VIDEO: Hii ni namna njema sana kuikosoa Serikali na viongozi. Cha ajabu eti wanachukia kana kwamba yanayokosolewa hayakusemwa wao hadharani...!!

Hotuba nzima ya Mh. Rais Samia Hassan na diaspora ya waTanzania nchini Marekani

  1. Uchumi
  2. Afya
  3. Siasa tunaendelea na mazungumzo ya mabadiliko
  4. Nawaelewa kwanini CHADEMA wanasitasita, lakini tunaendelea na mazungumzo nao
  5. R4 : Reconciliation, Resilience, Reforms and Rebuilding the Nation
  6. International relation inasukwa upya iwe kama ya wakati wa Mwalimu Nyerere
  7. Hadhi maalum kwa diaspora, urithi wao nyumbani, fast line airport za Tanzania kwa diaspora n.k
  8. Kodi
  9. N.k

Source : Ikulu Mawasiliano
 
24 April 2022

Samia Tour | Wanadiaspora Watetea Katiba Mpya na Uraia Pacha, Stephen Maonyesho~ Aongea, Washington, DC
Source : Swahili Villa online
 
Wao wanapenda kusifiwa pekee
 
Yaani ukikaa tu kwenye kiti hicho SPANA zinaanza. Wapeni break kidogo jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…