

Turudi kwenye swali.
Upo tayari kuongozwa na chama kisicho amini kuhusu Mungu na habari zake ?
 
Ukomunisti huo ndio unao kataza wao kujihusisha na mambo ya Mungu.

Upo tayari kuongozwa na chama kisicho amini kuhusu Mungu na habari zake ?
We mpuuzi China wana dini na wanazishika kwelikweli.
Sio km wewe unaefuata dini zilizoletwa na majahazi.
Au kwako wewe dini ni ukristo na uislamu?
Jifunze uelewe!
 
Back
Top Bottom