Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment ya hovyo kuliko zote kwa mwaka 2024 ni hii.Polisi yuko sahihi,niaka 54 sio mzee aende akalime huko,watanzania wengi tuko wavivu,mzee wa ovyo kabisa huyo
we jamaa kama unakatwa. umesikiliza amesema ni kwanini alistaafu Polisi mapema? au unahara hapa. huwa una vi mada vya kisengesenge. sijui wa wapi we chaliiPolisi yuko sahihi,niaka 54 sio mzee aende akalime huko,watanzania wengi tuko wavivu,mzee wa ovyo kabisa huyo
Mpe shambaPolisi yuko sahihi,niaka 54 sio mzee aende akalime huko,watanzania wengi tuko wavivu,mzee wa ovyo kabisa huyo
POLISI NA ANDAZI CHAGUA ANDAZI UTANISHUKURU BAADAEWakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country
Form four failure,hawatumiagi akiliLengo la kumhoji hadharani ni nini hasa?
1. Kumsaidia?
2. Kundhalilisha?
3. Hajui kuwa kuna watu wanatamani sana kufanya kazi lakini hawapati?
4. Kubeba mizigo si kazi?
5. Kuna Sheria iliyovunjwa na huyo mstaafu?
Sijui sana, lakini nahisi huyo Polisi kakosa uweledi! Anaongozwa na mihemko!
Kukaa kijiweni ni haki ya kikatiba, hawa Polisi wanasumbua tu.Wakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country
Huyo officer anajiona mwamba sana anahisi atakuwa kijana mileleWakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country
Huo umri ni wa kula ulichopanda Sasa wewe endelea kuponda Raha ukihisi utalima ukifika umri huoPolisi yuko sahihi,niaka 54 sio mzee aende akalime huko,watanzania wengi tuko wavivu,mzee wa ovyo kabisa huyo
Wakuu,
Kuna video nimekutana nayo huko mtandaoni ya Afisa wa Polisi akiwa anamfokea mstaafu kwa kukaa kijiweni bila kuwa na kazi maalum.
Kwenye video hiyo, huyu Polisi kwanza kabisa anaongea na huyu mstaafu kama mwanae licha ya kwamba mstaafu umri wake umeenda na anasema kabisa aliacha kazi ya Upolisi kwa sababu ya hali ya kiafya.
Jeshi La Polisi ndo utaratibu wenu saivi ni kuuliza watu wanafanya nini vijiweni?
Soma pia: Rais Magufuli aagiza wastaafu Polisi kulipwa, asema wanaowacheleweshea haki ni wakubwa wao wanaokaa kwenye viyoyozi
Huyu mstaafu amewakosea nini mpaka mnamu-harass kiasi hiki?
Wapi imeandikwa kwenye katiba ni kosa kukaa kijiweni? Ibara ipi inamruhusu Polisi kumuuliza mstaafu kazi yake na kumuhoji kama mtuhumiwa?
Badala ya ku-deal na watekaji, wala rushwa na majizi serikalini mna-deal na wastaafu?
Kama hivi ndio mna-treat wastaafu basi we are working hard in a wrong country