VIDEO: Hili lilimshinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete hata Magufuli. Rais Samia apongezwe

Mungu ambariki sana Mzee Magufuli huko alipo
 
Kweli hii nchi inawajinga jamani. Mjinga namba moja ni wewe. Na kama una wazazi basi wajue wamezaa mjinga anayetembea
 
Kazi iendelee
 
Sijisumbui kupiga kura sio mwenyekiti diwani au mbunge au rais anaepita apite tu sipotezi muda wangu kabisa POLITIC IS A DIRTY A GAME
 
Mama Samia anastahili pongezi
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
Kufuta BIMA kwa watoto SAMIA
 
Lakini hebu tuwe wakweli mtu kachukua mradi ukiwa 35%,

Hivi unajua hii hata nusu ya Mradi ilikuwa bado?
Anayetakiwa kusifiwa ni aliye thubutu kuanzisha jambo lililokuwa haiwezekani toka Nyerere mpaka Kikwete. Angekuwepo Mzee Baba Magufuli sasa hivi hili Bwawa na Miradi mwingine ya kimkakati ingekuwa imeshakamilika kwa 100% angekuwa kabuni mingine ambayo haimo kwenye Ilani ya chama.

Mama kwa uwezo wake kajitahidi japo wapigaji wametamalaki wamemzidi nguvu na hawawezi. Matokeo yake anauza kila anachokiona ili apate pesa za kumalizia Miradi.

Ingekuwa Miradi hii haijaanzishwa as ingekuwa na thubutu wa kuanzisha maana ina kelele nyingi toka Duniani. Na muombea apate 5 ya kwake tuone kama atabuni mradi wowote wa maana!
 
Kina muda tupuuze mada za namna hii, mjingi hapaswi kujibiwa... Akikosa reaction ndio atatafuta makosa yako wapi.
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
✍🏿✍🏿🙌
 
Mk
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
Mkuu KIA imeuzwa🥵
 
Viva Samia Viva
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
Nani aliemaliza hiyo miradi ni Samia.
Kama asingefanya juhudi kuimaliza mgesema nini.

Mama Samia kafanya kazi ya kumalioza miradi yoye mikubwa na kuleta mipaNGO YA MAENDELEO.
hAKUNA KILICHO UZWA.
 
Hua tunaangalia MasterPlan.. wanaoendeleza hua wanafata maandishi tu kama unavyotumia Location apps kwenye gari.
 
Siku ya leo, kwa ujasiri wa kuwatumbua waliohalifu protocal ya taasisi ya urais, 95% atapata kura yangu 2025. Nilikuwa simkubali leo nimejiridhisha nilikuwa simwelewi tu, yuko vizuri sana.
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
Umeanza uongo mbuga aliuza Mwinyi
Kia kauza mkapa
Misitu wote wameuza (kasoro Jiwe)
Chuki binafsi hizi
Kuiba tausi wa ikulu mwendazake
 
Samia ni Rais wa mfano Africa nzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…