Video: Hayati Magufuli alitupa siri kwanini alipokuwepo hapakuwa na mgao, ni kwanini tunasahau haraka namna hii?

Ni kweli hatuwezi kuwa kama China ila tunaweza tukaiga iga machache yenye manufaa kwa Nchi na jamii yetu kwa ujumla. !!
Tukianza na adhabu kali kabisa kwa wezi na wabadhirifu wa mali za Umma !!
Adhabu kali kama zipi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…