ᴍᴋᴜᴜ ᴘᴏʟᴇ sᴀɴᴀVizuri umetuwekea video. Nimezisikiliza hoja zake, kimsingi hakukataa mradi, bali alihitaji sheria zilizopitishwa bungeni huko nyuma katika suala kama hilo linapojitokeza zifuatwe. Na akazisoma hizo sheria ambazo hazikufuatwa. Sasa hapo kosa lake ni lipi?
Tatizo la watanzania ni kwamba, sheria tunaziweka wenyewe kupitia chombo chenye dhamana hiyo "Bunge". Halafu akija kiongozi akizifuata ni kosa. Sasa sisi ni watu wa aina gani.
Acheni mpigwe tu mpaka kwenye KATIBA ya nchi. Katiba imegeuzwa kuwa GAZETI TU.
Hana maisha nje ya Siasa.
Hawa wapuuzi wa ccm wao ni maokoto tu kwenda mbeleBaada ya kusikia kuna Megawatt 235 za bwawa la Nyerere zimeshaamza kuingia kwenye gridi ya taifa, nikakumbuka malalamiko ya MTz mwenzetu akitaka Megawatt 2100 zisiingizwe kwenye gridi kisa kuna miti itakatwa, unabaki unajiuliza , huyu ana akili timamu kweli?!
Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa
Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235 katika gridi ya Taifa. Akishuhudia uwashwaji wa Mtambo huo wa kuzalisha umeme Dkt biteko amesema...www.jamiiforums.com
Video ipo chini.
View attachment 2918032
Nape amezuia hata starlink kwenye dunia ya leo......ni shida....hakika...afya ya akili...anahitaji msaada huyu mnyakyusa wa kimakonde.Baada ya kusikia kuna Megawatt 235 za bwawa la Nyerere zimeshaamza kuingia kwenye gridi ya taifa, nikakumbuka malalamiko ya MTz mwenzetu akitaka Megawatt 2100 zisiingizwe kwenye gridi kisa kuna miti itakatwa, unabaki unajiuliza , huyu ana akili timamu kweli?!
Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa
Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko ameshuhudia uwashwaji wa mtambo namba tisa katika bwawa la kuzalisha umeme la Julis Nyerere JNHPP ambao umeanza kusambaza umeme megawat 235 katika gridi ya Taifa. Akishuhudia uwashwaji wa Mtambo huo wa kuzalisha umeme Dkt biteko amesema...www.jamiiforums.com
Video ipo chini.
View attachment 2918032
Issue ni deforestation miti isiopungua million mmoja eneo mmoja si haba.Naikumbuka ile story ya miti milioni moja inakatwa itasababisha ukame Tanzania hapatakuwa na mvua...
Matokeo yake juzi tu mvua za El Nino zimenyesha...na leo leo naona dalili za masika ndio inaanza kunyesha Dsm.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
TunawafuatiliaNape na January wana kampuni yao ya kuuza majenereta na solar panels
Kwahiyo anaishi kikanjakanja au sioUkimuona nape na ule mtumboo na miwani unaweza kudhani ni msomi fulani kumbe ni kilazaa anayeishi kiujanja via ubini wa babake!
Wanatuchezea akili zetu..imagine pamoja na ujanja ujanja wao wa wazi katika upigaji bado Mama akawapa wizara.Huyo na yule mwenzake kipara ni takataka zinazopaswa kuwa jalalani
Lazima awepo na atasifia pia..haya majamaa yalishakatwa mshipa wa aibu,ya one hivi hivi.AISEE NAPE NAE ATAKUWEPO KWENYE UZINDUZI WA BWAWA LA UMEME? HAHAHA
Na wewe unamuweka mtoto wa Vasco Dagama kuwa mwenye akili? Ridhwani hamna kitu kichwani kama baba yake tu!!Nakumbuka tulipokuwa watoto, kulikuwa na mtu mmoja ambae alikuwa ni 'designated dumbass' wa kikundi.
Ikiwa tunataka kitu na tunajua ni cha hatari basi huyo mtu alikuwa anawekwa yeye kama front, kikisanuka msala unakuwa wake. SIfa kubwa ya mtu huyo ni kuwa na upeo mdogo wa kuweza kung'amua mambo na mara nyingi huwa ana force kufit in na wengine.
Huko sisiemuni mtu huyo ni Nape, Nape huwa hajui athari ya kauli zake as long as keshatumwa na wenzie. Ili aonekane 'one of the boys' huwa anabwatuka tu, na kikinuka msala unamuangukia yeye.
Group analotaka Nape a fit in ni la kina January na Ridhwani, but in reality Nape is too dumb to be one of them, hivyo wenzie humfanya chambo cha kutimiza dhamira zao.
Mengi anayosema Nape ni kwa kutumwa tu na wenzie, huwa sio kwa utashi wake wala uelewa wake.
Hana aibu huyu...Ataomba tuu radhi
Viongozi wengine bwana... Sasa walitaka bwawa lijengwe angani ambako hakuna miti
Ila ukimlanganisha na Nape, Ridhwan anakuwa Einstein kabisa. Nape ni bogus la mwisho kabisa.Na wewe unamuweka mtoto wa Vasco Dagama kuwa mwenye akili? Ridhwani hamna kitu kichwani kama baba yake tu!!