Hii video inatrend sana kwenye magrupu ya FB, telegram, TikTok, WhatsApp nk
Cha ajabu, the so called "CHAWA" wameshatinga huko kutishia ma - admin kuzuia kusambaa kwa video hii eti "inaidhalilisha serikali na Rais Samia Suluhu kama kwamba haya hayakusemwa na wao wenyewe viongozi..!!!
Tazama na sikiliza ubunifu wa vijana wa namna ya kupeleka ujumbe..
View attachment 2199005