Video: Huyu mstaafu aliwakosea nini Jeshi La Polisi? Kosa lake ni kukaa kijiweni?

Video: Huyu mstaafu aliwakosea nini Jeshi La Polisi? Kosa lake ni kukaa kijiweni?

Jeshi la police unafukuzwa Kama mwanafunzi wa seminary Yani gafla TU huna kazi.

Marehemu babu yangu alikataza watoto wake wasiingie kazi za upolisi
Kuna brother wangu mmoja alifukuzwa kazi kisa kumpiga mkuu wake wa kazi walipo pishana kauli...


Mungu alivyo na maajabu ipo siku tu atampitisha njia hiyo hiyo huyo mwenzake anayeipitia tena yake itakuwa ngumu zaidi. Mzee wa watu kajieleza vizuri kabisa jinsi anavyopambana stendi walau familia yake ipate chochote kitu lakini jamaa wapi anampiga mzee wa watu maswali ya kumdhalilisha.
 
Kwani huyo askari anakula shilingi ngapi hadi ang'ake namna hio, mfano tu boss wake RPC naskia nakulaga M2.5 basic.
 
Usikute mwezake usalama yupo kazini apo ila polisi ana reasoning over. Muulizaji ana panic kuliko anae ulizwa kwa confidence ya uyo anae jibu kwa watu wa sychology tunaelewa
 
Kwa style hii Sativa Yuko sahihi kuwamwagia upupu sababu hawajui mipaka ya kazi zao
 
kuna mzee wangu mjeda mstaafu, basi tunakunywa nae gongo polisi wakija wanachimbwaje biti, utasikia we mzee acha hizo
 
Huyo polisi ni kama anaona kesho yake safiiiii.. Mnyanyasaji na kurekofi juu... Hafai upolisi

Ndio maana jamii haiwezi kusaidia mengi mapolisi
 
Wakuu,

Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.

Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.

Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?

Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi

Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?

Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?

Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?

Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country

Tatizo kazi ya upolisi inamfanya mtu awe kama mbwa.....kila mtu anayekutana naye anataka kumbwekea bila sababu za msingi✍️
 
Hiyo sauti ni kama ya aliyekua kamanda wa mkoa wa Dodoma Gilles Muroto,ambaye hata yeye sasa hivi ni mstaafu,

Nakumbuka ile kauli yake ya "Kipigo watakachokipata ni cha Mbwa koko''
Ndio ni yeye. Unakumbuka video moja alikuwa anawashika vitambi wezi anawauliza: mtu mwizi unakuwaje na kitambi? Anapenda sana sifa yule mzee. Mungu anamuona.
 
Wakuu,

Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.

Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.

Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?

Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi

Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?

Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?

Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?

Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country

Watu kama huyu polisi kwenye jamii yetu huwa tunawalaani sana. Tunawaombea wafe wakiwa wamechomeka kidole makalioni.
 
Back
Top Bottom