Video: Huyu mstaafu aliwakosea nini Jeshi La Polisi? Kosa lake ni kukaa kijiweni?

Video: Huyu mstaafu aliwakosea nini Jeshi La Polisi? Kosa lake ni kukaa kijiweni?

Wakuu,

Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.

Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.

Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?

Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi

Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?

Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?

Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?

Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country

Huyu Pot baadae akijisikiliza anavyomuhoji mustafu mwenzie labda atamuomba samahani maana haieleweki alikuwa anahoji nini hasa 😁😁
 
we jamaa kama unakatwa. umesikiliza amesema ni kwanini alistaafu Polisi mapema? au unahara hapa. huwa una vi mada vya kisengesenge. sijui wa wapi we chalii
Akauze hata genge,aache ungese,hata kufuga kuku pia inawezekana,mapolisi wengi wakistaafu wanakuwaga kama wanerogwa,hata huyo anayemuhoji akistaafu ni hivyo hivyo
 
Mtoa mada huu ujumbe upo kwa wastaafu tu wasionekane vijiweni? Hii taswira haileti picha nzuri kwa taifa letu...wastaafu tumezoea vijiweni kufarijiwa baada ya kutapeliwa au kumaliza pension sasa kupigwa ban vijiweni nikutaka tufe mapema.
 
Akauze hata genge,aache ungese,hata kufuga kuku pia inawezekana,mapolisi wengi wakistaafu wanakuwaga kama wanerogwa,hata huyo anayemuhoji akistaafu ni hivyo hivyo
🤣 mwana unawachukia manjagu. sema usikute naye enzi zake alikua mkuda. isijekuta tunapoteza muda kumuonea huruma.
 
Mkuu baba mdogo wangu kasoma Makerere na kina Nyerere hawa siku hizi anasoma bibilia.
Alisoma mpaka kitabu kikampita
Ukimuona utasema mwendawazimu wa elimu.
Sa ingine huwa nafkiria huyu lucas mwashambwa labda ndo yule ba mdogo kichaa.
Maana akili zao zinafanana kabisa
 
hawa ndio jamii ya kina Likwenye ambao inadaiwa walikuwa wanatumiwa na Mwenyekiti wa Chadema kufanya uhalifu maeneo mbalimbali ili kuzua taharuki.
 
Huyu polisi hana nidhamu kabisa. Yani mtumishi wa umma mwenzio aliestaaf hata km siyo kwa ugonjwal hawezi kumfanyia dharau kiasi hicho. Sidhani km shule alifauli huyu. Hajui km kabla haujafa haujaumbika. Kaniharibia mood kabisa. Yani keshaambiwa ni mstaaf wa jeshi lakini bado anahoji utoporo.
 
Wakuu,

Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.

Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.

Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?

Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi

Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?

Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?

Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?

Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country

Mstaafu si kasema yeye tu, una uhakika gani?

Huyo polisi wanamjuwa, hawajakurupuka.

Kwanza mstaafu yupi wa miaka 54?
 
Duh nimeumia,jamaa anahoji eti inakuwaje unakosa kazi ya kufanya,huyu hajawahi kupigika,Mimi ni mwajiriwa Lakini siwezi kamwe kumdharau jobless,hawa jobless wanapitia mambo magumu sana,hata kibarua Cha kubeba zege hupati bila kujuana,ila mpuuzi mmoja anakuambia inakuwaje unakosa kazi
Hawaelewi hali ilivyo nje ya soko la ajira.
 
Japo polisi wakiwa kazini hawana huruma na wananchi. Ila huyo kama binadamu mwingine katia huruma. Utasema baba anamuhoji kijana wake.
Huyo mwenye sare za kipolisi hana mamlaka za kumpangia mtu kazi za kufanya.

Mtu anamwambia nilistaafu kwa ugonjwa, huenda labda kazi anayoweza ni hiyo. Unamdhalilisha mtu, waandishi, wananchi ndiyo anapata bichwa. Mimi nisingemjibu, ningemkalia kimya maana siyo kazi yake.
 
Wakuu,

Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.

Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.

Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?

Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi

Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?

Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?

Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?

Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country

Hii ya zamani mkuu.

Huyo mstaafu wacha aisome maana alipokuwa jeshini hakuwa tofauti na hawa watesi wetu wa leo
 
Back
Top Bottom