Video: Huyu mstaafu aliwakosea nini Jeshi La Polisi? Kosa lake ni kukaa kijiweni?

Video: Huyu mstaafu aliwakosea nini Jeshi La Polisi? Kosa lake ni kukaa kijiweni?

Dunia tunapita, na madaraka ni ya kupita
Ningependa anihoji mimi. Siku moja nilikuwa kwenye daladala kulikuwa na askari mmoja amevaa kombati, sasa akiongea jambo alikuwa akiwaambia walio karibu naye "sema ndiyo afande", basi nao walikuwa wakirudia anavyowaelekeza "ndiyo afande" na kujichekesha chekesa. Alivyoendelea hivyo, nilikuwa nasogea karibu naye ili na mimi aniambie "sema ndiyo afande". Baadaye gari lilisimama na akawa ameshuka. Sasa hata huyu ni hivyo. Si jukumu la polisi kumpangia mtu afanye kazi ya kufanya hata kama ina ujira mdogo, yeye jukumu lake ni kusimamia sheria, na kulinda raia na mali zao. Kama aliona hastahili kufanya hiyo kazi, si angmpeleka huko anakosema "mbona kazi ziko nyingi?" Anashangaa mtu kupata Sh10,000 kwa siku? Siku moja wakati narudi nyumbani kutoka kazini, nilichukua pikipiki. Ilikuwa kwenye saa mbili hivi usiku. Bodaboda akaniambia elfu 2 hadi nyumbani. Nilipofika nikampa hiyo Sh2,000, na akaniambia "sasa hivi ndiyo mara yangu ya kwanza kupata mteja na kulipwa elfu 2. Asante sana." Yaani siku nzima hadi saa 2 ndiyo hiyo elfu 2 niliyompa ndiyo alianza kupata. Sasa huyu bodaboda angehojiwa na huyo afande kusikia elfu 2, kama aliona elfu 10 ni ndogo si angezimia kabisa? Hata mimi nilishawahi kulipwa kiasi hicho kwa siku. Nilianza kazi Oktoba mwaka 2003 kampuni fulani kubwa kwa jina (siku hizi nadhani imeyeyuka). 'Take home' yangu ilikuwa Sh226,000 kwa mwezi, ila mshahara ulikuwa ukichelewa sana, yaana unalipwa baada ya miezi 3 kupita, na unalipwa mwezi wa mbele (mwezi mmoja tu) - kwa maneno mengine, ukilipwa, unabaki ukiidai kampuni miezi 3 (unalipwa mwezi wa nne mwanzoni au katikati) na kulipwa hela zote, labda uache kazi. Sasa ukichukua Sh226,000 kugawa kwa miezi 3 ni sawa na kulipwa Sh75,333.3 kwa mwezi na ni sawa pia na kulipwa Sh2,511.1 kwa siku. Sasa sijui angekutana na mimi akaniuliza unalipwa kiasi gani kwa siku, sijui angesemaje kama kwa huyo tu wa Sh10,000 aliona ni ndogo sana? Mimi niliyeajiliwa nilikuwa nalipwa Sh2,511.1 na huyu aliyejiajili Sh10,000 kwa siku. Halafu anasakamwa as if mtu unapenda ulipwe kiasi kidogo hivyo!
 
Polisi yuko sahihi,niaka 54 sio mzee aende akalime huko,watanzania wengi tuko wavivu,mzee wa ovyo kabisa huyo
Mtu kama hajafanya kosa ana haki ya kukaa popote ambapo ni public space Tanzania.

Hii ni haki ya kikatiba.

Suala la uvivu ni suala gumu kulijua, inawezekana huyo ni mwanafalsafa anafanya kazi ya kufikiri.

Na hata akiwa mvivu, mtu ana uhuru na haki ya kuwa mvivu, ilimradi hajaiba cha mtu, akiwa mvivu mwacheni tu atapigika ajifunze mwenyewe.

Kwani mtu akiwa mvivu katika maisha yake mwenyewe hajakuibia kitu tatizo lako nini?

Zaidi, mtu ana haki ya kukataa kusema kazi yake ni nini. Kuna watu kazi zao ni biashara za siri wakizisema watavujisha "trade secrets" zao, mtawaiga na kuwaharibia uwezo wao wa kutengeneza pesa, sasa hao kwa nini mnawalazimisha wawaambieni kazi zao bila hata warrant ya kimahakama?
 
yule JWTZ
Kwani jeshi unastaafu kwa miaka mingapi? Miaka 54 kwa waajiliwa wa umma unatakiwa uwe kazini!
,kasema alistaafu kwa UGONjwa sio kwamujibu ,hivyo muroto alitakiwa kuelewa hivyo ,kamkosea sana JWTZ wetu mimi kwa kuangalia video tu nimegundua mwamba mgonjwa muroto alitakiwa awambie wasaidizi huyu mwamba mkaenae kule harafu mzungumze nje ya kamera.
 
Mtu kama hajafanya kosa ana haki ya kukaa popote ambapo ni public space Tanzania.

Hii ni haki ya kikatiba.

Suala la uvivu ni suala gumu kulijua, inawezekana huyo ni mwanafalsafa anafanya kazi ya kufikiri.

Na hata akiwa mvivu, mtu ana uhuru na haki ya kuwa mvivu, ilimradi hajaiba cha mtu, akiwa mvivu mwacheni tu atapigika ajifunze mwenyewe.

Kwani mtu akiwa mvivu katika maisha yake mwenyewe hajakuibia kitu tatizo lako nini?

Zaidi, mtu ana haki ya kukataa kusema kazi yake ni nini. Kuna watu kazi zao ni biashara za siri wakizisema watavujisha "trade secrets" zao, mtawaiga na kuwaharibia uwezo wao wa kutengeneza pesa, sasa hao kwa nini mnawalazimisha wawaambieni kazi zao bila hata warrant ya kimahakama?

Mkuu usipoteze muda wako.

Kuna watu ni senile and competent kwenye kufikiri watakupotezea muda
 
Hahahahaaha ni yeye mkuu huyu mzee alikuwa ananivunja mbavu sana alivyokuwa anawahoji wahalifu mbele ya kamera, kwa hapo mzee muroto ni mtu mzima zaidi ya huyo askari na nadhani walimpanga tu kuamsha amsha maana alikuwa anapenda sana.
Hiyo sauti ni kama ya aliyekua kamanda wa mkoa wa Dodoma Gilles Muroto,ambaye hata yeye sasa hivi ni mstaafu,

Nakumbuka ile kauli yake ya "Kipigo watakachokipata ni cha Mbwa koko''
 
Wakuu,

Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.

Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.

Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?

Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi

Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?

Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?

Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?

Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country

Huyu polisi ni mpumbavu!
Hiyo siyo kazi yake !

Polisi kumejaa wajinga,failure.
 
Mtu kama hajafanya kosa ana haki ya kukaa popote ambapo ni public space Tanzania.

Hii ni haki ya kikatiba.

Suala la uvivu ni suala gumu kulijua, inawezekana huyo ni mwanafalsafa anafanya kazi ya kufikiri.

Na hata akiwa mvivu, mtu ana uhuru na haki ya kuwa mvivu, ilimradi hajaiba cha mtu, akiwa mvivu mwacheni tu atapigika ajifunze mwenyewe.

Kwani mtu akiwa mvivu katika maisha yake mwenyewe hajakuibia kitu tatizo lako nini?

Zaidi, mtu ana haki ya kukataa kusema kazi yake ni nini. Kuna watu kazi zao ni biashara za siri wakizisema watavujisha "trade secrets" zao, mtawaiga na kuwaharibia uwezo wao wa kutengeneza pesa, sasa hao kwa nini mnawalazimisha wawaambieni kazi zao bila hata warrant ya kimahakama?
Ni kweli kabisa! Kazi ya polisi si kuuliza watu wanafanya kazi. Hata angeulizwa na mtu mwingine (kama amevaa kiraia) huenda hawezi kusema yeye ni polisi. Yeye anaona kulipwa Sh10,000 ni ndogo sana kwa mtu wa miaka 54. Kitu ambacho angefanya ni kumsaidia kutafuta kazi yenye kipato kizuri zaidi. Kwenye posti moja hapo juu nimesema niliajiliwa kwenye kampuni moja kubwa hapa Tz na 'take home' yangu ilikuwa Sh226,000, lakini tulikuwa tunalipwa baada ya miezi mitatatu (yaani mwanzoni mwa mwezi wa nne au katikati). Ukichukuwa Sh226,000 na kuigawa kwa miezi 3, utapata kwenye Sh75,000+ kwa mwezi na kuigawa kwa siku ni sawa na Sh2,51.1 kwa siku. Sasa kwa huyo mstaafu aliona Sh10,000 kwa siku ni ndogo, sijui kwangu wa Sh2,51.1 kwa siku angesemaje?
 
Mkuu usipoteze muda wako.

Kuna watu ni senile and competent kwenye kufikiri watakupotezea muda
Sipotezi muda.

Nafundisha haki za kikatiba kuna watu wanasoma na kujifunza.

Na wakijifunza mimi sioni hilo kuwa ni kupoteza muda.

Watanzania wengi wana uelewa mdogo sana kwenye haki za kikatiba na kibinadamu.

Huyo polisi anayemnyanyasa polisi mwenzake mstaafu hajui kuwa miaka michache ijayo na yeye anaweza kujiunga naye hapo kijiweni.
 
Ni kweli kabisa! Kazi ya polisi si kuuliza watu wanafanya kazi. Hata angeulizwa na mtu mwingine (kama amevaa kiraia) huenda hawezi kusema yeye ni polisi. Yeye anaona kulipwa Sh10,000 ni ndogo sana kwa mtu wa miaka 54. Kitu ambacho angefanya ni kumsaidia kutafuta kazi yenye kipato kizuri zaidi. Kwenye posti moja hapo juu nimesema niliajiliwa kwenye kampuni moja kubwa hapa Tz na 'take home' yangu ilikuwa Sh226,000, lakini tulikuwa tunalipwa baada ya miezi mitatatu (yaani mwanzoni mwa mwezi wa nne au katikati). Ukichukuwa Sh226,000 na kuigawa kwa miezi 3, utapata kwenye Sh75,000+ kwa mwezi na kuigawa kwa siku ni sawa na Sh2,51.1 kwa siku. Sasa kwa huyo mstaafu aliona Sh10,000 kwa siku ni ndogo, sijui kwangu wa Sh2,51.1 kwa siku angesemaje?
Yani hata kama kijana, achikia mbaki mstaafu, angekuwa kakaa kijiweni anacheza bao tu hapati hata shilingi 0, bado ingekuwa haki yake.

Polisi anatakiwa kufuatilia wahalifu, sio watu waliojikalia vijiweni kwa kukosa au kutotaka kazi.

Ni hivi, mtu kukataa kufanya kazi ni haki yake ya kibinadamu. As long as hajafanya uhalifu tatizo liko wapi?
 
Duh nimeumia,jamaa anahoji eti inakuwaje unakosa kazi ya kufanya,huyu hajawahi kupigika,Mimi ni mwajiriwa Lakini siwezi kamwe kumdharau jobless,hawa jobless wanapitia mambo magumu sana,hata kibarua Cha kubeba zege hupati bila kujuana,ila mpuuzi mmoja anakuambia inakuwaje unakosa kazi
Polisi mstaafu hawezi kukosa kazi ya kufanya kwani wanajuwa njia nyingi za utapeli na ujambazi pia. Ndiyo maana baba yangu aliniambia never trust a police man, si watu wazuri hata akistaafu.
 
Wakuu,

Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.

Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.

Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?

Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi

Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?

Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?

Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?

Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country

 

Attachments

  • IMG-20241125-WA0017.jpg
    IMG-20241125-WA0017.jpg
    131.8 KB · Views: 1
Wakuu,

Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.

Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.

Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?

Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi

Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?

Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?

Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?

Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country

KAZI ya kuchimba mashimo ya choo mjini ina fedha kuliko KAZI ya poli.....
 
🤣 mwana unawachukia manjagu. sema usikute naye enzi zake alikua mkuda. isijekuta tunapoteza muda kumuonea huruma.
Alikuwa mkuda huyo hiyo ni laana ya aliodhulumu haki zao
Polisi wengi huwa na mwisho wa mauzauza
 
What is this Jeshi la polisi jamani embu mliangalie hili hii inachafua image yenu.Kweli unaongea na mstaafu namna hii kama mtu aliyelewa maadili ya kwapi?Na kaita na vyombo vya habari kabisa bila kuona haya.Binafsi sijamaliza kuangalia hii video hii inasikitisha kwa kweli.Jeshi la polisi mjitafakari kuhusu hili huu ni ukosefu wa utu na maadili!
 
Back
Top Bottom