Wawe wanachukua walau walioenda shule kidogo, japo elimu inapigwa vita ila inashape sana sometimes.
Sasa mtu hata hajui kua kuna kazi nyingi tofauti na yake, kuna watu wa vipato tofauti kulingana na kazi zao na tofauti za namna hiyo yani hata kua mlinzi wa mali zako na wewe hafai.