binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Nje ya mada; miaka 54 he’s still very fine! By the looks…
Kweli wanaume hawazeeki.
Kweli wanaume hawazeeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wa sing'isiwe jamaa kama unakatwa. umesikiliza amesema ni kwanini alistaafu Polisi mapema? au unahara hapa. huwa una vi mada vya kisengesenge. sijui wa wapi we chalii
But he is having some health issues. The police man is rude and has a qualm and scrupulous.Nje ya mada; miaka 54 he’s still very fine! By the looks…
Sure! Nimemsifia kuwa ana miaka 54 na bado muhendisamu! Forever 40’s….But he is having some health conditions. The police man is rude and has a qualm and scrupulous.
They say life begins at 40. Ila wanawake bana tayari umemzimikia huyo above middle age.Sure! Nimemsifia kuwa ana miaka 54 na bado muhendisamu! Forever 40’s….
Kama nilivyokuzimikia wewe!They say life begins at 40. Ila wanawake bana tayari umemzimikia huyo above middle age.
AndaziPOLISI NA ANDAZI CHAGUA ANDAZI UTANISHUKURU BAADAE
Kwakweli Huwa wanatushangaa kwann hatuna kaziDuh nimeumia,jamaa anahoji eti inakuwaje unakosa kazi ya kufanya,huyu hajawahi kupigika,Mimi ni mwajiriwa Lakini siwezi kamwe kumdharau jobless,hawa jobless wanapitia mambo magumu sana,hata kibarua Cha kubeba zege hupati bila kujuana,ila mpuuzi mmoja anakuambia inakuwaje unakosa kazi
Raia wa Bongo ni bongolala wacha wapelekeshwe ili ziwakae sawa. Nchi gani ina raia wasiojitambua namna hii?Duh nimeumia,jamaa anahoji eti inakuwaje unakosa kazi ya kufanya,huyu hajawahi kupigika,Mimi ni mwajiriwa Lakini siwezi kamwe kumdharau jobless,hawa jobless wanapitia mambo magumu sana,hata kibarua Cha kubeba zege hupati bila kujuana,ila mpuuzi mmoja anakuambia inakuwaje unakosa kazi
Kwani jeshi unastaafu kwa miaka mingapi? Miaka 54 kwa waajiliwa wa umma unatakiwa uwe kazini!Wakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country
Then am the luckiest man in the world 🥰Kama nilivyokuzimikia wewe!
😂
Kumsifia mtu si kumzimikia bwana!
Huyo anayemhoji mwenzake ni RPC mstaafu mzee Mroto, mzee wa kipigo cha Mbwakoko, alikuwa RPC Dodoma kastaafu mwaka juzi 2022.Wakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country
Wakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a
Maisha ya nchi hii, we hope for the best but expecting the worse!!
Huyu askari ipo siku atajutia kauli zake, huenda ana neemeka na virushwa huko ndivyo vinampa jeuri ya kumwambia mwenzake akauze karangahawa jobless wanapitia mambo magumu sana,hata kibarua Cha kubeba zege hupati bila kujuana,ila mpuuzi mmoja anakuambia inakuwaje unakosa kazi
Huu askari atapitiaa magumu kuzidi huyo anaemdhalilishaa yani Karma huwa hasahauu.. kanikeraa sana huyo mbwaa kisa kavaa viuniform hivyo anajiona kafikaaa mbwa kabisaaaa.Mungu alivyo na maajabu ipo siku tu atampitisha njia hiyo hiyo huyo mwenzake anayeipitia tena yake itakuwa ngumu zaidi. Mzee wa watu kajieleza vizuri kabisa jinsi anavyopambana stendi walau familia yake ipate chochote kitu lakini jamaa wapi anampiga mzee wa watu maswali ya kumdhalilisha.
Miak 54 akalime wew kijana ukae ukiuza pauchi ausio??Polisi yuko sahihi,niaka 54 sio mzee aende akalime huko,watanzania wengi tuko wavivu,mzee wa ovyo kabisa huyo